Abby Uladu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 2,194
- 4,549
- Thread starter
-
- #21
Hao wakubwa wanajiona miungu watu...ila mwamba kwa namna flan alikuwa very bright katika kusema ukwelShida ya nchi hii haijalishi una hoja una vifungu vya sheria kama inagusa maslahi ya wakubwa utaangukia pua.
Evaluate.....Iko hivi ukitaka kujua mtu ana msimamo au hana ni pale anapofanyiwa harassment
Huyu Dr masumbuko kuna muda alikuwa anawatesa Sana hata lytonga nae kuna kipindi alitoka kabisa kwenye reliHuku Dr Masumbuko Lamwai, Kule Joseph Selasini, pemben Mabere Marando katikati Lyatonga
winga akiwa Dr Walid Aman Walid Kabourou
nyuma yupo Dr Mihogo, bila ya kumsahau Prof nguli wa Uchumi
1995 ilikuwa ngumu sana kumwambia hata msomi kuwa hawa wote walikuwa 'watoto wa Baba mmoja ' ila baadae sana hatukutumia nguvu sana watu kuamini
next 20 years kuna Makamanda watu watakuwa hawataki hata kuwasikia japo sasa hivi huwaambi kitu
Kikosi cha Wabunge walioingia kwa tiketi ya vyama vingine ilikuwa hatare sana aisee
Igizo lilikuwa kama Hollywood hadi kina Prof Simon Mbilinyi wakang'oka mapema sana kwa ma kashfa kashfa
kuna Mwana Mama aliitwa Fatma Maghimbi ndio aligoma kuapishwa ilipofika zamu yake akiwa ndio Kiongozi wa kwanza wa Kambi ya Upinzani Bungeni
ThanksAsante kwa elimu mkuu
Nenda, pita pote, mji kwa mji, kijiji kwa kijiji. Uliza nani mwamba wa sheria, Tena usisahau kupita kwa Wanazuoni wa kizazi cha 21 *uliza hilo swali, Pita *Udom, Udsm, Mzumbe, Saut, Tudarco mpaka,Ruco kwa wakatoliki. Wote watakujibu Gwiji wa sheria ni Kibatala na Tundu lissu, wakienda mbali watamtaja Mnyakusa wakili Mwabukusi wa Mwanjelwa.
Sasa acha hao wote, kuna huyu mwamba ambaye kawapiku wote, Rekodi yake haijawahi kuvunjwa na wote hao. Ubaya ni kuwa Hakufanya kazi zake kipindi Watoto wa Mkapa na JK tunazaliwa.
Huyu Mwamba alizitesa mahakama za Taifa hili Mpaka zikakubali, Hayati Jaji kisanga na Nyalali waliukubali mtikiso wa Mwamba huyu haijawahi kutokea.
Huyu Ndiyo Dr Masumbuko Mahunga Selasini Lamwai. almarufu Dr Lamwai, mzaliwa wa mkoa adhimu wa kilimajaro aliyezikataa zile mbichi na kuiheshimisha tasnia ya uwakili nchini.
Kwanza ni Genius vibaya mno, Alipoenda kusoma Chuo kikuu Cha Oxford- Uingereza aliwapiga na kitu kizito wazungu, aliwaambia yeye anao uwezo wa kusoma miaka miwili kozi ya miaka minne.
Wakamjaribu, Mwamba akagraduate na kuwaacha wazungu wakomae na miaka minne.
Alihitimu PhD ya Criminal & Procedural law kwa miaka miwili tu badala ya minne. huu utaratibu ulikuwepo pale chuoni.
Mpaka sasa anatajwa kuwa ndiye Mwanafunzi pekee kutoka afrika aliyewahi kuhitimu hiyo fani kwa Miaka miwili.
Dr Lamwai alikuwa wakili matata Sana. Aliingia Bungeni kama Mbunge wa jimbo la ubungo mwaka 1995. Akiwa Bungeni aligoma kuapa kiapo cha utii kwa Rais. Akatoa hoja kuwa Bunge ni muhimili unaojitegemea, hivyo, sio Sawa mbunge kuapa kiapo cha utii kwa Rais, mwamba akamfundisha Spika dhana ya Separation of power, akampa vifungu konki Spika Pius Msekwa.
Spika Msekwa, akamuru sheria ya kiapo cha utii irekebishwe na kufuta kipengele cha wabunge kuapa utii kwa Rais, wabunge wote walirudia kuapa upya mwaka huo na mpaka sasa wabunge hawaapi kiapo cha utii kwa Rais kwasababu ya ufundi wa Dr lamwai.
Dr Lamwai aliwahi kumshikisha adabu waziri mmoja aliye kuwa mwanamama. Alimpiga cross examination ya kichokozi kinoma, alimuuliza; "Inaonekana wewe ni Malaya Sana?", waziri akachukia, akaanza kutukana hovyo hovyo mahakamani.
