Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulichoandika hapo unakielewa au na wewe wanakuita 'mataga' ahahaaaaEeneo lingine lililoleta ukakasi hadi Serikali kufikia uamuzi wa kusitisha ibada na kulifunga ni kitendo cha kiongozi huyo kujiita mungu wa duniani huku akijitambulisha kama ‘mfalme’ wakati yeye ni wa jinsi ya kike kinyume cha mila, desturi na tamaduni zinawatambua watawala wa kimila wa kike kama malkia.
Mfalme ni mwanaume,mwanamke ni malkiaUlichoandika hapo unakielewa au na wewe wanakuita 'mataga' ahahaaaa
Unataka kusema hakuna mfalme/chief mwanamke duniani?
Kaa kutulia.Yesu alianza kuitwa mungu hivi hivi...Hadi Leo watu wanamuabudu mtoto wa mariyamu aliyekatwa govi siku ya nane baada ya kuzaliwa,Imani ile wanapenda Sana mazingaombwe
Ilikuwa zamani hivi sasa ni digital generation kila kitu juu/chini, juzi hapo si mmemvika ufalme na mkuu wa machief wote Tanzania how today?.Mfalme ni mwanaume,mwanamke ni malkia
Msamiati wa kiswahili ubadilike!!?...uchifu siyo neno la kiswahili,chief ni mtemiIlikuwa zamani hivi sasa ni digital generation kila kitu juu/chini, juzi hapo si mmemvika ufalme na mkuu wa machief wote Tanzania how today?.
Ilikuwa...Msamiati wa kiswahili ubadilike!!?...uchifu siyo neno la kiswahili,chief ni mtemi
Adabrakadabra!Mazingaombwe hayaishi
kila mtoto na baba ake?ana watt 2 wa kiume hajaolew
Niliona hiyo clip anasema "Haya Michael ingia apo" nilichekeka kis*ng*[emoji23][emoji23][emoji119]Daah, duniani kuna mambo aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna yule muimbaji wake alimvalisha roho ya michael jackson, eti na yeye akaanza kutetemeka hahaha
Posta lile sio kanisa ni Ukumbi wa mikutano alafu freemason sio dini ni society![emoji28][emoji28]Kufunga kanisa la zumarid ni kumuonea mbona kanisa la freemason la Posta dar na matawi yake mikoani wao wanaendelea.
Mbona waganga wa kienyeji wao wanaendelea, makanisa mengi ya Kikristo ni makanisa ya shetani ukifunuliwa.
Waache magugu na ngano vimee. Mtu anaruhusiwa kuwa mfuasi wa chochote, kuna watu wanafanya matambiko, wanaabudu mizimu mbona awazuiliwi.
Wewe ni mgonjwa akili!?Ilikuwa...
... juzi hapo si mmemvika ufalme na mkuu wa machief wote Tanzania how today?.
Ujasiri tu! mbona karibu kila mfanya biashara anao lakini hawana mafanikio, lazima ale vichwa[emoji28][emoji28]Huu ujasiri wake autumie kufanya biashara halali atapiga pesa ndefu kama hizi anazowapiga waumini.
Ni society kwa mtazamo wa nje,wa ndani wanaunganishwa na imani moja.Posta lile sio kanisa ni Ukumbi wa mikutano alafu freemason sio dini ni society![emoji28][emoji28]
Sababu zimewekwa hapo wazi ni pamoja na kukiuka sheria za usajili.
Ana nafasi ya kufanya vizuri pia maeneo mengine kwasababu ana uthubutu.Ujasiri tu! mbona karibu kila mfanya biashara anao lakini hawana mafanikio, lazima ale vichwa[emoji28][emoji28]
Kuna baraza la tiba asili na mbadala, wanaajiliwa hadi muhimbili apo[emoji28][emoji28]Ni society kwa mtazamo wa nje,wa ndani wanaunganishwa na imani moja.
Nani anewasajili waganga wa kienyeji.