Mjue Benson Kigaila - kijana mtiifu wa Mbowe

Mjue Benson Kigaila - kijana mtiifu wa Mbowe

View attachment 3178920

Anaitwa Benson Kigaila.
Cheo chake Naibu Katibu Mkuu Bara - CHADEMA.

Hajawai kuchaguliwa wala kupigiwa kura ila ameongoza miaka mingi CHADEMA.

Mke wake yupo bungeni ni mmoja wa wale COVID-19.

Ameshasema yeye sio muumini wa ukomo wa uongozi ikiwezekana hata Rais wa nchi asiwekewe ukomo wa uongozi kama ilivyo ndani ya chama chake CHADEMA.

Amekuwa akilalamikiwa kwenye chaguzi nyingi anazotumwa kusimamia uwa anafanya kazi chafu za mwenyekiti.

Ni mtu wa kuchunga kuelekea uchaguzi wa Chadema mwezi January. Timu Lissu macho yenu yawe kwa huyu mwamba siku ya uchaguzi maana ana historia ya kupindua meza dakika za jioni kama Kibu au Mudathir.
Jamaa ni chawa hasa wa mboe bila Shaka jamaa atakuwa Anatumia mzizi
 
View attachment 3178920

Anaitwa Benson Kigaila.
Cheo chake Naibu Katibu Mkuu Bara - CHADEMA.

Hajawai kuchaguliwa wala kupigiwa kura ila ameongoza miaka mingi CHADEMA.

Mke wake yupo bungeni ni mmoja wa wale COVID-19.

Ameshasema yeye sio muumini wa ukomo wa uongozi ikiwezekana hata Rais wa nchi asiwekewe ukomo wa uongozi kama ilivyo ndani ya chama chake CHADEMA.

Amekuwa akilalamikiwa kwenye chaguzi nyingi anazotumwa kusimamia uwa anafanya kazi chafu za mwenyekiti.

Ni mtu wa kuchunga kuelekea uchaguzi wa Chadema mwezi January. Timu Lissu macho yenu yawe kwa huyu mwamba siku ya uchaguzi maana ana historia ya kupindua meza dakika za jioni kama Kibu au Mudathir.
Wewe ni msigwa????
 
..Mwalimu Nyerere aliandika mpaka kijitabu chenye title " tujisahihishe " maana yake alikuwa anasema Ccm na serikali wamekosea.

..Kukubali kwamba ktk Taasisi kuna makosa ni uuungwana, na hatua nzuri ya kuelekea kujirekebisha.
Mwl Nyerere anasema, "tujisahihishe" means, yeye pamoja na wenzake. Yaani leo wewe kazini kwako ni next to your boss, halafu uonekane ITV unaituhumu kampuni au shirika unalo fanyia kazi while wewe ni mtu wa pili kwa ukubwa hapo ofisini kwako, bro baada ya hiyo press conference uwe na barua ya resignation mkononi or else jiandae kufukuzwa. Kama hata jambo hili kuna watu mnamuunga mkono Lissu then nchi yetu ina watu wengi sana wasio jua maadili ya kazi zao.
 
Mwl Nyerere anasema, "tujisahihishe" means, yeye pamoja na wenzake. Yaani leo wewe kazini kwako ni next to your boss, halafu uonekane ITV unaituhumu kampuni au shirika unalo fanyia kazi while wewe ni mtu wa pili kwa ukubwa hapo ofisini kwako, bro baada ya hiyo press conference uwe na barua ya resignation mkononi or else jiandae kufukuzwa. Kama hata jambo hili kuna watu mnamuunga mkono Lissu then nchi yetu ina watu wengi sana wasio jua maadili ya kazi zao.
Chadema ni kampuni ya nani?
 
View attachment 3178920

Anaitwa Benson Kigaila.
Cheo chake Naibu Katibu Mkuu Bara - CHADEMA.

Hajawai kuchaguliwa wala kupigiwa kura ila ameongoza miaka mingi CHADEMA.

Mke wake yupo bungeni ni mmoja wa wale COVID-19.

Ameshasema yeye sio muumini wa ukomo wa uongozi ikiwezekana hata Rais wa nchi asiwekewe ukomo wa uongozi kama ilivyo ndani ya chama chake CHADEMA.

Amekuwa akilalamikiwa kwenye chaguzi nyingi anazotumwa kusimamia uwa anafanya kazi chafu za mwenyekiti.

Ni mtu wa kuchunga kuelekea uchaguzi wa Chadema mwezi January. Timu Lissu macho yenu yawe kwa huyu mwamba siku ya uchaguzi maana ana historia ya kupindua meza dakika za jioni kama Kibu au Mudathir.

Hawa wazee wa waliosoma Tosa miaka ya 80 ni shida sana...karibu wote na wamejipanga kila upande. Inasemekana alipokuwa sekondari alishindwa kwenye kura za uongozi. Sijui aligombea uongozi gani
 
View attachment 3178920

Anaitwa Benson Kigaila.
Cheo chake Naibu Katibu Mkuu Bara - CHADEMA.

Hajawai kuchaguliwa wala kupigiwa kura ila ameongoza miaka mingi CHADEMA.

Mke wake yupo bungeni ni mmoja wa wale COVID-19.

Ameshasema yeye sio muumini wa ukomo wa uongozi ikiwezekana hata Rais wa nchi asiwekewe ukomo wa uongozi kama ilivyo ndani ya chama chake CHADEMA.

Amekuwa akilalamikiwa kwenye chaguzi nyingi anazotumwa kusimamia uwa anafanya kazi chafu za mwenyekiti.

Ni mtu wa kuchunga kuelekea uchaguzi wa Chadema mwezi January. Timu Lissu macho yenu yawe kwa huyu mwamba siku ya uchaguzi maana ana historia ya kupindua meza dakika za jioni kama Kibu au Mudathir.
Huu ni wasifu au ni ujinga wa mtoa post?
 
Back
Top Bottom