Mjue Kwa ufupi Cornele Nangaa Yobeluo, Kiongozi wa waasi huko DRC

Mjue Kwa ufupi Cornele Nangaa Yobeluo, Kiongozi wa waasi huko DRC

Status
Not open for further replies.
K


Jibu rahisi ni hili Congo haijaqahi kuwa taifa huru inapandikiziwa mamluki kuanzia viongozi, vikundi vya waasi na aina zake zote. Lengo nikuifanya isiwe stable state hata kama atachukua mwingine naye atakuwa kibaraka wa wazungu. Wanachifanya ni ufadhili kutoka mataifa tofauti ya ulaya na Usa River . Viko vikundi vingi mno. Kinachofuatwa ni malighafi hususan madini ,iko dhahabu na sasa cobalt ambayo ni deal kubwa .
Ninachoweza kushauri EAC ni kuimega RDC na kujitwalia maeneo maana ni wajinga.
Na ujinga huu ndio unaendeshwa humu kwa propoganda za nani mbabe kati ya Tz na Rwanda lengo watu wakiwashe, na mmoja ameshajazwa kichwa kwa vimsaada vya kijeshi na intel info bila kujua kuwa dunia imegaqnyika block 2 na kila moja ni giant. Ukisifiwa magharibi mwenzako naye atapongezwa mashariki na wote watapewa zana na intel info. Mfano kama Rwanda ataamua kupigana na SA au TZ ajue Urusi na CHina watakuwa back up kwa hao na hata sasa intel infos ziko wazi.

USHAURI PK na wengine waachwe kujazwa vichwa ili wapigane, qakae kqma ndugu wasonge mbele.
Ngoja nijipange kuondoka kigali nienda zangu Bundibu....
Mkuu mie skubaliani na opption ya kunyakuliwa na EA. Kongo ni taifa huru na zama hizi hakupaswi kuwa na mawazo ya kikoloni. Kinachopaswa kufanyika ni kuwawezesha wawe na amani, state yao iwe imara.
 
Mkuu mie skubaliani na opption ya kunyakuliwa na EA. Kongo ni taifa huru na zama hizi hakupaswi kuwa na mawazo ya kikoloni. Kinachopaswa kufanyika ni kuwawezesha wawe na amani, state yao iwe imara.
Uko sahihi, ille option nilisema not seriously. Wazo lako ndio lenyewe lkn haqa watu hawajitambui wananunulika wao kwa wao
 
Cornele Nangaa Yobeluo ,aliwahi kuwa Mkuu wa tume ya uchaguzi ya Congo , uchaguzi uliomuingiza Rais Felix Tshishekedi Tshilombo

Nangaa ambae Kwa Sasa ndio kiongozi wa muungano wa waasi ndio anayepeperusha Bendera ya waasi kuelekea Kinshasa

Nangaa na Felix walipishana mtazamo akaondolewa ktk nafasi hiyo Sasa anataka kwenda Kinshasa kumtoa Felix

Njia na mbinu anazotumia ni zile zile alizotumia Mzee Kabila Snr

Je, atafanikiwa ....



Nitarudi ...
Mbona siyo Mtutsi?
 
Hakika kweli kwa ufupi.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Cornele Nangaa Yobeluo ,aliwahi kuwa Mkuu wa tume ya uchaguzi ya Congo , uchaguzi uliomuingiza Rais Felix Tshishekedi Tshilombo

Nangaa ambae Kwa Sasa ndio kiongozi wa muungano wa waasi ndio anayepeperusha Bendera ya waasi kuelekea Kinshasa

Nangaa na Felix walipishana mtazamo akaondolewa ktk nafasi hiyo Sasa anataka kwenda Kinshasa kumtoa Felix

Njia na mbinu anazotumia ni zile zile alizotumia Mzee Kabila Snr

Je, atafanikiwa ....



Nitarudi ...
Anatumika tu huyu na Kagame, baadae matumizi yake yakiisha atahifadhiwa sehemu salama.
 
Felix hatoki hapo, nasikia sadc wanakutana leo zimbabwe,huko south africa fighter jets zimefunga safari,hizi kelele za mtu mrefu kuhusu south africa mara sadc ni baada ya kuona kuna dozi nene inaandakiwa
Ngoja tuone Frontline,zaidi watazidi kugain territories
 
Cornele Nangaa Yobeluo ,aliwahi kuwa Mkuu wa tume ya uchaguzi ya Congo , uchaguzi uliomuingiza Rais Felix Tshishekedi Tshilombo

Nangaa ambae Kwa Sasa ndio kiongozi wa muungano wa waasi ndio anayepeperusha Bendera ya waasi kuelekea Kinshasa

Nangaa na Felix walipishana mtazamo akaondolewa ktk nafasi hiyo Sasa anataka kwenda Kinshasa kumtoa Felix

Njia na mbinu anazotumia ni zile zile alizotumia Mzee Kabila Snr

Je, atafanikiwa ....



Nitarudi ...
Mbinafsi sana huyu. Kaweka hatarini maisha ya mamilioni ya watu, kisa katofautiana na mshikaji wake. Mbinafsi mwandamizi huyu.
 
Cornele Nangaa Yobeluo ,aliwahi kuwa Mkuu wa tume ya uchaguzi ya Congo , uchaguzi uliomuingiza Rais Felix Tshishekedi Tshilombo

Nangaa ambae Kwa Sasa ndio kiongozi wa muungano wa waasi ndio anayepeperusha Bendera ya waasi kuelekea Kinshasa

Nangaa na Felix walipishana mtazamo akaondolewa ktk nafasi hiyo Sasa anataka kwenda Kinshasa kumtoa Felix

Njia na mbinu anazotumia ni zile zile alizotumia Mzee Kabila Snr

Je, atafanikiwa ....



Nitarudi ...
Anaweza kufanikiwa kama raia hawatakuwa na morali ya kusapoti jeshi la taifa
 
Ha hahahaha unajua Mimi sio muandishi mzuri ,ila Nina vitu navijua kuviandika vile inatakiwa ndio nashindwa

Ila tembea na hits hizi :
1.Nangaa baada ya kupishana mtazamo na Felix alienda kuishi Kenya Kwa muda

2.Rais Felix anakataa uwepo wa majeshi ya East Africa na kuchukua Sadc

3.Vikosi vya Kenya vinaondoka East Congo kupisha Samidrc

4.Goma wanaunda makundi ya kizalendo kuwakabili M23

5.M23 wanajibu mapigo Hadi Sasa tunachokiona
Hilo jina lake la kwanza aitwa Corneille.

Kuna lile jambo lilofanyika 2018 na kicha Tsishekedi akatangazwa mshindi. Huyu jamaa ana ufahamu na kilotokea ndo maana kaamua iwe vingine.

Ile bohari kulikohifadhiwa mashine 8,000 za kupigia kura ziliungua moto na zote zikaharibiwa.

Nangaa pia amesoma uchumi chuo kikuu cha Kinshasa na kafanya kazi UN kwenye miradi ya maendeleo.

Ana utajiri wa kiaina na anajishghulisha na biashara kuanzia usafirishaji, hoteli na nyumba za makazi (estates).

Hii waionaje mkuu?
 
IMG_20250131_215020.JPG
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom