Mjue Kanali Nyamburi Mashauri, ADC wa Rais Samia Suluhu

Mjue Kanali Nyamburi Mashauri, ADC wa Rais Samia Suluhu

Hili jina Mashauri!
Linatia shaka,kama atakuwa anatoka kanda ileee,iliyokula bata sana,tangu 2015!!!

Jina kama la mkoa wa Mara ivi,uko maeneo ya Lake Zone kwa hayati.
Ipo hivi jeshini kiujumla watu wa kanda ya ziwa ni wengi Sana hasa wale wazoefu na waliingia kipindi cha Nyerere mpaka kipind cha Mkapa, wakati huo makabila mengine ya wasomi Kama Wahaya na Wachaga wenyewe walipendelea kujiendeleza zaidi huku wakiamini kazi za jeshi ni kazi za waliofeli ..... Kwa vyovyote vile Kwa sasa hv ukihtaji experienced army leader lazima ukumbane na kanda ya ziwa ......
 
Ipo hvi jeshini kiujumla watu wa kanda ya ziwa ni wengi Sana hasa wale wazoefu , na waliingia kipind cha Nyerere mpak kipind cha mkapa , wakat huo makabila mengine ya wasomi Kama Wahaya na Wachaga wenyewe walipendelea kujiendeleza zaidi huku wakiamin kazi za jeshi ni kazi za waliofeli...
Kwa Wahaya siyo Kanda ya Ziwa,
 
So sad, hakuna mtu aliyelua kama acd wa magu yaani ulaji ndio umeisha anarudi kambini
 
Back
Top Bottom