Mjue Jini Mahaba: Fahamu mengi kuhusu jini mahaba

Hawezi kukuua hadi Mwenyezi Mungu aizinishe, ila mateso yake ukikosea masharti ndio huwa mtihani, mbona unauliza hivyo mkuu unamtaka?
ndio namtaka ila si kwa mali, lengo anipe mapenzi ya kweli, nimechoka hawa waswahili sio waaminifu, nikimpata sitamsaliti. Je inawezekana pia kuzaa nae kabisa?
 
ndio namtaka ila si kwa mali, lengo anipe mapenzi ya kweli, nimechoka hawa waswahili sio waaminifu, nikimpata sitamsaliti. Je inawezekana pia kuzaa nae kabisa?
 
Utani tu mkuu. Siwezi mkubsli shetani mimi. Japo uliyoyazungumzia hapo yslishanitokea ila nikapambana Mungu akaniokoa
Have you read your signature before you quote this!?
 
ndio namtaka ila si kwa mali, lengo anipe mapenzi ya kweli, nimechoka hawa waswahili sio waaminifu, nikimpata sitamsaliti. Je inawezekana pia kuzaa nae kabisa?
Ndio
 
Bila shaka wewe ni mwislamu na unasimulia habari za waislamu wenzako (majini)
moja kati ya ujinga wa member wa humu ninaowafundisha baadhi ni kuondoa zana ya kujua waislamu na majini ni mtu na ndugu yake, na mkristo na pepo ni mtu na mume wake

Rakims
 
Bila shaka wewe ni mwislamu na unasimulia habari za waislamu wenzako (majini)
Ujinga hauwezi kuondoka kwa mjinga anapozeeka. Kama ni hivyo kila siku si mnawatoa kule mbona hawaishi, kwahiyo waislam ndio waletea makanisani au?
 
Dah! Mkuu mimi nataka niite wakike
 
Duuuh...! Nimekusoma mkuu
 
Jins wapo dimension ya ngapi? Na wotewapo hapo au wengine ya juu zaid?
Je jins wana ustarabu mkubwa kuliko binadamu and thinking capacity?
Je spiritual wako complete au bado wanakasoro kubwa kama binadam?
Je kujificha kwao wanatuogopa ss bin adam au ss ndo hatuwaoni?
 
Huo ni uongo mtupu, na hakuna viumbe wa aina hiyo.


Nasema tena na tena, jinsi ulivyoelezea hiyo habari juu ya majinni, umetia chumvi kibao kiasi kwamba habari yote inakuwa ni uongo.

Na hizo picha ulizoweka ndiyo kabisaa zinashadidia uongo wako.
 


Very good technical Qns. 🤔
 
Nasema tena na tena, jinsi ulivyoelezea hiyo habari juu ya majinni, umetia chumvi kibao kiasi kwamba habari yote inakuwa ni uongo.

Na hizo picha ulizoweka ndiyo kabisaa zinashadidia uongo wako.
Si uWeka wewe hizo habari za kweli unazozijua wewe kuliko kuja kubwabwaja hapa? Punguone wahead ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…