Mwamba akatoa picha za Watoto wanne wa yule waziri akamuuliza; "Hawa ni wanao?", Waziri akakubali. Wakili lamwai akatoa picha za wanaume wanne akamwambia; iambie mahakama Hawa ni Akina nani?. Waziri akainamisha kichwa kwa aibu. Basi umalaya ukathibitishwa na wakili lamwai, kwani kila mtoto alikuwa na Baba yake kwenye zile picha. Yaani waziri alizaa na wanamume wanne tofauti. Huu ni utundu wa Dr lamwai.
Dr lamwai aliwahi Kusimamia kesi maalufu ya kupinga ushindi wa ubunge jimbo la temeke mwaka 1996 Ambapo alishinda na kumng'oa kitini mh Ramadhan kihiyo kwa tuhuma za kudanganya elimu yake.
Dr lamwai alikuwa kivutio kikubwa kwa vijana enzi za miaka ya 90. Inasemekana watu walilala kwenye stesheni za treni kumsubili lamwai.
Lamwai alikuwa mbunge wa kwanza wa chama cha upinzani NCCR-mageuzi katika jimbo la ubungo, aliitumia Taaluma ya sheria kushinikiza mambo nyeti na muhimu Bungeni.
Baada ya kuitesa serikali kwa muda mrefu, kisasi kikamfikia. Dr lamwai alifukuzwa kazi pale Udsm alipokuwa akifundisha sheria, akafanyiwa figisu akapoteza ubunge, akaporwa leseni ya uwakili, Mali zake zikataifishwa. akabaki yeye na nguo zake tu. Akaishi kwa dhiki muda mrefu hadi alipoamua kujiunga na chama tawala-CCM ndipo akarudishiwa leseni ya uwakili na mali zake.
Dr lamwai ametoa vipanga wa sheria nchini. Mfano mzuri ni wakili Msomi John Malya. Hiki kichwa kiliandaliwa na Dr lamwai pale chuo kikuu Cha Tumaini - dar es salaam.
Dr lamwai alifariki mwaka 2020 kwa maradhi.
Nenda, pita pote, mji kwa mji, kijiji kwa kijiji. Uliza nani mwamba wa sheria, Tena usisahau kupita kwa Wanazuoni wa kizazi cha 21 *uliza hilo swali, Pita *Udom, Udsm, Mzumbe, Saut, Tudarco mpaka,Ruco kwa wakatoliki. Wote watakujibu Gwiji wa sheria ni Kibatala na Tundu lissu, wakienda mbali watamtaja Mnyakusa wakili Mwabukusi wa Mwanjelwa.
Sasa acha hao wote, kuna huyu mwamba ambaye kawapiku wote, Rekodi yake haijawahi kuvunjwa na wote hao. Ubaya ni kuwa Hakufanya kazi zake kipindi Watoto wa Mkapa na JK tunazaliwa.
Huyu Mwamba alizitesa mahakama za Taifa hili Mpaka zikakubali, Hayati Jaji kisanga na Nyalali waliukubali mtikiso wa Mwamba huyu haijawahi kutokea.
Huyu Ndiyo Dr Masumbuko Mahunga Selasini Lamwai. almarufu Dr Lamwai, mzaliwa wa mkoa adhimu wa kilimajaro aliyezikataa zile mbichi na kuiheshimisha tasnia ya uwakili nchini.
Kwanza ni Genius vibaya mno, Alipoenda kusoma Chuo kikuu Cha Oxford- Uingereza aliwapiga na kitu kizito wazungu, aliwaambia yeye anao uwezo wa kusoma miaka miwili kozi ya miaka minne.
Wakamjaribu, Mwamba akagraduate na kuwaacha wazungu wakomae na miaka minne.
Alihitimu PhD ya Criminal & Procedural law kwa miaka miwili tu badala ya minne. huu utaratibu ulikuwepo pale chuoni.
Mpaka sasa anatajwa kuwa ndiye Mwanafunzi pekee kutoka afrika aliyewahi kuhitimu hiyo fani kwa Miaka miwili.
Dr Lamwai alikuwa wakili matata Sana. Aliingia Bungeni kama Mbunge wa jimbo la ubungo mwaka 1995. Akiwa Bungeni aligoma kuapa kiapo cha utii kwa Rais. Akatoa hoja kuwa Bunge ni muhimili unaojitegemea, hivyo, sio Sawa mbunge kuapa kiapo cha utii kwa Rais, mwamba akamfundisha Spika dhana ya Separation of power, akampa vifungu konki Spika Pius Msekwa.
Spika Msekwa, akamuru sheria ya kiapo cha utii irekebishwe na kufuta kipengele cha wabunge kuapa utii kwa Rais, wabunge wote walirudia kuapa upya mwaka huo na mpaka sasa wabunge hawaapi kiapo cha utii kwa Rais kwasababu ya ufundi wa Dr lamwai.
Dr Lamwai aliwahi kumshikisha adabu waziri mmoja aliye kuwa mwanamama. Alimpiga cross examination ya kichokozi kinoma, alimuuliza; "Inaonekana wewe ni Malaya Sana?", waziri akachukia, akaanza kutukana hovyo hovyo mahakamani.
