2001..ndo nilimaliza hapo
Nazijua zote mbili. Bugarika mwaka gani???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nazijua zote mbili. Bugarika mwaka gani???
Ilikuwa sio pouwa kabisaLile scramble lilikua si la kitoto. Sisi ule uji tulikua tunachanganya na ubwabwa mkavu. Shughuli yake utaipata chooni ila nilichokuwa napenda vinakaa tumboni muda mrefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi pamba sec.....mwl kinshuri unamjuaWale wa Mwanza SekondarI School na jirani zetu Pamba Sec
Enzi za Marehemu Mkono
Namjua, kanifundisha Geography nikiwa form 3Mi pamba sec.....mwl kinshuri unamjua
😄😃Bungo pr school- MOROGORO- 2003
Wale wa Mwanza SekondarI School na jirani zetu Pamba Sec
Enzi za Marehemu Mkono
Kanifundisha pia, bado anafanya jogging siku moja nimempita pale nationalNamjua, kanifundisha Geography nikiwa form 3
Though amechoka, anahitaji kupumzika kinshuliKanifundisha pia, bado anafanya jogging siku moja nimempita pale national
Sent using Jamii Forums mobile app
Chuoni tumesoma wote 😅 😅
Ulifanikiwa kupata special diet?Ilikuwa sio pouwa kabisa
Nilitafuta vibali Kama vyote maziwa ,juice majina special diet .
Sent using Jamii Forums mobile app
Chuo tu
Kheri ivyo. Maana yale maharage yalikua yameoza halafu hayapikwi vizuri.
Hovyo ndio kiswahili cha nchi gani?Kujua lugha hakutegemei shule uliyosoma bali juhudi zako za kujifunza lugha husika. Mf.I
Wewe hata kiswahili hujui. Hovyo unaandika ovyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka sana[emoji3][emoji3]Hapo naweza nkakubali. Siku moja kulikuwa na ziara ya kimasomo kuelekea Mikumi unakumbuka gari liliharibikia pale tip top???
O level
Ulisoma pale nn ?