Mjue Bikira wa Kisukuma, kijana mhangaikaji mjini hapa

According to mtazamo wako khaaa uchafu Huo nani anataka inaonesha akili zako fupi na za kingese mwanaume mchafu Nani atakayekutaka sasa kwa mfano unanuka mpaka pumbu utakuwa mtu au choo cha soko.
 
more likely huyu jamaa ni ile KEY POPULATION
 
mkuu au n wewe ?
 
Hawa vijana maneno meeeengi!!Sijui kujiajili...Kuajiliwa sio dilii,matokeo yao wao wenyewe wameajiliwa kwenye radio za Fm.
Yaani kuwa Ma-MC kila Alhamisi kwenye send off na Jumamosi harusini tayari wanajiona babu kubwaaaa
 
Hahaaaa mkuu we kweli unamjua huyu alikuwa jirani yangu pale changanyikeni na wazazi wake ni watu wa dini sana wanasali Aict magomeni alikuwa anaimba gospel na jamaa anaitwa gee sijui wameacha? G n seth
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…