To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Jitolee hata 20k basi mkuuHata nchi inapitia kipindi kivumu sana, kama wewe tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitolee hata 20k basi mkuuHata nchi inapitia kipindi kivumu sana, kama wewe tu.
Yanayofanyika Dar hayapo mikoani,kama unampenda mwanao Dar sio salama
Dar ni sincity
Ukistaafu usiishi Dar kama unataka kuongeza umri
Aise Mungu atunusuru ambao hatujaingia hukoNjoo Msasani fasta
Wewe utakuwa upo isitimbi huko hata maeneo yanayozungumzwa unayasikia kwenye tv basi kama uko hapa mjini umejifungia sebuleni kwa shemeji yakoUkisikia Dar ardhi ina thamani basi unafikiri huo uthamani unalingana maeneo yote!
Japo ndio nimetoka kifungoni(jf ban) lakini nataka nikwambie kwamba huna akili timamu,usifikiri kila mtu anatoka huko porini kwenu na kujileta Dar na kuanza kuteseka kwa kulala kwenye vibaraza vya watu hatimaye mnaingizwa kwenye michezo michafu bila kupenda kwa tamaa ya kipato cha haraka haraka kuwa na adabu wengine ni baba zako na tuna miji yetu.Wewe utakuwa upo isitimbi huko hata maeneo yanayozungumzwa unayasikia kwenye tv basi kama uko hapa mjini umejifungia sebuleni kwa shemeji yako
Yani Magufuli. Wakristo hatupendi kuwainua wakristo wenzetu.View attachment 2547499
Judith Mhina ni mkurugenzi wa makampuni ya PMM 2001 ESTATES LTD ambayo yanamiliki utitiri wa majumba na majengo Msasani, Mikocheni, Oysterbay na Masaki.
Pia anamiliki eneo kubwa sana la bandari kavu Vingunguti Nyerere Road.
Mama huyu alitaka kununua Vingunguti yote na Buguruni Mnyamani ili aongeze eneo la bandari kavu yake. Tayari alikuwa ameshawalipa watu wengi tu, ndipo Magufuli akasimamisha zoezi hilo.
Hivi unajua kwamba magorofa ni traps kama ilivyo vituo vya mafuta mijini?Uliona kilichotokea Uturuki?This should teach us.Mkuu ujenzi wa magorofa ni mfumo wa ujenji wenye hidden agenda:to kill en masse wanapo taka,na wadanganyika bila kujua wanaiga tu.Ni bora mtu upewe akili kuliko mali mkuu.Hawa ndio watu tunaowahitaji, masikini wanaharibu miji yetu, DSM ilitakiwa ijengwe majengo mazuri ya kisasa apartments za magorofa kisha watu waje wapange, sio kuruhusu ujenzi holela.
Wengi ni wasimamizi tu mkuu wasiwape shida.Kumbe hata mradi haukuwa wake.
Ujanja ujanja tu halafu mnakashifu watu bila sababu.
Chuki sana na wivu. Briefly jamaa alikuwa na roho ya kifukara sanaYani Magufuli. Wakristo hatupendi kuwainua wakristo wenzetu.
Judith Muhina umeamua kujipigia promo ili upate uteuzi wa mamaView attachment 2547499
Judith Mhina ni mkurugenzi wa makampuni ya PMM 2001 ESTATES LTD ambayo yanamiliki utitiri wa majumba na majengo Msasani, Mikocheni, Oysterbay na Masaki.
Pia anamiliki eneo kubwa sana la bandari kavu Vingunguti Nyerere Road.
Mama huyu alitaka kununua Vingunguti yote na Buguruni Mnyamani ili aongeze eneo la bandari kavu yake. Tayari alikuwa ameshawalipa watu wengi tu, ndipo Magufuli akasimamisha zoezi hilo.
Kwa sasa hao inabidi wahamishiwe rufiji huko.Mji huanzishwa na wanyonge,kamegeni selous mjenge apartments,hao wa mnyamani waliojenga holela ndiyo waanzilishi wa mji,bila wao pasingekuwa na dar es salaam
Mswahili na wewe mtu wa mbalizi unayechambia tishu,nani anajua usafi!?Kwa sasa hao inabidi wahamishiwe rufiji huko.
Hawa waswahili hawawezi kutunza mji maana asili yao uchafu
Heee[emoji15] waswahili maendeleo yenu kuchambia maji[emoji23][emoji23]. Alafu kuwa makini na hao wa mbalizi ndio wanamiliki mijengo tegeta na bunju nyie si mmeamua kuishi na joto na mbu tandaleMswahili na wewe mtu wa mbalizi unayechambia tishu,nani anajua usafi!?
Anajipigia promo ili siku akileta ndege air PMM au meli Ms PMM raia wasishtuke mioyoJudith Muhina umeamua kujipigia promo ili upate uteuzi wa mama
Sasa kama wewe unadhalilishwa ndo upate kuishi unahisi Kila mtu anadhalilishwa?Japo ndio nimetoka kifungoni(jf ban) lakini nataka nikwambie kwamba huna akili timamu,usifikiri kila mtu anatoka huko porini kwenu na kujileta Dar na kuanza kuteseka kwa kulala kwenye vibaraza vya watu hatimaye mnaingizwa kwenye michezo michafu bila kupenda kwa tamaa ya kipato cha haraka haraka kuwa na adabu wengine ni baba zako na tuna miji yetu.
Wewe hata mji wenyewe hata sijui kama unaujua vyema basi tu unajitia ushujaa kwa vile umepata access ya kuingia JF kupitia kisimu chako ambacho umekipata kwa tabu sana na saa ingine na kudhalilishwa juu.
Unajua tofauti ya maendeleo,kufanikiwa na kistaarabika!?Heee[emoji15] waswahili maendeleo yenu kuchambia maji[emoji23][emoji23]. Alafu kuwa makini na hao wa mbalizi ndio wanamiliki mijengo tegeta na bunju nyie si mmeamua kuishi na joto na mbu tandale
Unaongea nini mkuu, Jamiii yenye maendeleo indicator yake namba moja ni kustaarabika. Ukienda nchi kama UK, SA au US utaelewa.Unajua tofauti ya maendeleo,kufanikiwa na kistaarabika!?
Magomeni ipi unayoizungumzia?Mbona keshaanza kuinunua tena, bora wampe tu aviondoe vile vijumba vichafu vinachafua Mji.
Buguruni imekita mizizi ya ushirikina pale ni dampo thus haina maendeleo.
Buguruni, magomeni, manzese, kiwalani,kigogo, vingunguti haya maeneo inatakiwa wauziwe watu wajenge vitega uchumi, Ili kubadili sura ya mji. Hayo maeno katikati ya mji yanatia aibu, ukiwa juu ya ndege ndo utajionea
Acha uongoWanakuweka katika uangalizi kwanza