Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
Huyo atapanda cheo na kuendelea kuwa juu Zaidi! Kama unadhani atahangaika futa Hilo wazo mkuu.So sad, hakuna mtu aliyelua kama acd wa magu yaani ulaji ndio umeisha anarudi kambini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo atapanda cheo na kuendelea kuwa juu Zaidi! Kama unadhani atahangaika futa Hilo wazo mkuu.So sad, hakuna mtu aliyelua kama acd wa magu yaani ulaji ndio umeisha anarudi kambini
Hata wajita Ni wengi tu, Mimi mwenyewe ninalo katika ukoo wetuHilo jina sio LA kijita hilo ni Jina LA Kikurya au Kizanaki.
Bora,maana hatuitaji msukuma kwa sasa,Ni mjita
Hata Brigedia Mkeremy pia yuko huko TFSSi kweli kwamba lazima aende ubalozini, Kimaryo wa JK alienda ubalozini? Na yule JK aliyemaliza nae akahudumu pia kidogo kwa Magufuli mbona yupo Tanga kambini
Aide de campKirefu cha ADC ni nn?
Ipo hivi jeshini kiujumla watu wa kanda ya ziwa ni wengi Sana hasa wale wazoefu na waliingia kipindi cha Nyerere mpaka kipind cha Mkapa, wakati huo makabila mengine ya wasomi Kama Wahaya na Wachaga wenyewe walipendelea kujiendeleza zaidi huku wakiamini kazi za jeshi ni kazi za waliofeli ..... Kwa vyovyote vile Kwa sasa hv ukihtaji experienced army leader lazima ukumbane na kanda ya ziwa ......
Upo correct kabisa Shule ya Kijeshi ya ulinzi wa Anga na ninakumbuka siku inapata ithibati toka NACTE katika sherehe za ufunguzi alikuwepo CoS Lt. Gen Y. MohamedAliyekua( Kanali )Kwasasa Brig Gen Mbaraka Naziad Mkeremi alipandishwa cheo na akaenda ubalozi(Sitautaja) ila alirudi akafanya Mastars NDC ndo akapelekwa SKUA Kange,Tanga
Na kwa taarifa tu hata kabla ya kuja kukaa mgongoni mwa CiC alikua hapo hapo Tanga kama mkufunzi(Mtaalam wa Mifumo ya Anga)
We sema tu unamjua hizi simulizi za kusema umepenyezewa ni za kishushi,endelea kupiga tarumbeta.Zama mpya na mambo mapya. Samia Suluhu Hassan ndio Rais mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya kula kiapo leo, akichukua nafasi ya Hayati John Pombe Magufuli.
Baada ya kula kiapo, Rais Samia Suluhu (Double S) tukamuona mpambe mpya nyuma ya Rais Samia, kinyume na ilivyozoeleka na wengi, mpambe akawa mwanamama.
Wengi hawamfahamu, mpambe huyu anaitwa Nyamburi Mashauri ambaye ni Kanali kutoka JWTZ na nimepenyezewa kuwa ni mtu makini sana kwenye utendaji wa kazi hivyo Rais wetu amepata msaidizi sahihi.
Kanali Nyamburi Mashauri anachukua nafasi ya Kanali Bernard Mlungwa ambaye alikuwa mpambe wa Hayati Rais Magufuli.
Nikutakie utendaji mzuri wa kazi Kanali Nyamburi Mashauri katika jukumu lako kubwa la kumsaidia Rais wetu mpendwa Samia Suluhu.
Ni kweli ni Mara moja hiyo. Halafu sikia hii; hata yule "Black man who used to stand behind JPM and 'died' with Covid - 19 according to Lissu (ahahahahahahaha!) naye anaitwa Mashauri! Sijui ni coincidence au veepeeee!!!!Jina kama la mkoa wa Mara hivi, huko maeneo ya Lake Zone kwa hayati.
Advanced diploma in commerce au alliance for democratic changeAid de camp, kifaransa. Ni nafasi ya msaidizi wa kiongozi.
Now, who died of covid- Jpm or Mashauri?Ni kweli ni Mara moja hiyo. Halafu sikia hii; hata yule "Black man who used to stand behind JPM and 'died' with Covid - 19 according to Lissu (ahahahahahahaha!) naye anaitwa Mashauri! Sijui ni coincidence au veepeeee!!!!
Hamna Kitu, Kanali Mlunga alikuwa Msukuma na ana undugu na Jiwe.Unit maalumu ya ulinzi wa Rais kwa kushirikiana na TISS + Jeshi (Military intelejensi) ndiyo wanachakata.
Enzi za Nyerere aliwahi kuwa na ADC kutoka Polisi, ni Ushamba na Show off za Ma Raisi wa Africa kuweka Afisa wa Jeshi Nyuma yake, ni aina ya intimidationUnit maalumu ya ulinzi wa Rais kwa kushirikiana na TISS + Jeshi (Military intelejensi) ndiyo wanachakata.
Advance Development CentreKirefu cha ADC ni nn?
Wengi wanadhan ADC ni Mlinzi wa Raisi, kwamba lazima awe fit na blah blah kibaoZama mpya na mambo mapya. Samia Suluhu Hassan ndio Rais mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya kula kiapo leo, akichukua nafasi ya Hayati John Pombe Magufuli.
Baada ya kula kiapo, Rais Samia Suluhu (Double S) tukamuona mpambe mpya nyuma ya Rais Samia, kinyume na ilivyozoeleka na wengi, mpambe akawa mwanamama.
Wengi hawamfahamu, mpambe huyu anaitwa Nyamburi Mashauri ambaye ni Kanali kutoka JWTZ na nimepenyezewa kuwa ni mtu makini sana kwenye utendaji wa kazi hivyo Rais wetu amepata msaidizi sahihi.
Kanali Nyamburi Mashauri anachukua nafasi ya Kanali Bernard Mlungwa ambaye alikuwa mpambe wa Hayati Rais Magufuli.
Nikutakie utendaji mzuri wa kazi Kanali Nyamburi Mashauri katika jukumu lako kubwa la kumsaidia Rais wetu mpendwa Samia Suluhu.