komasalonde
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,783
- 2,479
Linanuka damu za wakongo. Baya kuliko Shetani.Cornele Nangaa Yobeluo ,aliwahi kuwa Mkuu wa tume ya uchaguzi ya Congo , uchaguzi uliomuingiza Rais Felix Tshishekedi Tshilombo
Nangaa ambae Kwa Sasa ndio kiongozi wa muungano wa waasi ndio anayepeperusha Bendera ya waasi kuelekea Kinshasa
Nangaa na Felix walipishana mtazamo akaondolewa ktk nafasi hiyo Sasa anataka kwenda Kinshasa kumtoa Felix
Njia na mbinu anazotumia ni zile zile alizotumia Mzee Kabila Snr
Je, atafanikiwa ....
Nitarudi ...
Hivi Joseph Kabila anaishi wapi kwa sasa?Happo ni combination ya kagame na joseph kabila wamemtuma kijana afanye yake๐คฃ๐คฃ
Cheseked kazi anayo
Nimecheka halafu sijakutarajia Shem ๐นHahahaha..dah umeona hiyo tuuu?
Hahahaha,mpuuzi yule ,huwa sipendagi vile,ila basi tu, sorryNimecheka halafu sijakutarajia Shem ๐น
Amefeli kutokusoma ramani ya anakokwenda na ropo ropo ya kutaka kuonekana yupo clean. Kwa hizi kelele zilivo pamba moto asipokuwa makini either yeye au Paulo mmoja ataliwa kichwa na story itaaishia hapo.Kwani Felix amefeli wapi?
Taarifa zake ziko humu JF
Angalau wanauenzi utamaduni wao sio kama wale walioingizwa choo cha kike kwa kudanganywa kwamba ili uingie mbinguni lazima uchukue jina la aliyekuletea dini..๐๐๐Duh! Sema majina ya kikongo na kisauzi yale ya Asili mi nayapenda sana.
Penseli pasua kichwa halafu hajifichi, sema umempa jibu konki mpk kakimbia ๐น๐นHahahaha,mpuuzi yule ,huwa sipendagi vile,ila basi tu, sorry
Kama kuna makanisa na misikiti basi wao pia ni nyumbuAngalau wanauenzi utamaduni wao sio kama wale walioingizwa choo cha kike kwa kudanganywa kwamba ili uingie mbinguni lazima uchukue jina la aliyekuletea dini..๐๐๐
Huku kwenu mnaitwa Michael Ariel ๐ฎ๐ฎDuh! Sema majina ya kikongo na kisauzi yale ya Asili mi nayapenda sana.
Hahahaha, km mtu akileta ujinga nami namletea ujinga mara mbiliPenseli pasua kichwa halafu hajifichi, sema umempa jibu konki mpk kakimbia ๐น๐น
Hahahaha..Dini Kuu ni Ukatoliki..Kisha hizi Dini za walokole...misikiti michacheKama kuna makanisa na misikiti basi wao pia ni nyumbu
hahahaha kumbe unamjua ?Penseli pasua kichwa halafu hajifichi, sema umempa jibu konki mpk kakimbia ๐น๐น
Na ya style yake ya kutamka piaDuh! Sema majina ya kikongo na kisauzi yale ya Asili mi nayapenda sana.