Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kuhusu hii habari kwamba migodi yake mingi mikubwa imechukuliwa na serikali ya Tshekedi na hivyo kumpa hasira na kuamua kujiunga na M23 ni ya kweli?Cornele Nangaa Yobeluo ,aliwahi kuwa Mkuu wa tume ya uchaguzi ya Congo , uchaguzi uliomuingiza Rais Felix Tshishekedi Tshilombo
Nangaa ambae Kwa Sasa ndio kiongozi wa muungano wa waasi ndio anayepeperusha Bendera ya waasi kuelekea Kinshasa
Nangaa na Felix walipishana mtazamo akaondolewa ktk nafasi hiyo Sasa anataka kwenda Kinshasa kumtoa Felix
Njia na mbinu anazotumia ni zile zile alizotumia Mzee Kabila Snr
Je, atafanikiwa ....
Nitarudi ...
Sijui hili ila inawezekana, maaana jamaa alipopishana na Felix alikimbilia kwanza KenyaVipi kuhusu hii habari kwamba migodi yake mingu mikubwa imechukuliwa na serikali ya Tshekedi na hivyo kumpa hasira na kuamua kujiunga na M23 ni ya kweli?
Anaenda kumng'oaFelix asipokua mjanja anatoka hapo
Nje ya Mada MkuuUna undugu na Eric Mandala yule muuza ngada?
Madini anamiliki maduara kadhaaNa hao wanajeshi wanaopigana nje ya mfumo, wanamuamini vipi huyu mwamba? Pesa za kuwalipa anapata wapi?
Felix akifanya ujinga yatamkuta ya Assad, asante kwa hints.Ha hahahaha unajua Mimi sio muandishi mzuri ,ila Nina vitu navijua kuviandika vile inatakiwa ndio nashindwa
Ila tembea na hits hizi :
1.Nangaa baada ya kupishana mtazamo na Felix alienda kuishi Kenya Kwa muda
2.Rais Felix anakataa uwepo wa majeshi ya East Africa na kuchukua Sadc
3.Vikosi vya Kenya vinaondoka East Congo kupisha Samidrc
4.Goma wanaunda makundi ya kizalendo kuwakabili M23
5.M23 wanajibu mapigo Hadi Sasa tunachokiona
Kama ni hivyo, Serikali iliyo madarakani ilizembea sana kuuchukua huo mgodiMadini anamiliki maduara kadhaa
Alifanya jambo jema sio unakutana na mtu anaitwa Mohammed Hussein au Michael Joseph alafu ni Mbena mweusi tii.Hahahaha,hayo majina ni Mobutu aliyaanzisha,kuondoka majina ya kizungu na kuweka ya kibantu
Ndio mengine wamempora kapandisha hasiraKama ni hivyo, Serikali iliyo madarakani ilizembea sana kuuchukua huo mgodi
Atufwegwe MwakaJokaAlifanya jambo jema sio unakutana na mtu anaitwa Mohammed Hussein au Michael Joseph alafu ni Mbena mweusi tii.
Hadi hapo tayari kaishabugi, ana wakati mgumu sana, hii ishu ilishapangwa ikapangika ,ili achomoke hapo , inatakiwa atumie akili km za Muzee Kabila,kutafuta nchi washirika ,wakamsaidieFelix akifanya ujinga yatamkuta ya Assad, asante kwa hints.
HahahahaAlifanya jambo jema sio unakutana na mtu anaitwa Mohammed Hussein au Michael Joseph alafu ni Mbena mweusi tii.
Swali zuri nijibu Kwa mtazamo wangu na kile nilichokiona kipindi nikiwa hukoTurudi kwenye mada. Kwann Kongo makundi ya waasi huibuka mara kwa mara?
Unadhani M23 inautofauti gani na makundi mengine ambayo nimewahi kuyaskia?
Na ni kwanini eneo lenye mzozo mara kwa mara ni mashariki mwa Kongo?
Kwann serikali ya Kongo imeshindwa kuployed wanajeshi eneo la mzozo na kulitangia hali ya hatari kwa muda wa miaka kadhaa ili kuua kabsa uasi na machafuko.
Asante!
Safi sana,hii ndio dawaya washenzj kama hawaNakojoa unaponyea,vumilia nakojoa Sasa hv kwani unaumia?
Turudi kwenye mada. Kwann Kongo makundi ya waasi huibuka mara kwa mara?
Unadhani M23 inautofauti gani na makundi mengine ambayo nimewahi kuyaskia?
Na ni kwanini eneo lenye mzozo mara kwa mara ni mashariki mwa Kongo?
Kwann serikali ya Kongo imeshindwa kuployed wanajeshi eneo la mzozo na kulitangia hali ya hatari kwa muda wa miaka kadhaa ili kuua kabsa uasi na machafuko.
Asante!
Yule juzi hapa alikua anaongea kalewa bangi na pombe mpaka kujieleza tabu 🤣🤣Mimi namkubali sana yule msemaji wa m23 anayeitwa kanali willy Ngoma.Akianza kuoongea madai Yao unaona kabisa ni ya msingi na wenye matatizo ni serikali iliyoko madarakani.