Mjue Mtemi Mkwawa wa uhehe na Wahehe

Mjue Mtemi Mkwawa wa uhehe na Wahehe

kumbe kujinyonga ni ushujaa mimi nilifikiri ni ujinga.
 
Inawezekana kweli zamani wahehe walikuwa jasiri, lkn wa siku hizi ni boot lickers wakubwa sana. Full kujikomba
 
Ni kweli mkuu... kujinyonga inahitaji ujasiri sana....
 
Pole sana mkuu nani aliye kudanganya kuwa mkwawa alijinyonga??

na kwa taarifa yako mkwawa hakujinyonga na lile fuvu la kichwa ni kanya boya tuu.soon nitakupa story kamili stay tuned.

Ukiwa na miaka zaidi ya mia mbili nitaiamini stori yako ila kama wewe mwenyewe ulihadithiwa utakua umedanganywa.
 
Wote tunatambua ushujaa wa mtemi mkwawa dhidi ya mkoloni mjerumani,mjerumani alipigwa round ya kwanza na mbabe mkwawa akakimbia na kwenda kujipanga tena .

Aliporudi for second round zikapigwa tena ila kidume mkwawa haligoma kushikwa na mjerumani na kwa ujasiri wa ajabu akahamua kujiua. ukiachana na wahehe hakuna kabila lolote ambalo limeweza kuonesha ushujaa kama wa wahehe.

Na ndio maana mzungu alichukua fuvu la mbabe mkwawa na kuondoka nalo hili kulichunguza zaidi kuhusiana na ushujaa wa huyu kidume. wahehe ni mashujaa sana hata sasa hivi wapo hivyo hivyo tofauti na makabila mengine.

Ukishaona Mtu ANAKUMBWA Na MATATIZO Halafu ANAJIUA Basi Ujue Kuwa ANAZIDIWA Akili Na Hata SISIMIZI Achilia Mbali MENDE. Kujiua Kwake Kumewaachia LAANA Mbaya WAHEHE Ambao Na Wao Kwa UNDOROOOOOOBO Wao Wanaona Sifa Kujijedisha. Makabila Mengine Yametutia Tu Aibu Ktk Medani Za Kimataifa. Wewe Ukiuziwa Tu Kidogo Badala Ya Kutatua Tatizo UNAENDA KUJITUNDIKA Halafu Unaacha Watu Huku Nyuma Wakila Tu Maisha.
 
Unaota ndoto za mchana wewe,watu mnajinyonga nyonga tu bila sababu then mnajiita jasiri,au kuwa bingwa wa kujinyonga ndio ujasiri
 
Aisee tujue pia historia za majengo ambayo yalijengwa wakati wa ukoloni, most of them are very interesting&nbsp; na yamechangia sana katika maendeleo ya majengo yetu maana awali tulikuwa tunajenga nyumba za udongo lakini walivyoanzisha majengo ya kisasa ya matofali ya kuchoma na kuezeka bati na vigae ndipo hata historia yetu ya majengo ikaanza kubadilika. Hivyo majengo ya wakati wa ukoloni ni historia nzuri na pia ni kivutio cha watalii.<br>Asante
 
Yale mafuvu 83 yaliyobakia ndo inakuwaje? Ngoja niende Bremen Museum kuwauliza.
Isike naye alijilipua. Ile yeye ni baruti nadhani hawakupata kitu. Kinjiketile ilikuwaje? Kaburi lake lipo?
Mkuu Zitto tunaomba mrejesho!
 
HISTORIA ISIYOZUNGUMZWA SANA!
Leo nilipata fursa ya kufika eneo liitwalo Lugalo ambako Kuna Lugalo Monument mahali ambako mwaka 1891 Chief Mkwawa aliwatekeza wajerumani 300 chini ya kiongozi wao EMIL VON ZELEWSK (KIONGOZI WA WAJERUMANI ALIYEONGOZA VITA ZA LUGALO).
Mnara huo unauona ndipo walipozikwa askari hao 300 wa kijerumani pamoja na kiongozi wao Von Zelewksi ( Nyundo). Ni eneo zuri sana kufika kujifunza historia ya vita za Chief Mkwawa.
20180828_103828.jpg
 
Back
Top Bottom