Mjue "Mbokoo" kibaka aliyewahi kuitikisa Kigamboni-Dar kabla ya kudhibitiwa kwa mbinde na Polisi

Mjue "Mbokoo" kibaka aliyewahi kuitikisa Kigamboni-Dar kabla ya kudhibitiwa kwa mbinde na Polisi

Shida wabongo hatupendi kusoma ndio maana kila kitu kukosoa tu. Kuna Project inaitwa Mk often na Mk ultra.

Tafuta kitabu nlisha upload humu JF, CIA manual for trickery and deception utaona majasusi wanavyotumia dark arts kukwepa kuanzia risasi mpka kuyeyuka!!

Hya mambo yapo, siku fika DRC utaamini
Ulivyosema drc umelenga mule mule mzee.me hii dawa nimebahatika kuipata tena ni huko huko congo mzee.na wakati wa kutengenezwa unaulizwa unataka vitu gani visiingie mwilini mwako na unafanyiwa test pale pale mzee.bahati mbaaya hawa watu wanaofanya hizi issue hawawapi raia wa jeshini utakutana navyo sana hivi.
 
Ulivyosema drc umelenga mule mule mzee.me hii dawa nimebahatika kuipata tena ni huko huko congo mzee.na wakati wa kutengenezwa unaulizwa unataka vitu gani visiingie mwilini mwako na unafanyiwa test pale pale mzee.bahati mbaaya hawa watu wanaofanya hizi issue hawawapi raia wa jeshini utakutana navyo sana hivi.

Mkuu kwaiyo na ww ukipigwa risasi haipenyi?
 
Mkuu nakubaliana na mchangiaji hapo juu hizi dawa zipo na zinafanya kazi, majambazi wengi tu wavamia benki enzi hizo walitumia.

Kuhusu SMG kuna declassified CIA report juu ya waasi wa Mai Mai huko Katanga DRC ambao askari wa serikali walikua wanatoa taarifa kuwa wakipiga risasi haziwagusi kabisa.

Hata kule Ituri katika vita kati ya UPC na majeshi ya serikali kuna watu walikua wakipigwa RPG cjui SMG wanaibuka wazima kabisa.

Na hta commander wao aliuawa naye kwa njia za kimazingara yaani walisubiri muda ambapo miguu yake haipo ardhini, iwe juu ya mti au ndani ya gari ndio akauawa tena na kijana wa miaka 14 tu!!

Hii ni report ya CIA kabisa na nliwahi upload kule JF intelligence. Kwahiyo hzi mambo zipo
Kamba zingine bwana, CIA waandike habari kama hii😃.
Halafu wengi mnaotoa hizi stori huwa hamuweki neno kuwa ulisikia au inasemekana, yani mnaandika kama mlishuhudia mtu anapigwa risasi inadunda.
 
Keko unaporwa, na bado kipigo unapokea, tena cha hatari kbs
Keko,na temeke...aisee kila kijana anacheza ngumi, sahv ni kama fashion, tena wanazichapa hasa..unaibiwa na ngum unatandikwa, wenyewe wanakwambia ''kama unahis unaziweza tucheze goma mbili'' aisee kama unajijua hata guard huwez kunja usijaribu kabisa..utachezea K.O nzur tu
 
Kamba zingine bwana, CIA waandike habari kama hii😃.
Halafu wengi mnaotoa hizi stori huwa hamuweki neno kuwa ulisikia au inasemekana, yani mnaandika kama mlishuhudia mtu anapigwa risasi inadunda.
Mkuu ingia google type declassified files za CIA zufuatazi

manual for trickery and deception (pdf).

Project Mk Ultra/Often

CIA on Rebel activity in Congo (kinahusu mai mai wanaokweps risasi)

Alafu ukikuta hizo story hazipo ndio uje kuita kamba.

Shida ya wabongo hatuna exposure na hatupendi kusoma ndio maana kila kitu tunabisha tu hta kma hatuna taarifa nacho.
 
Huyo jamaa atakuwa alichanjiwa muku



Huu mwichi wa muku inasemekana Tundu Lissu pia alichanjia
 
Keko hakufai kabisa,
Niliwahi kubananishwa na watoto wadogo wawili kwenye chochoro za KEKO MACHUNGWA wanadai niwape Simu na pesa.

Nkaona dharau hizi, almanusra niwatie makofi watoto wale.

Ile nmemkunja mmoja Koo,

Kumbe wana backup ya njemba 4 vipande vya watu. Gafla wakatokea

Dah! Nlkua mpole ghafla.

Elfu 18 ilinitoka pale pale Kama faini, Simu ilinusurika coz mmoja wa zile njemba tuliwahi kufahamiana K'KOO enzi hizo yeye akiwa bodaboda.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji95] keko siyo poa

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Keko hakufai kabisa,
Niliwahi kubananishwa na watoto wadogo wawili kwenye chochoro za KEKO MACHUNGWA wanadai niwape Simu na pesa.

Nkaona dharau hizi, almanusra niwatie makofi watoto wale.

Ile nmemkunja mmoja Koo,

Kumbe wana backup ya njemba 4 vipande vya watu. Gafla wakatokea

Dah! Nlkua mpole ghafla.

Elfu 18 ilinitoka pale pale Kama faini, Simu ilinusurika coz mmoja wa zile njemba tuliwahi kufahamiana K'KOO enzi hizo yeye akiwa bodaboda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Bodaboda tayari nao Sasa wanna enzi hizo
 
Hahaha eti hasikii risasii..labda risasi za vibastola vya watoto
 
Angekuja tabata ndio tungejua ukweli wa hizi habari. Huku hatucheki na watoto wabaya. Wahuni wapo ila adabu wanayo.....
 
Back
Top Bottom