Mjue "Mbokoo" kibaka aliyewahi kuitikisa Kigamboni-Dar kabla ya kudhibitiwa kwa mbinde na Polisi

Watu wanamfananisha Mbokoo na hisia za Kinjekitile Ngwale ambaye pia falsafa zake zilifeli mbele ya njugu. Aliwaaminisha misukule wake kwamba mkwasa usingewadhuru wakiita maji...majii matokeo yake walidondoka kama Nzige waliopikwa dawa ya Rungu!
 
Wewe kama Mbabe tunakutupa mitaa ya keko tu! Hio bangi yako ya Chuga itaisha ndani ya muda mchache sana. We ukisikia Dar unahisi ni kinondoni tu kwa mabishoo?
 
Wewe kama Mbabe tunakutupa mitaa ya keko tu! Hio bangi yako ya Chuga itaisha ndani ya muda mchache sana. We ukisikia Dar unahisi ni kinondoni tu kwa mabishoo?
Keko hakufai kabisa,
Niliwahi kubananishwa na watoto wadogo wawili kwenye chochoro za KEKO MACHUNGWA wanadai niwape Simu na pesa.

Nkaona dharau hizi, almanusra niwatie makofi watoto wale.

Ile nmemkunja mmoja Koo,

Kumbe wana backup ya njemba 4 vipande vya watu. Gafla wakatokea

Dah! Nlkua mpole ghafla.

Elfu 18 ilinitoka pale pale Kama faini, Simu ilinusurika coz mmoja wa zile njemba tuliwahi kufahamiana K'KOO enzi hizo yeye akiwa bodaboda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe kama ni mhalifu usijaribu kutia maguu yako Zanzibar, nakuhakikishia hautatoka labda ukiingia unyooshe mikono kuwa unabadilika. Cheza michezo yako bara na sio hiki kisiwa.Muulizeni Makame atawaambia sababu...
 
Ila hao wanaoneaga warembo waje wafanye utukutu Apo Airwings wapite tu pikipiki karibu na ukuta wakutane na vyuma
 
Wewe kama ni mhalifu usijaribu kutia maguu yako Zanzibar, nakuhakikishia hautatoka labda ukiingia unyooshe mikono kuwa unabadilika. Cheza michezo yako bara na sio hiki kisiwa.Muulizeni Makame atawaambia sababu...
Unapigwa uku una chabwa
 
Nyingine fix hizi, nimeishi kigamboni miaka dahari wa dahari, kilometa 7 hivi kutoka kigamboni(kivukoni). sijawahi kumsikia angekuwa na balaa hilo nisingekosa hata kumsikia.
Mkuu mbokoo alikuwepo. Mimi story zake nilizisikia na kushuhudia vurugu miaka ya 2013. Ila sio zote Kama za mtoa mada
 
Mkuu mbokoo alikuwepo. Mimi story zake nilizisikia na kushuhudia vurugu miaka ya 2013. Ila sio zote Kama za mtoa mada

Sipingi kama hakuwepo, napinga hizi habari zake, haya matukio yake ni makubwa ilifaa hata Dar nzima tumjue, sasa iweje mie mkazi wa Kigamboni na nisimsikie, nimelenga kusema mtoa mada apunguze chumvi kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…