Mjue Kanali Nyamburi Mashauri, ADC wa Rais Samia Suluhu

Mjue Kanali Nyamburi Mashauri, ADC wa Rais Samia Suluhu

Si kweli kwamba lazima aende ubalozini, Kimaryo wa JK alienda ubalozini? Na yule JK aliyemaliza nae akahudumu pia kidogo kwa Magufuli mbona yupo Tanga kambini
Hata Brigedia Mkeremy pia yuko huko TFS
 
Tanzania bila kuwa na watu kutoka mkoa wa Mara mngeonewa sana na nchi jirani.
 
Ipo hivi jeshini kiujumla watu wa kanda ya ziwa ni wengi Sana hasa wale wazoefu na waliingia kipindi cha Nyerere mpaka kipind cha Mkapa, wakati huo makabila mengine ya wasomi Kama Wahaya na Wachaga wenyewe walipendelea kujiendeleza zaidi huku wakiamini kazi za jeshi ni kazi za waliofeli ..... Kwa vyovyote vile Kwa sasa hv ukihtaji experienced army leader lazima ukumbane na kanda ya ziwa ......

Ahsante sana kwa Msaada kwao.
 
Aliyekua( Kanali )Kwasasa Brig Gen Mbaraka Naziad Mkeremi alipandishwa cheo na akaenda ubalozi(Sitautaja) ila alirudi akafanya Mastars NDC ndo akapelekwa SKUA Kange,Tanga

Na kwa taarifa tu hata kabla ya kuja kukaa mgongoni mwa CiC alikua hapo hapo Tanga kama mkufunzi(Mtaalam wa Mifumo ya Anga)
Upo correct kabisa Shule ya Kijeshi ya ulinzi wa Anga na ninakumbuka siku inapata ithibati toka NACTE katika sherehe za ufunguzi alikuwepo CoS Lt. Gen Y. Mohamed
 
Zama mpya na mambo mapya. Samia Suluhu Hassan ndio Rais mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya kula kiapo leo, akichukua nafasi ya Hayati John Pombe Magufuli.

Baada ya kula kiapo, Rais Samia Suluhu (Double S) tukamuona mpambe mpya nyuma ya Rais Samia, kinyume na ilivyozoeleka na wengi, mpambe akawa mwanamama.

Wengi hawamfahamu, mpambe huyu anaitwa Nyamburi Mashauri ambaye ni Kanali kutoka JWTZ na nimepenyezewa kuwa ni mtu makini sana kwenye utendaji wa kazi hivyo Rais wetu amepata msaidizi sahihi.

Kanali Nyamburi Mashauri anachukua nafasi ya Kanali Bernard Mlungwa ambaye alikuwa mpambe wa Hayati Rais Magufuli.

Nikutakie utendaji mzuri wa kazi Kanali Nyamburi Mashauri katika jukumu lako kubwa la kumsaidia Rais wetu mpendwa Samia Suluhu.

We sema tu unamjua hizi simulizi za kusema umepenyezewa ni za kishushi,endelea kupiga tarumbeta.
 
Jina kama la mkoa wa Mara hivi, huko maeneo ya Lake Zone kwa hayati.
Ni kweli ni Mara moja hiyo. Halafu sikia hii; hata yule "Black man who used to stand behind JPM and 'died' with Covid - 19 according to Lissu (ahahahahahahaha!) naye anaitwa Mashauri! Sijui ni coincidence au veepeeee!!!!
 
Ni kweli ni Mara moja hiyo. Halafu sikia hii; hata yule "Black man who used to stand behind JPM and 'died' with Covid - 19 according to Lissu (ahahahahahahaha!) naye anaitwa Mashauri! Sijui ni coincidence au veepeeee!!!!
Now, who died of covid- Jpm or Mashauri?
 
Unit maalumu ya ulinzi wa Rais kwa kushirikiana na TISS + Jeshi (Military intelejensi) ndiyo wanachakata.
Hamna Kitu, Kanali Mlunga alikuwa Msukuma na ana undugu na Jiwe.
Jiwe akamtaka, hakuna uchakataji wowote
 
Unit maalumu ya ulinzi wa Rais kwa kushirikiana na TISS + Jeshi (Military intelejensi) ndiyo wanachakata.
Enzi za Nyerere aliwahi kuwa na ADC kutoka Polisi, ni Ushamba na Show off za Ma Raisi wa Africa kuweka Afisa wa Jeshi Nyuma yake, ni aina ya intimidation
 
Zama mpya na mambo mapya. Samia Suluhu Hassan ndio Rais mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya kula kiapo leo, akichukua nafasi ya Hayati John Pombe Magufuli.

Baada ya kula kiapo, Rais Samia Suluhu (Double S) tukamuona mpambe mpya nyuma ya Rais Samia, kinyume na ilivyozoeleka na wengi, mpambe akawa mwanamama.

Wengi hawamfahamu, mpambe huyu anaitwa Nyamburi Mashauri ambaye ni Kanali kutoka JWTZ na nimepenyezewa kuwa ni mtu makini sana kwenye utendaji wa kazi hivyo Rais wetu amepata msaidizi sahihi.

Kanali Nyamburi Mashauri anachukua nafasi ya Kanali Bernard Mlungwa ambaye alikuwa mpambe wa Hayati Rais Magufuli.

Nikutakie utendaji mzuri wa kazi Kanali Nyamburi Mashauri katika jukumu lako kubwa la kumsaidia Rais wetu mpendwa Samia Suluhu.

Wengi wanadhan ADC ni Mlinzi wa Raisi, kwamba lazima awe fit na blah blah kibao
Iko hivi,, ADC ni neno la Kifaransa, Aid Dr Camp, Maana yake ni Field Aiistant kwa Kiingereza, anakuwaga Afisa wa Jeshi kuwa Nyuma ya Raisi au Member of Loyal Family Muda wote, ni Mpambe tu, kama Mpambe wa Bwana Harusi, hana anacholinda Maana Walinzi wa Raisi wapo, full equipped, kazi ya ADC ni Kubeba Mikoba ya Raisi na Kumsaidia Raisi, kuna siku Jiwe alisabau Tarehe, ADC akamkumbusha.
Kwa hiyo huyo Mama wala sio lazima awe Commando, ni Kupendezesha tu Presence ya Raisi, na pia ni Symbol ya kuwa Raisi ni Commander in Chief
Enzi za Nyerere aliwahi kuwa na ADC kutoka Polisi
 
Back
Top Bottom