Ni Ngumu kuwaepuka hawa watu miaka 6 watakuwa wameshajisimika deep sana ndani ya mfumoHili jina Mashauri!
Linatia shaka,kama atakuwa anatoka kanda ileee,iliyokula bata sana,tangu 2015!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Ngumu kuwaepuka hawa watu miaka 6 watakuwa wameshajisimika deep sana ndani ya mfumoHili jina Mashauri!
Linatia shaka,kama atakuwa anatoka kanda ileee,iliyokula bata sana,tangu 2015!!!
Hahahaha nimecheka Sana kwa jibu lako hili...inabidi uwe mpole kwani uelewa wa baadhi yetu ni wa chini Sana...Walimu wako walipata sana tabu. Soma vizuri basi maelezo yangu hapo juu
Hili jina Mashauri!
Linatia shaka,kama atakuwa anatoka kanda ileee,iliyokula bata sana,tangu 2015!!!
Ipo hivi jeshini kiujumla watu wa kanda ya ziwa ni wengi Sana hasa wale wazoefu na waliingia kipindi cha Nyerere mpaka kipind cha Mkapa, wakati huo makabila mengine ya wasomi Kama Wahaya na Wachaga wenyewe walipendelea kujiendeleza zaidi huku wakiamini kazi za jeshi ni kazi za waliofeli ..... Kwa vyovyote vile Kwa sasa hv ukihtaji experienced army leader lazima ukumbane na kanda ya ziwa ......Jina kama la mkoa wa Mara ivi,uko maeneo ya Lake Zone kwa hayati.
Nimeashangaa sana.Mtu makini kusimama nyuma ya rais na kushika mafaili??
Hahahaha nimecheka Sana kwa jibu lako hili...inabidi uwe mpole kwani uelewa wa baadhi yetu ni wa chini Sana...
Duuuu hilo swali[emoji26][emoji26][emoji848]Jinsia gani
Dawa hapo ni kupiga mazoeziMwili wenyewe unaonyesha ukileta za kuleta hapa utakuwa kama umepigwa na bluce Lee. Mama nae ajitahidi apungue changamoto haipendi unene.
Enzi zenu zimekwisha sasa iliyobaki mjiandae kurudi kwenu koromitje mkalime mihogo tuMtu makini kusimama nyuma ya rais na kushika mafaili??
Bila hata kutafuna maneno,Jina kama la mkoa wa Mara ivi,uko maeneo ya Lake Zone kwa hayati.
Jina kama la mkoa wa Mara ivi,uko maeneo ya Lake Zone kwa hayati.
[/QUOT
Definitely huyo ni kutoka Mara. Ni mjita hata bila kugumble
Asante☺️Ntaufanyia kazi ushauri wako
Anzeni kufunga virago MATAGA wote mrudi kwenu maana mjini kushakuwa kugumuJina kama la mkoa wa Mara ivi,uko maeneo ya Lake Zone kwa hayati.
Lumumba mwenzako huyo maana naona sasa mnagombea fitoKashike wewe basi
Mbona unampigia sana debe? Au ndiye shemeji yetu?
Wata ng'oka wote hao sasa siyo zamu yaoNi Ngumu kuwaepuka hawa watu miaka 6 watakuwa wameshajisimika deep sana ndani ya mfumo
Lumumba mwenzako huyo maana naona sasa mnagombea fito
Kwa Wahaya siyo Kanda ya Ziwa,Ipo hvi jeshini kiujumla watu wa kanda ya ziwa ni wengi Sana hasa wale wazoefu , na waliingia kipind cha Nyerere mpak kipind cha mkapa , wakat huo makabila mengine ya wasomi Kama Wahaya na Wachaga wenyewe walipendelea kujiendeleza zaidi huku wakiamin kazi za jeshi ni kazi za waliofeli...
Possibly ni MjitaJina kama la mkoa wa Mara ivi,uko maeneo ya Lake Zone kwa hayati.