Cambridge primary school
Guangzhou secondary school
yess BiShoo haswaaAaa
G kubwaaaa
Sikusomea kupata kazi ila kutengeneza kazi mkuu, nimejiajiri na kuajiri wengine, nafanya shughuri halali na zisizo halali kwa kutumia elimu, exposure na network niliyoitengeneza throughout all those years.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi utu centre, kwa kampunishule yetu nzuri apa kwiro ,, kwa mola twaiombea baraka,, endeleza aisee[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
"Shy Bush"
Ndio mabweni yaliokua yanaongoza kwa usafi...tumepikiwa sana pilau enzi zile kisa kuongoza Kwa usafiShengena wakorofi tu mpaka leo. Na wajanja wote wanakaa uko.
Huku mtaani nitavunjwa kiuno na serikali aiseee...now nimetulia...c unajua tena ukishaingia kwenye corporate jobs inabidi utulie tu hatuna jinsi....ambae bado analisongesha ni bwashee....akiwa pale MUHAS alikua raisi na 2015 aligombea udiwani kata ya upanga....kati ya wale sita ni yy tu kabaki kwenye harakati wengine tumepoa Kwa sasaMlitikisa sana kipindi kile...vipi mkuu bado mgomo unaendeleza au now umeshapoa mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mademu wa mawenzi advance walikua mademu zetu watoto wa kiumeni old moshi...Magereza primary-Moshi
Mawenzi secondary-Moshi
Majengo secondary-Moshi
Acha kujitapa wale walikuwa mademu wa Moshi nzima hata Lyamungo, Umbwe, Tech, na wengine. Wale mademu niliwanyooshea mikono.Mademu wa mawenzi advance walikua mademu zetu watoto wa kiumeni old moshi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Msingi..Mugeza school for the deaf (BUKOBA)
Sekondar...Bwiru boys secondary school (MWANZA).
Chuo...UDSM
Sent using Jamii Forums mobile app