Mjue Bikira wa Kisukuma, kijana mhangaikaji mjini hapa

Nimejifunza kitu mkuu kwenye haya maisha kupitia hiii coment ako nimejifunza kitu barikiwa....pumzika kwa aman mkuu seti

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 



Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Ina uma sana mkuuu...kuna muda naona kifo kama ishara mtu unakua kama unaona dalili ...maisha yetu mafupi hapa duniani pumzika kwa amani bro

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
tusifiche maradhi wakuu.. hata kama unajiona una nguvu ukishapata tatizo bora kuwa wazi ukapata ushauri wa daktari .. any way huwa tunasema kifo hupangwa ila vingine hujitakia labda angepata hata mwaka mmoja zaidi ... lala kwa amani seth, sote tutarejea ila si kwa uzembe ..
 
alikuwa anaumwa nini shosti maana nimeshtuka sana .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…