Mjue Bikira wa Kisukuma, kijana mhangaikaji mjini hapa

Kwanini alijita bikra?

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
 
Poleni Familia ya Giovann Seth.

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Miss wangu alikuwa anaumwa nn
 
...oh.,kumbe kitako unacho!?
 
Kwa nini alijiita bikira wa kisukuma wakati yeye ni kidume?

Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
Mimi kwa muda wa siku mbili nilikuwa najua marehemu ni mwanamke.
Hadi nilipoiona picha yake, nikashangaa.
Kujiita majina yasiyoeleweka kuna athari kubwa kwenye maisha halisi.



Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Rest Well Seth................leo nilipokutana na msafara wako ndio nimeamini umeondoka. Mungu akurehemu na akupe makao mema.
 
Ideas za Robert Kiyosaki zinataka maandalizi na umsome umuelewe na siyo hadithi za hawa mabakuri
 
Akili za kuambiwa, changanya na zako!!!(in Mkwere's voice)
 
Akili za kuambiwa, changanya na zako!!!(in Mkwere's voice)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…