Mjue Kanali Nyamburi Mashauri, ADC wa Rais Samia Suluhu

Mjue Kanali Nyamburi Mashauri, ADC wa Rais Samia Suluhu

mbona aliyekuwa mpambe wa Kikwete na mpambe wa kwanza wa Magufuli sasa hivi ni mkuu wa chuo cha jeshi kilichoko Tanga?
Aliyekua( Kanali )Kwasasa Brig Gen Mbaraka Naziad Mkeremi alipandishwa cheo na akaenda ubalozi(Sitautaja) ila alirudi akafanya Mastars NDC ndo akapelekwa SKUA Kange,Tanga

Na kwa taarifa tu hata kabla ya kuja kukaa mgongoni mwa CiC alikua hapo hapo Tanga kama mkufunzi(Mtaalam wa Mifumo ya Anga)
 
Anaitwa Kanali Nyamburi Mashauri, ADC wa kwanza wa kike wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
FB_IMG_1616179148802.jpg
 
Huyo mama ni jinsia gani maana hapo sasa ndo tunaanza waza itakuaje? Je ni mwanaume au mwanamke? Maana Rais ni mwanamke.
 
Akiwa mjamzito anakaa benchi au hao hawazaagi
 
siyo kweli kwamba wachagga waliamini kuwa kazi za jeshi ni kazi za waliofeli. wachaga walijiunga na jeshi hata wakati wa Mwalimu Nyerere na ndio maana kati ya makamanda wakuu wa vita vya kagera walikuwepo majenerali kama Tumainieli Kiwelu[CoS], Imrani Hussein Kombe, na Muhidin Mfaume Kimario, na askari wengine wengi ktk ngazi za kati. hata ukienda ukichimbua rekodi za Tanganyika Rifles jeshi mtangulizi wa Jwtz bado utawakuta askari wa Kichagga.
Huyu Kombe ana undugu na mkuunwa kikosi cha usalama bara barani waczaman James kombe?
 
Huenda ameangalia hiyo sura kwenye picha yake akashindwa kujua ni jinsia gani. Halafu Mkuu umekosa picha nyingine yenye hadhi ukaweka hiyo aliyopigia kwenye nyumba ya urithi? Hebu tazama kitasa cha huo mlango, na socket ya umeme hapo ukutani.
Loh! Umenivunja mbavu!😀 kuhusu hiyo nyumba!
 
Enzi zenu zimekwisha sasa iliyobaki mjiandae kurudi kwenu koromitje mkalime mihogo tu
Yani kutoka kuteuliwa kuwa wakurugenzi wa mashirika na makatibu wakuu hadi kuanza kutupatia ulinzi wa mgongo, mbona mapema hivyo hata kabla ya baba yetu kuzikwa
 
Aanze na kumshauri Raisi kujikinga na kuwakinga wengine na maambukizi ya korona. Taifa lijiunge na dunia katika kupambana na Janga hili. Tusipofanya hivi tutakuwa tunakipa kirusi uwanja wa kutoa variants na pengine kufanya chanjo zilizopo kuwa useless.

Ukicheza na kirusi nacho kitakuchezea sasa nani atakula hasara?. Raisi alivyoanza leo naona kama hawakuwa makini kwenye hili suala. Laiti kama kungekuwa na mkazo kwa taifa zima kuvaa barakoa kwa mwezi mmoja tuone itakuwaje.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Alie kupenyezea mwambie akuoenyezee tena vizuri... Kama hamjui protocol msipende kuongea ongea mbele za watu...
 
Ni Ngumu kuwaepuka hawa watu miaka 6 watakuwa wameshajisimika deep sana ndani ya mfumo
Miaka sita? Watu kitambo tangu enzi za Mkapa na JK!!!


Kwahiyo tulieni msilete ubaguzi wa Kikanda hapa.
 
Back
Top Bottom