- Thread starter
- #201
Skopioni unamjua?Angekuja tabata ndio tungejua ukweli wa hizi habari. Huku hatucheki na watoto wabaya. Wahuni wapo ila adabu wanayo.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Skopioni unamjua?Angekuja tabata ndio tungejua ukweli wa hizi habari. Huku hatucheki na watoto wabaya. Wahuni wapo ila adabu wanayo.....
Akukulawiti mkuu?Daah huyo jamaa na crew yake walishawahi nivamia Kigamboni wakati nasoma na kuniibia laptop yangu. Jamaa alikuwa mtemi sana na alikuwa akiogopwa kweli kweli.
Safi kapata alichotafuta...Dawa ya majambazi na watukutu wa dizaini huyo ni kula chuma tu.Kibaka mbooko aliuwawa katika majibizano mapema Mwezi uliopita kwa kupigwa na kitu kizito wakati akiwa katika majukumu yake ya ukabaji!
KwahiyoHuyu mboko alisumbua kamtaa kamoja tu ndo mnaona ni balaa.. Kweli Dar laini sana hadi panya road wanawatesa hahaha
Wananchi wa Dar hawana ushirikiano ndio maana inakuwa rahisi wahalifu kufanya wanachotaka.Huyu mboko alisumbua kamtaa kamoja tu ndo mnaona ni balaa.. Kweli Dar laini sana hadi panya road wanawatesa hahaha
Ukiachana na kutokuwa na ushirikiano wengi wao uoga ni hadi yao ..mim nimekaa na machali wa dar ni waoga kinomaWananchi wa Dar hawana ushirikiano ndio maana inakuwa rahisi wahalifu kufanya wanachotaka.
hiyoKwahiyo
Mara nyingi wanaoongeaga hivi ndio waoga balaa. It means dar yote watu waoga?? Sio kwelUkiachana na kutokuwa na ushirikiano wengi wao uoga ni hadi yao ..mim nimekaa na machali wa dar ni waoga kinoma
Keko sikuhiz ni shwari kabisaNdio michongo ya vibaka wa Keko hio! Mchana dojo, usiku hawapoi! Ni kung fu za hatari [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vibaka wameishaKeko sikuhiz ni shwari kabisa
Nipo huku aisee polisi wameua sana sikuhiz ni shwari sana wamebaki wachache na hata mwamko wa kucheza ngumi sikuhiz hakuna watoto wengi wanao kua sikuhiz wapo bize kugonga sofa tuVibaka wameisha
Semeni alikufa kitambo sana alipigwa na wananchi wenye hasira kaliKuna jamaa mitaa ya mbeya simike huko alikua anaitwa jairo na mwenzie chanda,alafu umkute na semeni hao sasa huyo jamaa wa kigamboni mngekuta kavalishwa kanga na piko kachorwa kabisa.hata waliishia wapi sijui.
Singida huko kuliku na Tembo Senge mtoto wa mtemi Senge na Mdogo wako akaibuka badai Selemani Senge hao watu nyie sikieni tu sijui Nao sijui wako wapi.
Sikumbuki alipofia ila alikua mbogo mwizi mporaji na mbabe haswa,Semeni alikufa kitambo sana alipigwa na wananchi wenye hasira kali
yaan hadi wanawake wanavisu kwenye Madera kubabake;
Nakubaliana na ww uyo jamaa anaepiga hyo bunduki hata haimtikisi yan anapiga tu kama kashika manati Ayo ni mazingaombwe tuAngalia post # 150, mwenzako alishaleta hiyo video ya uongo hapa.🤣🤣.
Anayeweza kudanganywa ni yule asiyejua bunduki kama nyinyi.