Mjue 'mfalme' Zumaridi kiundani zaidi

Mjue 'mfalme' Zumaridi kiundani zaidi

Eeneo lingine lililoleta ukakasi hadi Serikali kufikia uamuzi wa kusitisha ibada na kulifunga ni kitendo cha kiongozi huyo kujiita mungu wa duniani huku akijitambulisha kama ‘mfalme’ wakati yeye ni wa jinsi ya kike kinyume cha mila, desturi na tamaduni zinawatambua watawala wa kimila wa kike kama malkia.
Ulichoandika hapo unakielewa au na wewe wanakuita 'mataga' ahahaaaa

Unataka kusema hakuna mfalme/chief mwanamke duniani?
 
Yesu alianza kuitwa mungu hivi hivi...Hadi Leo watu wanamuabudu mtoto wa mariyamu aliyekatwa govi siku ya nane baada ya kuzaliwa,Imani ile wanapenda Sana mazingaombwe
Kaa kutulia.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ilikuwa zamani hivi sasa ni digital generation kila kitu juu/chini, juzi hapo si mmemvika ufalme na mkuu wa machief wote Tanzania how today?.
Msamiati wa kiswahili ubadilike!!?...uchifu siyo neno la kiswahili,chief ni mtemi
 
Kufunga kanisa la zumarid ni kumuonea mbona kanisa la freemason la Posta dar na matawi yake mikoani wao wanaendelea.

Mbona waganga wa kienyeji wao wanaendelea, makanisa mengi ya Kikristo ni makanisa ya shetani ukifunuliwa.

Waache magugu na ngano vimee. Mtu anaruhusiwa kuwa mfuasi wa chochote, kuna watu wanafanya matambiko, wanaabudu mizimu mbona awazuiliwi.
 
Daah, duniani kuna mambo aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna yule muimbaji wake alimvalisha roho ya michael jackson, eti na yeye akaanza kutetemeka hahaha
Niliona hiyo clip anasema "Haya Michael ingia apo" nilichekeka kis*ng*[emoji23][emoji23][emoji119]
 
Kufunga kanisa la zumarid ni kumuonea mbona kanisa la freemason la Posta dar na matawi yake mikoani wao wanaendelea.

Mbona waganga wa kienyeji wao wanaendelea, makanisa mengi ya Kikristo ni makanisa ya shetani ukifunuliwa.

Waache magugu na ngano vimee. Mtu anaruhusiwa kuwa mfuasi wa chochote, kuna watu wanafanya matambiko, wanaabudu mizimu mbona awazuiliwi.
Posta lile sio kanisa ni Ukumbi wa mikutano alafu freemason sio dini ni society![emoji28][emoji28]

Sababu zimewekwa hapo wazi ni pamoja na kukiuka sheria za usajili.
 
Posta lile sio kanisa ni Ukumbi wa mikutano alafu freemason sio dini ni society![emoji28][emoji28]

Sababu zimewekwa hapo wazi ni pamoja na kukiuka sheria za usajili.
Ni society kwa mtazamo wa nje,wa ndani wanaunganishwa na imani moja.
Nani anewasajili waganga wa kienyeji.
 
Huyu mama ana nguvu ya ushawishi na kipawa cha kuongea hivi ukiwa navyo mjini labda tu uamue kumuogopa Mungu.
 
Back
Top Bottom