Mjue Kanali Nyamburi Mashauri, ADC wa Rais Samia Suluhu

Mjue Kanali Nyamburi Mashauri, ADC wa Rais Samia Suluhu

Mkuu Kwan nimesema wote , watu wa kaskazin enzi hzo idadi ilikuwa ndogo walioenda jeshi , na kpind cha vita ya kagera wanaume wa mkoa wa mara walijiandikisha wengi Sana kuzidi mkoa wwte Tanzania , na Kwa sa hv wengi Wana miaka hamsin na kuendelea na hao ndo experienced ndo wanashika nyazifa za juu jeshini , sio kwamba ni ukabila Ila majamaa ndo wamejaa , ukitafta wakuu wa jeshi wenye uzoefu unakuta wao ndo wapo wengi kulinganisha na makabila mengine, Kwa vyovyote vile kwenye vitengo vingi vya ulinzi utawakuta
wakati wa vita vya kagera kila mkoa ulitakiwa kutoa idadi sawa ya vijana watakaokwenda mgambo na hatimaye kwenda mstari wa mbele. mkoa wa mara ndio mkoa uliokuwa na msisimko zaidi katika kujiandikisha kwenda vitani. nadhani hata wazee walikuwa wanajitokeza. kwa hiyo mkoa huo ukaruhusiwa kuzidisha ili quota ambayo kila mkoa ulikuwa umewekewa.

kuhusu watu wa kaskazini kuwepo jeshini naweza kukuhakikishia kuwa walikuwepo wengi wa kutosha. tena kuna miaka ya 70 maofisa wa jwtz toka kaskazini waliondolewa jeshini na kupelekwa ktk mashirika mbalimbali ya umma.
 
Huyu kombe ana undugu na mkuunwa kikosi cha usalama bara barani waczaman James kombe?
kuna kombe wanaotokea machache na utakuta wana majina ya kiislamu, na kombe wanaotokea marangu wana majina ya kikristo. nadhani kombe aliyekuwa Cos wa Jwtz na DG wa Tiss hana mahusiano na kombe aliyekuwa Polisi Usalama bararani.
 
Nakupa mwezi tu utaleta bandiko la huyo ADC akipewa kazi ya kwenda ubalozini nchi za ukanda wa scandnavia huko kama alivyopewa shavu la ukuu wa wilaya au mkoa nashani ADC wa kwanza wa magufuli ambae alimpokea toka kwa JK
Duu jamaa umechanganya vibaya sana, ADC Alipandishwa cheo kuwa brig. General we unasema alipewa ukuu wa wilaya
 
Enzi za meko, ni mshika mkoba wenye pesa kwenye mafungu ya mil 5.
Zama mpya na mambo mapya. Samia Suluhu Hassan ndio Rais mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya kula kiapo leo, akichukua nafasi ya Hayati John Pombe Magufuli.

Baada ya kula kiapo, Rais Samia Suluhu (Double S) tukamuona mpambe mpya nyuma ya Rais Samia, kinyume na ilivyozoeleka na wengi, mpambe akawa mwanamama.

Wengi hawamfahamu, mpambe huyu anaitwa Nyamburi Mashauri ambaye ni Kanali kutoka JWTZ na nimepenyezewa kuwa ni mtu makini sana kwenye utendaji wa kazi hivyo Rais wetu amepata msaidizi sahihi.

Kanali Nyamburi Mashauri anachukua nafasi ya Kanali Bernard Mlungwa ambaye alikuwa mpambe wa Hayati Rais Magufuli.

Nikutakie utendaji mzuri wa kazi Kanali Nyamburi Mashauri katika jukumu lako kubwa la kumsaidia Rais wetu mpendwa Samia Suluhu.
View attachment 1729549
 
Zama mpya na mambo mapya. Samia Suluhu Hassan ndio Rais mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya kula kiapo leo, akichukua nafasi ya Hayati John Pombe Magufuli.

Baada ya kula kiapo, Rais Samia Suluhu (Double S) tukamuona mpambe mpya nyuma ya Rais Samia, kinyume na ilivyozoeleka na wengi, mpambe akawa mwanamama.

Wengi hawamfahamu, mpambe huyu anaitwa Nyamburi Mashauri ambaye ni Kanali kutoka JWTZ na nimepenyezewa kuwa ni mtu makini sana kwenye utendaji wa kazi hivyo Rais wetu amepata msaidizi sahihi.

Kanali Nyamburi Mashauri anachukua nafasi ya Kanali Bernard Mlungwa ambaye alikuwa mpambe wa Hayati Rais Magufuli.

Nikutakie utendaji mzuri wa kazi Kanali Nyamburi Mashauri katika jukumu lako kubwa la kumsaidia Rais wetu mpendwa Samia Suluhu.
View attachment 1729549
Kama mwanamume? Aide de camp......................An aide-de-camp (UK: /ˌeɪddəˈkɒ̃/, US: /-ˈkæmp/; French expression meaning literally helper in the [military] camp) is a personal assistant or secretary to a person of high rank, usually a senior military, police or government officer, or to a member of a royal family or a head of state.
 
Ipo hvi jeshini kiujumla watu wa kanda ya ziwa ni wengi Sana hasa wale wazoefu , na waliingia kipind cha Nyerere mpak kipind cha mkapa , wakat huo makabila mengine ya wasomi Kama Wahaya na Wachaga wenyewe walipendelea kujiendeleza zaidi huku wakiamin kazi za jeshi ni kazi za waliofeli ..... Kwa vyovyote vile Kwa sa hv ukihtaji experienced army leader lazima ukumbane na kanda ya ziwa ......
Major General Pombe Hayati, Major General Alfred Mbowe, Hayati, , Major General Meela, Major General Kiwelu
 
Hivi nii mtoto wa Brigadier General Eng Mashauri aliyekuwa Nyumbu?
 
Hii ikoje tuliambiwa kwenye haya maadhimisho ya paredi za wajeda Tanzania haina commando ke. Huyu tena canal kapatikana wapi.? Au ni quartermaster tu?
 
Ni Ngumu kuwaepuka hawa watu miaka 6 watakuwa wameshajisimika deep sana ndani ya mfumo
Nyie mnataka akina nani? Natoka kaskazini na sioni tabu mwenye sifa kupewa nafasi, ati tuache kisa katoka kabila au kanda moja! Tuache ungumbaru
 
Back
Top Bottom