Mwamba akatoa picha za Watoto wanne wa yule waziri akamuuliza; "Hawa ni wanao?", Waziri akakubali. Wakili lamwai akatoa picha za wanaume wanne akamwambia; iambie mahakama Hawa ni Akina nani?. Waziri akainamisha kichwa kwa aibu. Basi umalaya ukathibitishwa na wakili lamwai, kwani kila mtoto alikuwa na Baba yake kwenye zile picha. Yaani waziri alizaa na wanamume wanne tofauti. Huu ni utundu wa Dr lamwai.
Dr lamwai aliwahi Kusimamia kesi maalufu ya kupinga ushindi wa ubunge jimbo la temeke mwaka 1996 Ambapo alishinda na kumng'oa kitini mh Ramadhan kihiyo kwa tuhuma za kudanganya elimu yake.
Dr lamwai alikuwa kivutio kikubwa kwa vijana enzi za miaka ya 90. Inasemekana watu walilala kwenye stesheni za treni kumsubili lamwai.
Lamwai alikuwa mbunge wa kwanza wa chama cha upinzani NCCR-mageuzi katika jimbo la ubungo, aliitumia Taaluma ya sheria kushinikiza mambo nyeti na muhimu Bungeni.
Baada ya kuitesa serikali kwa muda mrefu, kisasi kikamfikia. Dr lamwai alifukuzwa kazi pale Udsm alipokuwa akifundisha sheria, akafanyiwa figisu akapoteza ubunge, akaporwa leseni ya uwakili, Mali zake zikataifishwa. akabaki yeye na nguo zake tu. Akaishi kwa dhiki muda mrefu hadi alipoamua kujiunga na chama tawala-CCM ndipo akarudishiwa leseni ya uwakili na mali zake.
Dr lamwai ametoa vipanga wa sheria nchini. Mfano mzuri ni wakili Msomi John Malya. Hiki kichwa kiliandaliwa na Dr lamwai pale chuo kikuu Cha Tumaini - dar es salaam.
Dr lamwai alifariki mwaka 2020 kwa maradhi.
Mara nyingi watu walioko serikalini huwa mbumbumbu sana kifikra, hivyo utumia nguvu sana kufanya mambo yao, akitokea mtu kumupinga huyo mtu huwa Ni adui number moja. Yuko tayari kuuwa ,kuumiza aonekane yuko right, mpaka leo ukipinga hoja za watawala basi wako tayari kupoteza kabisa. Mfano akina Dr Nshala, Mwambukusi etc.Nenda, pita pote, mji kwa mji, kijiji kwa kijiji. Uliza nani mwamba wa sheria, Tena usisahau kupita kwa Wanazuoni wa kizazi cha 21 *uliza hilo swali, Pita *Udom, Udsm, Mzumbe, Saut, Tudarco mpaka,Ruco kwa wakatoliki. Wote watakujibu Gwiji wa sheria ni Kibatala na Tundu lissu, wakienda mbali watamtaja Mnyakusa wakili Mwabukusi wa Mwanjelwa.
Sasa acha hao wote, kuna huyu mwamba ambaye kawapiku wote, Rekodi yake haijawahi kuvunjwa na wote hao. Ubaya ni kuwa Hakufanya kazi zake kipindi Watoto wa Mkapa na JK tunazaliwa.
Huyu Mwamba alizitesa mahakama za Taifa hili Mpaka zikakubali, Hayati Jaji kisanga na Nyalali waliukubali mtikiso wa Mwamba huyu haijawahi kutokea.
Huyu Ndiyo Dr Masumbuko Mahunga Selasini Lamwai. almarufu Dr Lamwai, mzaliwa wa mkoa adhimu wa kilimajaro aliyezikataa zile mbichi na kuiheshimisha tasnia ya uwakili nchini.
Kwanza ni Genius vibaya mno, Alipoenda kusoma Chuo kikuu Cha Oxford- Uingereza aliwapiga na kitu kizito wazungu, aliwaambia yeye anao uwezo wa kusoma miaka miwili kozi ya miaka minne.
Wakamjaribu, Mwamba akagraduate na kuwaacha wazungu wakomae na miaka minne.
Alihitimu PhD ya Criminal & Procedural law kwa miaka miwili tu badala ya minne. huu utaratibu ulikuwepo pale chuoni.
Mpaka sasa anatajwa kuwa ndiye Mwanafunzi pekee kutoka afrika aliyewahi kuhitimu hiyo fani kwa Miaka miwili.
Dr Lamwai alikuwa wakili matata Sana. Aliingia Bungeni kama Mbunge wa jimbo la ubungo mwaka 1995. Akiwa Bungeni aligoma kuapa kiapo cha utii kwa Rais. Akatoa hoja kuwa Bunge ni muhimili unaojitegemea, hivyo, sio Sawa mbunge kuapa kiapo cha utii kwa Rais, mwamba akamfundisha Spika dhana ya Separation of power, akampa vifungu konki Spika Pius Msekwa.
