Uchaguzi 2020 Mjue Dkt. Juma Mohammed mtia nia ubunge Tunduru Kaskazini

Uchaguzi 2020 Mjue Dkt. Juma Mohammed mtia nia ubunge Tunduru Kaskazini

Huyu anafaa sana. Mimi pia amenifundisha,issue ya nyodo ni mtazamo,maana inawezekana ulikuwa kilaza. Huyu Dr Juma ninamfahamu vizuri,amesoma Mkwawa nikakutana naye huko,akasoma Uclas nikakutana naye huko,kutokana na weledi alionao,Udsm wakamuona wakamchukua wakamsomesha na kumtumia hadi anapata PhD yake pale hadi akawa na cheo pale,yote hiyo ni kutokana na weledi alionao.

Tunduru kunamfaa sana huyu.
Namfahamu vizuri.
Hana hulka.
Ni mpole.
Chagua Dr Juma uone maendeleo.
Stesheni; wewe unamuelewa zaidi yangu asante sana. Naomba tufungukie zaidi huyu Dr Jumaa mimi niliongea nae kwa dk kama 12/15 lakini nilishiba MADINI yake atafaa huyu
 
Ujumbe wako bali lugha uneitumia (kindezindezi) sio sawa. Unaruhusiwa kurekebisha kwa kadri ya uelewa wako please
 
Tumechoka kuchagua waishi dar
Gombea hukohuko.
Huku tunao.wa kutosha
Tunaishi nao wanajua nahitaji yetu
Kama anataka uwaziri gombea hapo uishipo.
Kwa uchache hawa hapa
Advocate Kaukuya
Hassani myao
Sikudhani chikambo na wengine wengitumewaomba watie nia wanagoja wakati tu.
 
Ujumbe wako bali lugha uneitumia (kindezindezi) sio sawa. Unaruhusiwa kurekebisha kwa kadri ya uelewa wako please

Edited mkuu, kwa aina ya ujumbe mwasilishaji alipaswa kuwa serious kiuandishi, hata kuedit andiko Tunduma inasomeka Tunduru makosa mengi sana.
 
goukun wadey,

Ni masikitiko sana kwa hawa wanajiita wasomi wakisha ingia kwenye siasa wanakuwa viroja. Taaluma zao zinakuwa tambara la kudeki CCM.

Sijaonaga impact ya wasomi kwenye siasa kwani wanasahau taaluma na kuburutwa na ushabiki na matumbo yao. Wanashindwa kusimamia vitu kitaaluma.
 
Ni masikitiko sana kwa hawa wanajiita wasomi wakisha ingia kwenye siasa wanakuwa viroja. Taaluma zao zinakuwa tambara la kudeki CCM.

Sijaonaga impact ya wasomi kwenye siasa kwani wanasahau taaluma na kuburutwa na ushabiki na matumbo yao. Wanashindwa kusimamia vitu kitaaluma,
Nalo ni kweli, bali Wale wajinga ndio inakuwa kama marefa wa mpira wa miguu wa Tz hawajui hata wapi anaharibu kwa bahati mbaya wala makusudi. Tunafanyaje! Twende na dr Juma tuone
 
Tumechoka kuchagua waishi dar
Gombea hukohuko.
Huku tunao.wa kutosha
Tunaishi nao wanajua nahitaji yetu
Kama anataka uwaziri gombea hapo uishipo.
Kwa uchache hawa hapa
Advocate Kaukuya
Hassani myao
Sikudhani chikambo na wengine wengitumewaomba watie nia wanagoja wakati tu.
Umechoka waliokuwakilisha; uzi huu unatafuta ukweli wa dr Juma ni nani anafaaje hao uliowachoka achana nao, na wenyewe wamechoka.
 
Wewe umekuja kumtambulisha na kumnadi huyo mpuuzi wako, watu wanakujibu hawamjui na hawamtaki inakuwa nongwa?

Kwani mbaya watu kukuambia hawamjui na hawamtaki huyo daktari wa kienyeji?
 
Tukikieshie kama hatokuwa chorichori wa madini yetu kule TUNDURU
 
Huyu amenifundisha udsm jamaa ana nyodo balaa anyway labda kwa sababu sisi tulikuwa wanafunzi yeye mwalimu.
ZAMU YAKE SASA KWENDA KUWAPIGIA MAGOTI NA KUWAAMKIA WAKULIMA
 
Back
Top Bottom