Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KUMBE SIO MM 2 NILIOKUWA NAWAZA HIVI BIG UP KWAKONakubaliana na wewe mleta mada kwa upande mmoja.
Najumbuka uchaguzi wa Tanzania uliopita, nadhani hii nguvu ya "Papa mweusi" ilifanya kazi. Naimani Lowassa alushindwa sababu alikuwa mluteri japo ilionekana kuwa alikuwa na wafuasi wengi kumshinda yule wa upande mwingine ila tatizo Nathani alikuwa na msimamo unaopingana na huyo Papa mweusi.
UMETUMIA VIGEZO GANI KUJUA KWAMBA NI MSABATO AU NI ULIMBUKENI WA MAWAZO NA UDINI ULIOKUJAAAA.....MM MOAKA LEO NAJIULIZAGA ILE IBADA YA KUMCHAGUA PAPA INAVYOENDESHWAGA .NA KAMA ULIKUWA HAUJUI NI KUWA POPE NI CHEO AMABACHO KINAFANYA MUENDELEZO WA MAFUNZO YA PAULO AMBAYE KINADHARIA WANASEMA ALIFIA VATICAN ITALIA SASA NATAKA KUJUA KABLA YA PAULO HAO WANAFUNZI WENGINE WA JESUS WALIKUWA WANCHAGULIWAJE?????? NIMEANDIKA KWA HERUFI KUBWA ILI USISEME UNAUMWA NA MACHOMtoa mada ni msabato Kwani ndo watu wanaojiona wasafi Sana katika dunia hii, Kumbe wote ni wadhabi
huku kunaitwa kutokuelewa mada na kuchangia pumbaaaaa .sasaaa ngoja nikuulize ina maana haujaelewa nn hasa? yy mtoa mada kataja vikundi vya kiintelijensia worldwide ww kwa kuona eti hadi mosad wapo ukaaamua kiwaweka na IS kwani na wao ni intelijensia? bila shaka na ww ni wale watu wa (AILAANIYE ISRAELI NA YY AMELAANIWA) Hahahahahaaaaaaaaaa!!!!!!! nakucheka kwa dharauHata IS ni wao
HUU UNAITWA UWOGA WA FIKRA nyerere angekuwa kama ww unadhani tungepata wapi uhuru??????????Kwahivo mleta mada habari nzito ya siri kubwa namna hii wee uliwezaje kuipata na ujasiri Wa kui share umeupata wapi' just thinking" sema natamani kusema acha upumbavu
Acha ujinga ww!!kwa hiyo unataka kusema mtoa mada na yy ni yuko pamoja nao ????huu tunauita UZEMBE WA MAWAZODUNIA ya siri huonekana sirini.
Afu hizi mada wasabato wamekomaa nazo mbaya, pia bila kusahau wale wanywa kahawa. Story zenyewe ni mambo ya umbea umbea na majungu. Hawa wasabato kwenye sherehe za vibanda ati vijana hufanyishwa mazoezi ili kujiandaa na mpango wa Pope kuwashambulia! Ni story za kupuuza tu hiziAfadhali na wewe umeona. Ukiwakuta wanavyohadithiana vijiweni unaweza kuona aibu wewe. Sishangai kuona albino wakiuwawa kama fikra zetu ziko hivyo
wewe ndio katika wale ambao hawaelewi dunia inaendaje labda nikuamshe fikra ..NI HIVI WALE SIO WAPUMBAVU NA KAMA UNADHANI ETI ZAMANI WALIKUWA WAJINGA KAMA UNAVYODHANI UNAKOSEA SANA NI KUWA WALITUINGIZIA KWANZA MFUMO WAO KWENYE KILA KITU YAANI SEKTA ZOTE NAGUSIA SANA KIELIMU ILI TUELEWE MAFUNDISHO YAO KISHA BAADAYE WAANZE KUTUBADILI MDOGO MDOGO MFANO WW SASA HIVI UNAAMBIWA UTUMIE UZAZI WA MPANGO ETI KISA DUNIA WATU WANAKUWA WENGI NA RESOURCES ZINAISHA NAKUTOKA NA ULIVYOSOMA DARASANI UNAONA NI KWELI UNAPANGA UZAZI NA WAKATI WALE WATU WA ZAMANI AU HATA TU WALE WATU AMBAO HAWANA ELIMU WA VIJIJINI UKIMWAMBIA UZAZI WA MPANGO HAKUELEWI HATA KIDOGO NA ANAZALIANA IPASAVYO WW UNAMUONA NI MJINGA NA WAKATI WW NDIO MPUMBAVU...KINGINE UMEKAAA DUNIANI MIAKA YOTE HIYO UMESOMA HISTORIA YA DUNIA MIAKA YOTE HIYO USHAWAHI SKIA WAPI SCARCITY YA RESOURCES LA KUJIULIZA ZAMANI WALIKUWA WATU HAWANA UZAZI WA MPANGO NA WALIKUWA WANAZALIANA VIBAYA MNO WAPU ULIONA WANALALAMIKA NJAA AMA SCARCITY OF RESOURCES? JIBU NI HAMNA ETI SASA HIVI DUNIA INA WATU WACHACHE 2 BILIONI 9 WANASEMA SCARCITY YA RESOURCES TAYARI WAMESHAKUFUNGA AKILI NI KWA KUWA WW NI MSOMI UNAFUATA YALE WANAYOTAKA WAO BADO TU HAUJAINGIA KATIKA KANUNI ZAO BADO TU HAWAJAKUFUNGA AKILI AFU UNAJIONA MJAAANJA ETI KWA KUWA UNAELIMU HII ELIMU ULIYO NAYO NI SAWA NA WAMEKUEKEA KASWITCH CHA GARI SASA WANATAKA WAINGIZE UFUNGUO ILI WAKUENDESHE TU.NA WALE WA VIJIJINI NDIO WAJANJA .NYONGEZA HATA AKAMA UNGEKAAAA MIAKA 100000000 DUNIA INGEENDELEA KUWA HIVI HIVI NA HAMNAGA K2 POLLUTION AUA SCARCITY OF RESOURCESHakuna lolote kama walishindwa kufanya dunia iwe under one gvt miaka ya 1700-1900 kipondi ambacho utandawazi haupo ,watu ni wachache,watu ni wajinga wataweza sasa hv kwenye kizazi hiki.