Spika Msekwa, akamuru sheria ya kiapo cha utii irekebishwe na kufuta kipengele cha wabunge kuapa utii kwa Rais, wabunge wote walirudia kuapa upya mwaka huo na mpaka sasa wabunge hawaapi kiapo cha utii kwa Rais kwasababu ya ufundi wa Dr lamwai.
Dr Lamwai aliwahi kumshikisha adabu waziri mmoja aliye kuwa mwanamama. Alimpiga cross examination ya kichokozi kinoma, alimuuliza; "Inaonekana wewe ni Malaya Sana?", waziri akachukia, akaanza kutukana hovyo hovyo mahakamani.
Mwamba akatoa picha za Watoto wanne wa yule waziri akamuuliza; "Hawa ni wanao?", Waziri akakubali. Wakili lamwai akatoa picha za wanaume wanne akamwambia; iambie mahakama Hawa ni Akina nani?. Waziri akainamisha kichwa kwa aibu. Basi umalaya ukathibitishwa na wakili lamwai, kwani kila mtoto alikuwa na Baba yake kwenye zile picha. Yaani waziri alizaa na wanamume wanne tofauti. Huu ni utundu wa Dr lamwai.
Dr lamwai aliwahi Kusimamia kesi maalufu ya kupinga ushindi wa ubunge jimbo la temeke mwaka 1996 Ambapo alishinda na kumng'oa kitini mh Ramadhan kihiyo kwa tuhuma za kudanganya elimu yake.
Dr lamwai alikuwa kivutio kikubwa kwa vijana enzi za miaka ya 90. Inasemekana watu walilala kwenye stesheni za treni kumsubili lamwai.
Lamwai alikuwa mbunge wa kwanza wa chama cha upinzani NCCR-mageuzi katika jimbo la ubungo, aliitumia Taaluma ya sheria kushinikiza mambo nyeti na muhimu Bungeni.
Baada ya kuitesa serikali kwa muda mrefu, kisasi kikamfikia. Dr lamwai alifukuzwa kazi pale Udsm alipokuwa akifundisha sheria, akafanyiwa figisu akapoteza ubunge, akaporwa leseni ya uwakili, Mali zake zikataifishwa. akabaki yeye na nguo zake tu. Akaishi kwa dhiki muda mrefu hadi alipoamua kujiunga na chama tawala-CCM ndipo akarudishiwa leseni ya uwakili na mali zake.
Dr lamwai ametoa vipanga wa sheria nchini. Mfano mzuri ni wakili Msomi John Malya. Hiki kichwa kiliandaliwa na Dr lamwai pale chuo kikuu Cha Tumaini - dar es salaam.
Dr lamwai alifariki mwaka 2020 kwa maradhi.
Yote mema ya Lamwai yalifutika baada ya kuamua kuwa mwanaCCM, Lamwai akawa mjinga, mpumbavu na mnafiki.Nenda, pita pote, mji kwa mji, kijiji kwa kijiji. Uliza nani mwamba wa sheria, Tena usisahau kupita kwa Wanazuoni wa kizazi cha 21 *uliza hilo swali, Pita *Udom, Udsm, Mzumbe, Saut, Tudarco mpaka,Ruco kwa wakatoliki. Wote watakujibu Gwiji wa sheria ni Kibatala na Tundu lissu, wakienda mbali watamtaja Mnyakusa wakili Mwabukusi wa Mwanjelwa.
Sasa acha hao wote, kuna huyu mwamba ambaye kawapiku wote, Rekodi yake haijawahi kuvunjwa na wote hao. Ubaya ni kuwa Hakufanya kazi zake kipindi Watoto wa Mkapa na JK tunazaliwa.
Huyu Mwamba alizitesa mahakama za Taifa hili Mpaka zikakubali, Hayati Jaji kisanga na Nyalali waliukubali mtikiso wa Mwamba huyu haijawahi kutokea.
Huyu Ndiyo Dr Masumbuko Mahunga Selasini Lamwai. almarufu Dr Lamwai, mzaliwa wa mkoa adhimu wa kilimajaro aliyezikataa zile mbichi na kuiheshimisha tasnia ya uwakili nchini.
Kwanza ni Genius vibaya mno, Alipoenda kusoma Chuo kikuu Cha Oxford- Uingereza aliwapiga na kitu kizito wazungu, aliwaambia yeye anao uwezo wa kusoma miaka miwili kozi ya miaka minne.
Wakamjaribu, Mwamba akagraduate na kuwaacha wazungu wakomae na miaka minne.
Alihitimu PhD ya Criminal & Procedural law kwa miaka miwili tu badala ya minne. huu utaratibu ulikuwepo pale chuoni.
Mpaka sasa anatajwa kuwa ndiye Mwanafunzi pekee kutoka afrika aliyewahi kuhitimu hiyo fani kwa Miaka miwili.
Dr Lamwai alikuwa wakili matata Sana. Aliingia Bungeni kama Mbunge wa jimbo la ubungo mwaka 1995. Akiwa Bungeni aligoma kuapa kiapo cha utii kwa Rais. Akatoa hoja kuwa Bunge ni muhimili unaojitegemea, hivyo, sio Sawa mbunge kuapa kiapo cha utii kwa Rais, mwamba akamfundisha Spika dhana ya Separation of power, akampa vifungu konki Spika Pius Msekwa.
