Ukinywa ARV'S kwa kufuata maelekezo ya daktari wadudu vwanaotembea kwenye damu wanakwisha na virus vinadhibitwa haviwezi kuzaliana tena hiyo ndiyo undetectable status.nielezee bana maana leo nimeamini ngoma ipo ila nashindwa kuelewa imeondokaje na jamaa fasta hivo
so inakuwa huwezi mwambukiza mtu?Ukinywa ARV'S kwa kufuata maelekezo ya daktari wadudu vwanaotembea kwenye damu wanakwisha na virus vinadhibitwa haviwezi kuzaliana tena hiyo ndiyo undetectable status.
Uwezekano wa kutoambukizwa za ni 99.9%so inakuwa huwezi mwambukiza mtu?
aisee kama ni hivo mbona bado maambukizi yanazidi na watu wanatumia dawa?Uwezekano wa kutoambukizwa za ni 99.9%
Inamaana hawazingatii masharti.aisee kama ni hivo mbona bado maambukizi yanazidi na watu wanatumia dawa?
kama nini?Inamaana hawazingatii masharti.
Kunywa dawa kila siku na kuzingatia muda, kuepuka ngono zembe, kula vizuri, kufanya mazoezi na kumuona daktari kama unavyoelezwa.kama nini?
Mkuu aya mambo bora kuwa makini tu usije ukakanyaga waya maana acha kabisa. Mi mwenyewe kumeza dawa tu za kawaida naogopa hiyo adhabu za kila siku sidhani kama ntaiweza kwa kweli. May Jah forbid it.Kunywa dawa kila siku na kuzingatia muda, kuepuka ngono zembe, kula vizuri, kufanya mazoezi na kumuoa daktari kama unavyoelezwa.
Afu ile movie yako ya Jack Sparrow imetoka!R.I.P
ila huyu kaka alikua tongoza tongoza balaa.
akiona kimsambwanda IG Keshakuzukia
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
ila kusex na mtu mwenye uigonjwatayari kazi sanaKunywa dawa kila siku na kuzingatia muda, kuepuka ngono zembe, kula vizuri, kufanya mazoezi na kumuoa daktari kama unavyoelezwa.
ARV za sikuhizi zimeboreshwa sana wale walotumia miaka ya 90 waliipata fresh kwanza ile asubuhi tu umeamka vidonge kama 20-30 na baada yahapo unaweza kurudisha chenjiMkuu aya mambo bora kuwa makini tu usije ukakanyaga waya maana acha kabisa. Mi mwenyewe kumeza dawa tu za kawaida naogopa hiyo adhabu za kila siku sidhani kama ntaiweza kwa kweli. May Jah forbid it.
Huwa hawana ndonya mkuu omba tu Munguila kusex na mtu mwenye uigonjwatayari kazi sana
Ahsante Daktari wetu!ARV za sikuhizi zimeboreshwa sana wale walotumia miaka ya 90 waliipata fresh kwanza ile asubuhi tu umeamka vidonge kama 20-30 na baada yahapo unaweza kurudisha chenji
utakuwa uenjoy jamani unajua uoga ?Huwa hawana ndonya mkuu omba tu Mungu
daktari wetu mstaarabu sanaAhsante Daktari wetu!
Plz Sky EclatAhsante Daktari wetu!
Kabisa, ni rafiki wa maswali! Ama hakika mola ambariki ktk kazi yake!daktari wetu mstaarabu sana
Shosti Mimi ni Skydaktari wetu mstaarabu sana
yes daktari sky sky the doctorShosti Mimi ni Sky