Mkuu uandishi wako sio mzuri,jaribu kuandika vizuri nitakujibu! ila nikupe mfano moja mdogo ilikuwa rahisi kuunganisha Afrika nzima miaka hiyo nchi zikidai uhuru kuliko sa hivi ni kwa nini???wewe ndio katika wale ambao hawaelewi dunia inaendaje labda nikuamshe fikra ..NI HIVI WALE SIO WAPUMBAVU NA KAMA UNADHANI ETI ZAMANI WALIKUWA WAJINGA KAMA UNAVYODHANI UNAKOSEA SANA NI KUWA WALITUINGIZIA KWANZA MFUMO WAO KWENYE KILA KITU YAANI SEKTA ZOTE NAGUSIA SANA KIELIMU ILI TUELEWE MAFUNDISHO YAO KISHA BAADAYE WAANZE KUTUBADILI MDOGO MDOGO MFANO WW SASA HIVI UNAAMBIWA UTUMIE UZAZI WA MPANGO ETI KISA DUNIA WATU WANAKUWA WENGI NA RESOURCES ZINAISHA NAKUTOKA NA ULIVYOSOMA DARASANI UNAONA NI KWELI UNAPANGA UZAZI NA WAKATI WALE WATU WA ZAMANI AU HATA TU WALE WATU AMBAO HAWANA ELIMU WA VIJIJINI UKIMWAMBIA UZAZI WA MPANGO HAKUELEWI HATA KIDOGO NA ANAZALIANA IPASAVYO WW UNAMUONA NI MJINGA NA WAKATI WW NDIO MPUMBAVU...KINGINE UMEKAAA DUNIANI MIAKA YOTE HIYO UMESOMA HISTORIA YA DUNIA MIAKA YOTE HIYO USHAWAHI SKIA WAPI SCARCITY YA RESOURCES LA KUJIULIZA ZAMANI WALIKUWA WATU HAWANA UZAZI WA MPANGO NA WALIKUWA WANAZALIANA VIBAYA MNO WAPU ULIONA WANALALAMIKA NJAA AMA SCARCITY OF RESOURCES? JIBU NI HAMNA ETI SASA HIVI DUNIA INA WATU WACHACHE 2 BILIONI 9 WANASEMA SCARCITY YA RESOURCES TAYARI WAMESHAKUFUNGA AKILI NI KWA KUWA WW NI MSOMI UNAFUATA YALE WANAYOTAKA WAO BADO TU HAUJAINGIA KATIKA KANUNI ZAO BADO TU HAWAJAKUFUNGA AKILI AFU UNAJIONA MJAAANJA ETI KWA KUWA UNAELIMU HII ELIMU ULIYO NAYO NI SAWA NA WAMEKUEKEA KASWITCH CHA GARI SASA WANATAKA WAINGIZE UFUNGUO ILI WAKUENDESHE TU.NA WALE WA VIJIJINI NDIO WAJANJA .NYONGEZA HATA AKAMA UNGEKAAAA MIAKA 100000000 DUNIA INGEENDELEA KUWA HIVI HIVI NA HAMNAGA K2 POLLUTION AUA SCARCITY OF RESOURCES
Wewe kama unaona huu ni uzushi, tueleze ukweli wenyewe ni upi? Sio unaleta kelele za nyuki kama jina lako lilivyo kimasai....(alakaibarra)Ukweli ni upi..?? Maana naona uzushi na uongo tuu..
VP na ile bank ya kike je?mmmh! wanamiliki benki zote! hata meru community bank na njombe community bank?
Ukweli ni kuwa Jesuit father's website yao iko wazi. Kazi zao zipo wazi search utawapata. Unataka ukweli upi ? www jesuits.org/worldwideWewe kama unaona huu ni uzushi, tueleze ukweli wenyewe ni upi? Sio unaleta kelele za nyuki kama jina lako lilivyo kimasai....(alakaibarra)