Mjue Kwa ufupi Cornele Nangaa Yobeluo, Kiongozi wa waasi huko DRC

Mjue Kwa ufupi Cornele Nangaa Yobeluo, Kiongozi wa waasi huko DRC

Status
Not open for further replies.
Cornele Nangaa Yobeluo ,aliwahi kuwa Mkuu wa tume ya uchaguzi ya Congo , uchaguzi uliomuingiza Rais Felix Tshishekedi Tshilombo

Nangaa ambae Kwa Sasa ndio kiongozi wa muungano wa waasi ndio anayepeperusha Bendera ya waasi kuelekea Kinshasa

Nangaa na Felix walipishana mtazamo akaondolewa ktk nafasi hiyo Sasa anataka kwenda Kinshasa kumtoa Felix

Njia na mbinu anazotumia ni zile zile alizotumia Mzee Kabila Snr

Je, atafanikiwa ....



Nitarudi ...
Linanuka damu za wakongo. Baya kuliko Shetani.
 
Kwani Felix amefeli wapi?
Amefeli kutokusoma ramani ya anakokwenda na ropo ropo ya kutaka kuonekana yupo clean. Kwa hizi kelele zilivo pamba moto asipokuwa makini either yeye au Paulo mmoja ataliwa kichwa na story itaaishia hapo.
 
Duh! Sema majina ya kikongo na kisauzi yale ya Asili mi nayapenda sana.
Angalau wanauenzi utamaduni wao sio kama wale walioingizwa choo cha kike kwa kudanganywa kwamba ili uingie mbinguni lazima uchukue jina la aliyekuletea dini..😛😛😛
 
Binadamu wana roho mbaya sana, bila kujali watu wangapi wataumia wao wanacho fikiria ni kumtoa Rais madarakani
 
Angalau wanauenzi utamaduni wao sio kama wale walioingizwa choo cha kike kwa kudanganywa kwamba ili uingie mbinguni lazima uchukue jina la aliyekuletea dini..😛😛😛
Kama kuna makanisa na misikiti basi wao pia ni nyumbu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom