Mjue gwiji wa sheria nchini Dkt. Lamwai

Kwa maana hiyo kingunge ndio alikuwa mzizi wa fitna katika chama au ?

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Jamaa nilikua namkubali sana akiwa Bungeni enzi zile mkulima wa mbao
 
Tupe hicho kisa cha kukataa uwaziri. Bila shaka ni awamu ya nne
 
Huyu Wakili Msomi nimesikia kuwa alikuwa hayumbishwi kwa kile anachokiamini. Pamoja na kuwa kati ya waasisi wa vyama vingi vya siasa nchini, pia alikuwa mwanasheria aliyepingana na sheria zisizokuwa na mashiko nchini.

Nasikia baada ya kuchaguliwa kuwa Mbunge wa jimbo la Ubungo, wakati wa kuapishwa Bungeni aligoma kula KIAPO CHA UTII KWA RAIS kwa mantiki kuwa ni ukiukwaji wa misingi ya Mgawanyo wa Madaraka maana Rais ni mkuu wa mhimili wa Serikali, hivyo Bunge linatakiwa kujitegemea na kuwa huru katika utendaji kazi wake.
 
Umeeleza vizuri kabisa Mzee Wangu HIFIKEPUNYE POHAMBA
 
Watawala wa kiafrika ni wadhaifu sana, hata ukigomea teuzi zao utajengewa chuki na kuumizwa.
 
Nilibahatika kipiga naye kinywaji sana
Kwenye grocery yake iliyokuwa nyumbani kwake hapo kunduchi

Lamwai kwenye kesi zilizoangukia criminal alikuwa master kweri kweri

Ova
 
Hana mvuto wakisiasa angekuwa hivyo angekuwa ashaingia ,sikila mtu anaweza kuwa kiongozi wakisiasa
 
Siku anakataa huyo janabi wewe ulikuwepo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…