Mjue Ratan Tata tajiri asiye tajwa na Forbes

Mjue Ratan Tata tajiri asiye tajwa na Forbes

Kumbe Mhindi! Basi wala sishangai maana hao watu sasahivi kila kitu wamo tena nafasi za mbele...

Watu wenye mpunga mrefu duniani ndo kama hivyo

Ukicheki idadi ya watu India anakaribia kumpiku China

Wasanii matajiri basi utamkuta mhindi yupo at the top

Watu wanene warefu sijui sifa gani wahindi wamo kama kawa kama dawa

Dini nyingi... India

Kabila/Lugha nyingi hukohuko

Yaani kila kitu wamo iwe kihasihasi au kichanyachanya lazima utawakuta ila nadhani ni kutokana na wingi wao

Hapa ndo utaamini msemo "PENYE WENGI PANA MENGI".
 
ila wahindi ni komesha aisee hii race ni hatari kila mahali utawakuta yan huwezi wakosa kila sehemu wamo aisee
 
Huko India wenzetu wamenoga kuna yule mjamaa wanamuita Mukesh Ambani nae sio poa.
 
Huko India wenzetu wamenoga kuna yule mjamaa wanamuita Mukesh Ambani nae sio poa.
Yah kama sijakosea niliona ka clip Fulani mjengo wake upo Mumbai uko vizuri huko Mumbai aisee...ngoja tupambane huko duniani tuishi vizuri na baraka za mungu ziwe juu yetu
 
Umekopi sehemu au umeifanya Research?
Hata kumfikia Mukesh Ambani bado ,Ndo awe tajiri zaidi ya Jb,E musk,Na bill gates.
Una utani mkuu
 
Umekopi sehemu au umeifanya Research?
Hata kumfikia Mukesh Ambani bado ,Ndo awe tajiri zaidi ya Jb,E musk,Na bill gates.
Una utani mkuu
Tata yeye anatoa 65% ya mapato yake kwny CSR,jamaa angekua anakunja hio 100% yote unadhani angekua wapi?

Mukeshi hata wahindi wenyewe wanamponda sio mtu wa misaada wala nini,yuko zake bize na bata zake tu.
 
Unakwama sana mzazi..

Forbes hadi uwaite wakufanyie tathmini and btw hao unaowasikia ni peanut ya matajir wa dunia..

Kuna wauza unga na silaha na wenye federal reserve bank... kina Murdoch
Kuna wenye research companies na pharmaceuticals industries.. hao hutowasikia..

We utawajua kina mo na vimbelembele wengine tu
Make your money bro
Yani huwa najiuliza huyu MO utajiri wake ni UPI hasa,ukiangalia products zake kwa hapa Tanzania katika watu 10 utakuta ni MTU 1 ndio anaijua au kuitumia still wanatuambia ndio tajiri Tz??????
 
Nilipokuwa mdogo jiliwahi kusikia watu wakisema kuwa in TATA ni kampuni ya Mwl.Nyerere
 
Back
Top Bottom