mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Ulivyosema drc umelenga mule mule mzee.me hii dawa nimebahatika kuipata tena ni huko huko congo mzee.na wakati wa kutengenezwa unaulizwa unataka vitu gani visiingie mwilini mwako na unafanyiwa test pale pale mzee.bahati mbaaya hawa watu wanaofanya hizi issue hawawapi raia wa jeshini utakutana navyo sana hivi.Shida wabongo hatupendi kusoma ndio maana kila kitu kukosoa tu. Kuna Project inaitwa Mk often na Mk ultra.
Tafuta kitabu nlisha upload humu JF, CIA manual for trickery and deception utaona majasusi wanavyotumia dark arts kukwepa kuanzia risasi mpka kuyeyuka!!
Hya mambo yapo, siku fika DRC utaamini
Ulivyosema drc umelenga mule mule mzee.me hii dawa nimebahatika kuipata tena ni huko huko congo mzee.na wakati wa kutengenezwa unaulizwa unataka vitu gani visiingie mwilini mwako na unafanyiwa test pale pale mzee.bahati mbaaya hawa watu wanaofanya hizi issue hawawapi raia wa jeshini utakutana navyo sana hivi.
Inapenya mkuu
Nilijichanganya tu mkuu.ila hivi vitu vipo mkuu.dunia ina mambo mengi hata ukiambiwa huwezi aminiMaana mkuu nimeona comment yako ikisema ulibahatika pia kuipata hiyo dawa huko DRC, Nikajua naww unakinga...
Chai mzee.Nilijichanganya tu mkuu.ila hivi vitu vipo mkuu.dunia ina mambo mengi hata ukiambiwa huwezi amini
Kamba zingine bwana, CIA waandike habari kama hii😃.Mkuu nakubaliana na mchangiaji hapo juu hizi dawa zipo na zinafanya kazi, majambazi wengi tu wavamia benki enzi hizo walitumia.
Kuhusu SMG kuna declassified CIA report juu ya waasi wa Mai Mai huko Katanga DRC ambao askari wa serikali walikua wanatoa taarifa kuwa wakipiga risasi haziwagusi kabisa.
Hata kule Ituri katika vita kati ya UPC na majeshi ya serikali kuna watu walikua wakipigwa RPG cjui SMG wanaibuka wazima kabisa.
Na hta commander wao aliuawa naye kwa njia za kimazingara yaani walisubiri muda ambapo miguu yake haipo ardhini, iwe juu ya mti au ndani ya gari ndio akauawa tena na kijana wa miaka 14 tu!!
Hii ni report ya CIA kabisa na nliwahi upload kule JF intelligence. Kwahiyo hzi mambo zipo
Hapana kaka, mimi ndo wa mwisho kabisa, siwez kubaliana na hizi story za Esopo na hekaya za abunuasi.Mimi ni mtu wa mwisho kuamini huu ujinga wa risasi kudunda.
Keko,na temeke...aisee kila kijana anacheza ngumi, sahv ni kama fashion, tena wanazichapa hasa..unaibiwa na ngum unatandikwa, wenyewe wanakwambia ''kama unahis unaziweza tucheze goma mbili'' aisee kama unajijua hata guard huwez kunja usijaribu kabisa..utachezea K.O nzur tuKeko unaporwa, na bado kipigo unapokea, tena cha hatari kbs
Mkuu ingia google type declassified files za CIA zufuataziKamba zingine bwana, CIA waandike habari kama hii😃.
Halafu wengi mnaotoa hizi stori huwa hamuweki neno kuwa ulisikia au inasemekana, yani mnaandika kama mlishuhudia mtu anapigwa risasi inadunda.
Huyo jamaa atakuwa alichanjiwa muku
Wengi wetu tutakuwa tumejua kirefu cha neno hili pindi tu tuliposoma uzi huu.REPORT BOOK (RB)
Kwani scorpion alikuwa kibaka?Lakini wananchi ndo tunawafuga hatutoi taarifa hadi mambo yaharibike Kama yale ya MBOKOO na SCORPION
Rock City kulwa sakala alitesa Sana enzi hizo.
[/QUOThawa hawajfika maeneo fulani ya igogo ,mabatini hahahahaa au pasiansi kwa mapimpiro
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji95] keko siyo poaKeko hakufai kabisa,
Niliwahi kubananishwa na watoto wadogo wawili kwenye chochoro za KEKO MACHUNGWA wanadai niwape Simu na pesa.
Nkaona dharau hizi, almanusra niwatie makofi watoto wale.
Ile nmemkunja mmoja Koo,
Kumbe wana backup ya njemba 4 vipande vya watu. Gafla wakatokea
Dah! Nlkua mpole ghafla.
Elfu 18 ilinitoka pale pale Kama faini, Simu ilinusurika coz mmoja wa zile njemba tuliwahi kufahamiana K'KOO enzi hizo yeye akiwa bodaboda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha huyu jamaa ni noma 😂HAYA BISHA NA HAPO; NIMEKUWEKEA VIDEO KABISA
View attachment 1470037
Hivi Bodaboda tayari nao Sasa wanna enzi hizoKeko hakufai kabisa,
Niliwahi kubananishwa na watoto wadogo wawili kwenye chochoro za KEKO MACHUNGWA wanadai niwape Simu na pesa.
Nkaona dharau hizi, almanusra niwatie makofi watoto wale.
Ile nmemkunja mmoja Koo,
Kumbe wana backup ya njemba 4 vipande vya watu. Gafla wakatokea
Dah! Nlkua mpole ghafla.
Elfu 18 ilinitoka pale pale Kama faini, Simu ilinusurika coz mmoja wa zile njemba tuliwahi kufahamiana K'KOO enzi hizo yeye akiwa bodaboda.
Sent using Jamii Forums mobile app