Spika Msekwa, akamuru sheria ya kiapo cha utii irekebishwe na kufuta kipengele cha wabunge kuapa utii kwa Rais, wabunge wote walirudia kuapa upya mwaka huo na mpaka sasa wabunge hawaapi kiapo cha utii kwa Rais kwasababu ya ufundi wa Dr lamwai.
Dr Lamwai aliwahi kumshikisha adabu waziri mmoja aliye kuwa mwanamama. Alimpiga cross examination ya kichokozi kinoma, alimuuliza; "Inaonekana wewe ni Malaya Sana?", waziri akachukia, akaanza kutukana hovyo hovyo mahakamani.
Mwamba akatoa picha za Watoto wanne wa yule waziri akamuuliza; "Hawa ni wanao?", Waziri akakubali. Wakili lamwai akatoa picha za wanaume wanne akamwambia; iambie mahakama Hawa ni Akina nani?. Waziri akainamisha kichwa kwa aibu. Basi umalaya ukathibitishwa na wakili lamwai, kwani kila mtoto alikuwa na Baba yake kwenye zile picha. Yaani waziri alizaa na wanamume wanne tofauti. Huu ni utundu wa Dr lamwai.
Dr lamwai aliwahi Kusimamia kesi maalufu ya kupinga ushindi wa ubunge jimbo la temeke mwaka 1996 Ambapo alishinda na kumng'oa kitini mh Ramadhan kihiyo kwa tuhuma za kudanganya elimu yake.
Dr lamwai alikuwa kivutio kikubwa kwa vijana enzi za miaka ya 90. Inasemekana watu walilala kwenye stesheni za treni kumsubili lamwai.
Lamwai alikuwa mbunge wa kwanza wa chama cha upinzani NCCR-mageuzi katika jimbo la ubungo, aliitumia Taaluma ya sheria kushinikiza mambo nyeti na muhimu Bungeni.
Baada ya kuitesa serikali kwa muda mrefu, kisasi kikamfikia. Dr lamwai alifukuzwa kazi pale Udsm alipokuwa akifundisha sheria, akafanyiwa figisu akapoteza ubunge, akaporwa leseni ya uwakili, Mali zake zikataifishwa. akabaki yeye na nguo zake tu. Akaishi kwa dhiki muda mrefu hadi alipoamua kujiunga na chama tawala-CCM ndipo akarudishiwa leseni ya uwakili na mali zake.
Dr lamwai ametoa vipanga wa sheria nchini. Mfano mzuri ni wakili Msomi John Malya. Hiki kichwa kiliandaliwa na Dr lamwai pale chuo kikuu Cha Tumaini - dar es salaam.
Dr lamwai alifariki mwaka 2020 kwa maradhi.
Upo sahihi huwa hawataki wakosolewe kabisaMara nyingi watu walioko serikalini huwa mbumbumbu sana kifikra, hivyo utumia nguvu sana kufanya mambo yao, akitokea mtu kumupinga huyo mtu huwa Ni adui number moja. Yuko tayari kuuwa ,kuumiza aonekane yuko right, mpaka leo ukipinga hoja za watawala basi wako tayari kupoteza kabisa. Mfano akina Dr Nshala, Mwambukusi etc.
"Poor lamwai" tusimseme Sana marehemuYote mema ya Lamwai yalifutika baada ya kuamua kuwa mwanaCCM, Lamwai akawa mjinga, mpumbavu na mnafiki.
CCM iko kuharibu akili za watu tu.
Poor Lamwai.
Alikuwa nao ndiohivi alikuwa na watoto twenty ngapi? pesa na umaarufu ni shetani wa kwanza wa wanawake hakika.
ishirini na ngapi alikuwa nao?Alikuwa nao ndio
Chama cha NCCR Mageuzi kupitia Mwanasheria mkuu wa chama hicho Dr.Masumbuko Lamwai kiliweka pingamizi mahakamani kudai kuwa Kihiyo alivunja sheria ya uchaguzi Na.1 ya mwaka 1985 kwa kufanya vitendo visivyokua vya uadilifu wakati wa kampeni zake.Mwaka 1995 aligombea ubunge wa Ubungo kupitia chama cha NCCR Mageuzi na kupata uungwaji mkono mkubwa sana. Siku moja kabla ya kupiga kura ilikuwa siku ya kufunga kampeni kwa wagombea.
Lamwai alichagua kufungia kampeni zake viwanja vya Mwembechai wakati huohuo mgombea Urais wa CCM alikuwa akifunga kampeni zake viwanja vya Jangwani. Baada ya kumaliza mkutano wake Lamwai akaondoka kupitia barabara ya Kawawa, akisindikizwa na maelfu ya watu na gari yake ikisukumwa. Hayakuwa mapenzi bali mahaba. Barabara ya Morogoro na ile ya Kawawa zilitapika watu.
Walipofika mataa ya Magomeni wakakutana na msafara wa mgombea Urais wa CCM ukiwa na ving’ora na polisi kibao. Msafara wa Ben na polisi wake ukatulizwa na wafuasi wa Lamwai waliokuwa wengi kiasi cha kufurika barabara. CCM na wafuasi wao wakataka kutumia nguvu ili mgombea wao apite kwanza.
Polisi kama kawaida yao wakataka kuingilia kati kwa kupiga mabomu lakini baada ya kushauriana wakaamua kutumia busara kwa kuwaomba wafuasi wa Lamwai wapishe njia ili msafara wa Ben upite.
Kwa mara ya kwanza katika historia ya siasa za taifa hili, msafara wa mgombea Urais wa chama tawala ukaomba ruhusa ya kupita katikati ya mafuriko ya wafuasi wa mgombea ubunge. Bila shaka kitendo hiki kilimuuma sana Ben, ila bahati mbaya hajaelezea kwenye kitabu chake cha MY LIFE, MY PURPOSE. Labda alisahau au anaweza kuelezea wakati mwingine akipata fursa ya kufanya hivyo.
Anyway, tuyaache hayo. Lamwai akashinda na kuwa Mbunge machachari sana mwenye nguvu ya ushawishi na aliyeshiba hoja. Pia akaendelea na taaluma yake ya sheria akiwasaidia watu mbalimbali na chama chake mahakamani kama Wakili. Moja ya kesi zilizompa umaarufu mkubwa ni ile ya Kihiyo. Leo ‘kihiyo’ ni neno lisilo rasmi linalomaanisha mtu mjinga, zwazwa, au goigoi lakini asili ya neno hilo ni Dr.Masumbuko Lamwai.
Mwaka 1995 Ramadhani Kihiyo alichaguliwa kuwa Mbunge wa Temeke kupitia chama cha mapinduzi (CCM). Katika Uchaguzi huo Kihiyo alipata kura 37,303 kati ya kura zote 57,152 zilizopigwa........itaendelea
aliunga juhudiKivip?
Wapo wanaomjua Dr Masumbuko kama Mhadhiri Mwandamizi wa Sheria na alifundisha na kuwawezesha wengi kuwa Wanasheria na Mawakili na wengine hadi wamefikia kuwa MajajiYote mema ya Lamwai yalifutika baada ya kuamua kuwa mwanaCCM, Lamwai akawa mjinga, mpumbavu na mnafiki.
CCM iko kuharibu akili za watu tu.
Poor Lamwai.
ukweli ni kwamba, lamwai ni mtu aliyewafanya watu wengi sana wasomee sheria kutokana na umahiri wake, watu waliipenda sheria kwa kumwangalia yeye. hilo ameacha kama legacy.Wapo wanaomjua Dr Masumbuko kama Mhadhiri Mwandamizi wa Sheria na alifundisha na kuwawezesha wengi kuwa Wanasheria na Mawakili na wengine hadi wamefikia kuwa Majaji
kuna watu walionewa kwny kesi na mashauri mbalimbali akawasaidia wakashinda
kwangu alikuwa Mtu anaenihamasisha kwny uwekezaji kwny kilimo akinipeleka kwa gari lake mwenyewe hadi Shambani kwake Bagamoyo na kuona mafanikio kwny uwekezaji wake
Mjinga ni yule anaetaka watu wote wamtazame mtu katika angel moja anayotaka yeye
we ni wale wachaga wapumbavu siyo? Mkoa adhimu maana yake nini. Kima weView attachment 2795908
Nenda, pita pote, mji kwa mji, kijiji kwa kijiji. Uliza nani mwamba wa sheria, Tena usisahau kupita kwa Wanazuoni wa kizazi cha 21 *uliza hilo swali, Pita *Udom, Udsm, Mzumbe, Saut, Tudarco mpaka,Ruco kwa wakatoliki. Wote watakujibu Gwiji wa sheria ni Kibatala na Tundu lissu, wakienda mbali watamtaja Mnyakusa wakili Mwabukusi wa Mwanjelwa.
Sasa acha hao wote, kuna huyu mwamba ambaye kawapiku wote, Rekodi yake haijawahi kuvunjwa na wote hao. Ubaya ni kuwa Hakufanya kazi zake kipindi Watoto wa Mkapa na JK tunazaliwa.
Huyu Mwamba alizitesa mahakama za Taifa hili Mpaka zikakubali, Hayati Jaji kisanga na Nyalali waliukubali mtikiso wa Mwamba huyu haijawahi kutokea.
Huyu Ndiyo Dr Masumbuko Mahunga Selasini Lamwai. almarufu Dr Lamwai, mzaliwa wa mkoa adhimu wa kilimajaro aliyezikataa zile mbichi na kuiheshimisha tasnia ya uwakili nchini.
Kwanza ni Genius vibaya mno, Alipoenda kusoma Chuo kikuu Cha Oxford- Uingereza aliwapiga na kitu kizito wazungu, aliwaambia yeye anao uwezo wa kusoma miaka miwili kozi ya miaka minne. Wakamjaribu, Mwamba akagraduate na kuwaacha wazungu wakomae na miaka minne.
