Mjue Kwa ufupi Cornele Nangaa Yobeluo, Kiongozi wa waasi huko DRC

Mjue Kwa ufupi Cornele Nangaa Yobeluo, Kiongozi wa waasi huko DRC

Status
Not open for further replies.
Cornele Nangaa Yobeluo ,aliwahi kuwa Mkuu wa tume ya uchaguzi ya Congo , uchaguzi uliomuingiza Rais Felix Tshishekedi Tshilombo

Nangaa ambae Kwa Sasa ndio kiongozi wa muungano wa waasi ndio anayepeperusha Bendera ya waasi kuelekea Kinshasa

Nangaa na Felix walipishana mtazamo akaondolewa ktk nafasi hiyo Sasa anataka kwenda Kinshasa kumtoa Felix

Njia na mbinu anazotumia ni zile zile alizotumia Mzee Kabila Snr

Je, atafanikiwa ....



Nitarudi ...
Vipi kuhusu hii habari kwamba migodi yake mingi mikubwa imechukuliwa na serikali ya Tshekedi na hivyo kumpa hasira na kuamua kujiunga na M23 ni ya kweli?
 
Na hao wanajeshi wanaopigana nje ya mfumo, wanamuamini vipi huyu mwamba? Pesa za kuwalipa anapata wapi?
 
Ha hahahaha unajua Mimi sio muandishi mzuri ,ila Nina vitu navijua kuviandika vile inatakiwa ndio nashindwa

Ila tembea na hits hizi :
1.Nangaa baada ya kupishana mtazamo na Felix alienda kuishi Kenya Kwa muda

2.Rais Felix anakataa uwepo wa majeshi ya East Africa na kuchukua Sadc

3.Vikosi vya Kenya vinaondoka East Congo kupisha Samidrc

4.Goma wanaunda makundi ya kizalendo kuwakabili M23

5.M23 wanajibu mapigo Hadi Sasa tunachokiona
Felix akifanya ujinga yatamkuta ya Assad, asante kwa hints.
 
Felix akifanya ujinga yatamkuta ya Assad, asante kwa hints.
Hadi hapo tayari kaishabugi, ana wakati mgumu sana, hii ishu ilishapangwa ikapangika ,ili achomoke hapo , inatakiwa atumie akili km za Muzee Kabila,kutafuta nchi washirika ,wakamsaidie
 
Kwa hiyo huyu ndio amelowa damu za wakongoman? Inabidi akatwe makende akiwa hai.
 
Turudi kwenye mada. Kwann Kongo makundi ya waasi huibuka mara kwa mara?
Unadhani M23 inautofauti gani na makundi mengine ambayo nimewahi kuyaskia?
Na ni kwanini eneo lenye mzozo mara kwa mara ni mashariki mwa Kongo?
Kwann serikali ya Kongo imeshindwa kuployed wanajeshi eneo la mzozo na kulitangia hali ya hatari kwa muda wa miaka kadhaa ili kuua kabsa uasi na machafuko.

Asante!
Swali zuri nijibu Kwa mtazamo wangu na kile nilichokiona kipindi nikiwa huko

Kwanza ukiachana na rasilimali ambazo ziko huko east

Mgogoro wa kwanza east DRC ni utambuzi wa wakazi na wenyeji hili ndio tatizo Kuu kule east ,nani mkazie mwenyeji na mzawa na nani mkazie mgeni ...( Waliozaliwa kabla na baada )

Pili eneo husika kimkakati Kwa nchi km Rwanda, Uganda na Sudan ( Rejea hizi nchi zimepitia style ya kupindua a na sehemu ya kujiandaa kupindua ni huko east Congo

Kule ktk misitu ya Congo Kuna waasi wanitwa FDLR Hawa ni maadui wa Kagame, ni wahutu waliokimbia Rwanda 1994,

Kuundwa Kwa M23 iliku kuwadhibiti hao na kuifanya Congo isiwe stable kule east FDLR wakajipanga ..
 
K
Turudi kwenye mada. Kwann Kongo makundi ya waasi huibuka mara kwa mara?
Unadhani M23 inautofauti gani na makundi mengine ambayo nimewahi kuyaskia?
Na ni kwanini eneo lenye mzozo mara kwa mara ni mashariki mwa Kongo?
Kwann serikali ya Kongo imeshindwa kuployed wanajeshi eneo la mzozo na kulitangia hali ya hatari kwa muda wa miaka kadhaa ili kuua kabsa uasi na machafuko.

Asante!

Jibu rahisi ni hili Congo haijaqahi kuwa taifa huru inapandikiziwa mamluki kuanzia viongozi, vikundi vya waasi na aina zake zote. Lengo nikuifanya isiwe stable state hata kama atachukua mwingine naye atakuwa kibaraka wa wazungu. Wanachifanya ni ufadhili kutoka mataifa tofauti ya ulaya na Usa River . Viko vikundi vingi mno. Kinachofuatwa ni malighafi hususan madini ,iko dhahabu na sasa cobalt ambayo ni deal kubwa .
Ninachoweza kushauri EAC ni kuimega RDC na kujitwalia maeneo maana ni wajinga.
Na ujinga huu ndio unaendeshwa humu kwa propoganda za nani mbabe kati ya Tz na Rwanda lengo watu wakiwashe, na mmoja ameshajazwa kichwa kwa vimsaada vya kijeshi na intel info bila kujua kuwa dunia imegaqnyika block 2 na kila moja ni giant. Ukisifiwa magharibi mwenzako naye atapongezwa mashariki na wote watapewa zana na intel info. Mfano kama Rwanda ataamua kupigana na SA au TZ ajue Urusi na CHina watakuwa back up kwa hao na hata sasa intel infos ziko wazi.

USHAURI PK na wengine waachwe kujazwa vichwa ili wapigane, qakae kqma ndugu wasonge mbele.
Ngoja nijipange kuondoka kigali nienda zangu Bundibu....
 
Mimi namkubali sana yule msemaji wa m23 anayeitwa kanali willy Ngoma.Akianza kuoongea madai Yao unaona kabisa ni ya msingi na wenye matatizo ni serikali iliyoko madarakani.
Yule juzi hapa alikua anaongea kalewa bangi na pombe mpaka kujieleza tabu 🤣🤣
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom