Mjue Kwa ufupi Cornele Nangaa Yobeluo, Kiongozi wa waasi huko DRC

Status
Not open for further replies.
kwa hiyo na huyu mtusi, mbona pua kama kirungu? na hafanani na banyamulenge.
 
Kirefu cha JKK ni nini?kuna sehemu unaniacha
 
Uko vizuri na historia yaCongo,kuna kitu nashindwa kuelewa zamani mlikuwa mnasema M23 ni jeshi la seven,lately nasikia wakisema M23 ni ya Kagame,na nikisikiliza habari kama BBC nasikia wanasema wazi kabisa kwamba majeshi ya M23 yameteka wanajeshi wa Romania na kuwapeleka Kigali kisha kuwaruhusu waondoke je hii imekaaje?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…