Alihitimu PhD ya Criminal & Procedural law kwa miaka miwili tu badala ya minne. huu utaratibu ulikuwepo pale chuoni.
Mpaka sasa anatajwa kuwa ndiye Mwanafunzi pekee kutoka afrika aliyewahi kuhitimu hiyo fani kwa Miaka miwili.
Dr Lamwai alikuwa wakili matata Sana. Aliingia Bungeni kama Mbunge wa jimbo la ubungo mwaka 1995. Akiwa Bungeni aligoma kuapa kiapo cha utii kwa Rais. Akatoa hoja kuwa Bunge ni muhimili unaojitegemea, hivyo, sio Sawa mbunge kuapa kiapo cha utii kwa Rais, mwamba akamfundisha Spika dhana ya Separation of power, akampa vifungu konki Spika Pius Msekwa.
Spika Msekwa, akaamuru sheria ya kiapo cha utii irekebishwe na kufuta kipengele cha wabunge kuapa utii kwa Rais, wabunge wote walirudia kuapa upya mwaka huo na mpaka sasa wabunge hawaapi kiapo cha utii kwa Rais kwasababu ya ufundi wa Dr lamwai.
Dr Lamwai aliwahi kumshikisha adabu waziri mmoja aliye kuwa mwanamama. Alimpiga cross examination ya kichokozi kinoma, alimuuliza; "Inaonekana wewe ni Malaya Sana?", waziri akachukia, akaanza kutukana hovyo hovyo mahakamani.
Mwamba akatoa picha za Watoto wanne wa yule waziri akamuuliza; "Hawa ni wanao?", Waziri akakubali. Wakili lamwai akatoa picha za wanaume wanne akamwambia; iambie mahakama Hawa ni Akina nani?. Waziri akainamisha kichwa kwa aibu. Basi umalaya ukathibitishwa na wakili lamwai, kwani kila mtoto alikuwa na Baba yake kwenye zile picha. Yaani waziri alizaa na wanamume wanne tofauti. Huu ni utundu wa Dr lamwai.
Dr lamwai aliwahi Kusimamia kesi maarufu ya kupinga ushindi wa ubunge jimbo la temeke mwaka 1996 Ambapo alishinda na kumng'oa kitini mh Ramadhan kihiyo kwa tuhuma za kudanganya elimu yake.
Dr lamwai alikuwa kivutio kikubwa kwa vijana enzi za miaka ya 90. Inasemekana watu walilala kwenye stesheni za treni kumsubili lamwai.
Lamwai alikuwa mbunge wa kwanza wa chama cha upinzani NCCR-mageuzi katika jimbo la ubungo, aliitumia Taaluma ya sheria kushinikiza mambo nyeti na muhimu Bungeni.
Baada ya kuitesa serikali kwa muda mrefu, kisasi kikamfikia. Dr lamwai alifukuzwa kazi pale Udsm alipokuwa akifundisha sheria, akafanyiwa figisu akapoteza ubunge, akaporwa leseni ya uwakili, Mali zake zikataifishwa. akabaki yeye na nguo zake tu. Akaishi kwa dhiki muda mrefu hadi alipoamua kujiunga na chama tawala-CCM ndipo akarudishiwa leseni ya uwakili na mali zake.
Dr lamwai ametoa vipanga wa sheria nchini. Mfano mzuri ni wakili Msomi John Malya. Hiki kichwa kiliandaliwa na Dr lamwai pale chuo kikuu Cha Tumaini - dar es salaam.
Dr lamwai alifariki mwaka 2020 kwa maradhi.
wewe umezaliwa juzi, ni manguli wachache sana walishawahi kutokea Tanzania waliomzidi Lamwai, hao siwajui. hata Tundu Lisu na wote uliowataja walijifunza na kupata moyo na uzoefu toka kwa Lamwai. huyu jamaa alikuwa noma.View attachment 2795908
Nenda, pita pote, mji kwa mji, kijiji kwa kijiji. Uliza nani mwamba wa sheria, Tena usisahau kupita kwa Wanazuoni wa kizazi cha 21 *uliza hilo swali, Pita *Udom, Udsm, Mzumbe, Saut, Tudarco mpaka,Ruco kwa wakatoliki. Wote watakujibu Gwiji wa sheria ni Kibatala na Tundu lissu, wakienda mbali watamtaja Mnyakusa wakili Mwabukusi wa Mwanjelwa.
Sasa acha hao wote, kuna huyu mwamba ambaye kawapiku wote, Rekodi yake haijawahi kuvunjwa na wote hao. Ubaya ni kuwa Hakufanya kazi zake kipindi Watoto wa Mkapa na JK tunazaliwa.
Huyu Mwamba alizitesa mahakama za Taifa hili Mpaka zikakubali, Hayati Jaji kisanga na Nyalali waliukubali mtikiso wa Mwamba huyu haijawahi kutokea.
Huyu Ndiyo Dr Masumbuko Mahunga Selasini Lamwai. almarufu Dr Lamwai, mzaliwa wa mkoa adhimu wa kilimajaro aliyezikataa zile mbichi na kuiheshimisha tasnia ya uwakili nchini.
Kwanza ni Genius vibaya mno, Alipoenda kusoma Chuo kikuu Cha Oxford- Uingereza aliwapiga na kitu kizito wazungu, aliwaambia yeye anao uwezo wa kusoma miaka miwili kozi ya miaka minne. Wakamjaribu, Mwamba akagraduate na kuwaacha wazungu wakomae na miaka minne.
Alihitimu PhD ya Criminal & Procedural law kwa miaka miwili tu badala ya minne. huu utaratibu ulikuwepo pale chuoni.
Mpaka sasa anatajwa kuwa ndiye Mwanafunzi pekee kutoka afrika aliyewahi kuhitimu hiyo fani kwa Miaka miwili.
Dr Lamwai alikuwa wakili matata Sana. Aliingia Bungeni kama Mbunge wa jimbo la ubungo mwaka 1995. Akiwa Bungeni aligoma kuapa kiapo cha utii kwa Rais. Akatoa hoja kuwa Bunge ni muhimili unaojitegemea, hivyo, sio Sawa mbunge kuapa kiapo cha utii kwa Rais, mwamba akamfundisha Spika dhana ya Separation of power, akampa vifungu konki Spika Pius Msekwa.
Spika Msekwa, akaamuru sheria ya kiapo cha utii irekebishwe na kufuta kipengele cha wabunge kuapa utii kwa Rais, wabunge wote walirudia kuapa upya mwaka huo na mpaka sasa wabunge hawaapi kiapo cha utii kwa Rais kwasababu ya ufundi wa Dr lamwai.
Dr Lamwai aliwahi kumshikisha adabu waziri mmoja aliye kuwa mwanamama. Alimpiga cross examination ya kichokozi kinoma, alimuuliza; "Inaonekana wewe ni Malaya Sana?", waziri akachukia, akaanza kutukana hovyo hovyo mahakamani.
Mwamba akatoa picha za Watoto wanne wa yule waziri akamuuliza; "Hawa ni wanao?", Waziri akakubali. Wakili lamwai akatoa picha za wanaume wanne akamwambia; iambie mahakama Hawa ni Akina nani?. Waziri akainamisha kichwa kwa aibu. Basi umalaya ukathibitishwa na wakili lamwai, kwani kila mtoto alikuwa na Baba yake kwenye zile picha. Yaani waziri alizaa na wanamume wanne tofauti. Huu ni utundu wa Dr lamwai.
Dr lamwai aliwahi Kusimamia kesi maarufu ya kupinga ushindi wa ubunge jimbo la temeke mwaka 1996 Ambapo alishinda na kumng'oa kitini mh Ramadhan kihiyo kwa tuhuma za kudanganya elimu yake.
Dr lamwai alikuwa kivutio kikubwa kwa vijana enzi za miaka ya 90. Inasemekana watu walilala kwenye stesheni za treni kumsubili lamwai.
Lamwai alikuwa mbunge wa kwanza wa chama cha upinzani NCCR-mageuzi katika jimbo la ubungo, aliitumia Taaluma ya sheria kushinikiza mambo nyeti na muhimu Bungeni.
Baada ya kuitesa serikali kwa muda mrefu, kisasi kikamfikia. Dr lamwai alifukuzwa kazi pale Udsm alipokuwa akifundisha sheria, akafanyiwa figisu akapoteza ubunge, akaporwa leseni ya uwakili, Mali zake zikataifishwa. akabaki yeye na nguo zake tu. Akaishi kwa dhiki muda mrefu hadi alipoamua kujiunga na chama tawala-CCM ndipo akarudishiwa leseni ya uwakili na mali zake.
Dr lamwai ametoa vipanga wa sheria nchini. Mfano mzuri ni wakili Msomi John Malya. Hiki kichwa kiliandaliwa na Dr lamwai pale chuo kikuu Cha Tumaini - dar es salaam.
Dr lamwai alifariki mwaka 2020 kwa maradhi.
Kwa hiyo Lipumba hajaelimika?Ukiona msomi yeyote yeyote kaingia kwenye siasa, elewa kuwa huyo kasoma lakini hajaelimika.
Msomi kuingia kwenye siass iwe kwenye miaka yake ya kustaafu, ndipo kweli bado ana nia ya kuitumikia jamii.
Tazama kina Dr. Janabi, na fursa zote walizonazo na usomi wao lakini wamekataa kabisa kuingia kwenye siasa, Janabi alikataa mpaka uwaziri, anasema anataka kuitendea haki elimu yake. Hao ndiyo wasomi walioelimika.
Dr Walid Aman Walid Kabourow ana record yakeHuyu Dr masumbuko kuna muda alikuwa anawatesa Sana hata lytonga nae kuna kipindi alitoka kabisa kwenye reli
Walid Aman huyu nilikuwa namskia Tu
Ilikuwa ubabe na undava Sana