M16_kwaoz
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 231
- 456
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema schoolmate, inaeza kuwa ulipokuwa unaanza shule yeye ndio alikuwa anamaliza
Mwadui B Primary schoolSema schoolmate, inaeza kuwa ulipokuwa unaanza shule yeye ndio alikuwa anamaliza
Kagera primary school 2011Tag jina la shule uliyosoma secondary na primary.
1. Shule ya msingi ngaiti
2. Shule ya msingi chikuyu
3. Shule ya msingi heka
Sent using Jamii Forums mobile app
G kubwaaaa
G yenye hadhiii
G kubwa kuliko
Haikatai broo
yess BiShoo haswaaAaa
Nimesoma nae darasa moja. Am sure.Sema schoolmate, inaeza kuwa ulipokuwa unaanza shule yeye ndio alikuwa anamaliza
Nlikuwa jirani yako Kahororo paleMsingi..Mugeza school for the deaf (BUKOBA)
Sekondar...Bwiru boys secondary school (MWANZA).
Chuo...UDSM
Sent using Jamii Forums mobile app
Chini ya Fr Chuwa nini!
Bismarck ya Mwanza or?ubungo kisiwani mwaka 2004.
kuanzia mwaka 2005-2008 shule nilizosoma O-level peke ake ni kama ifuatavyo;
1.bismack secondary
2.Midlands secondary
3.st peters secondary
4.makongo secondary
5.mbezi beach
6.perfect vision secondary.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bismarck ya Mwanza or?
Hahahha sasa Mzee lyamungo walikua sio kivile mpka watoke kibosho ni Leo??Umbwe mademu zao walikua machame girls hadi walikua wanajiita "UMACHA". Ila pia sipingi sana point yako maana kuchukua watoto wakali ni ujanja wako tu....advantage tuliokua nayo old moshi ni kwamba tuko town,alafu free kujiachia,kila weekend pub Alberto na La liga ulikua hutukosi...kila alhamiss na jmoss full kuzamia YMCA pale kwenye maharusi na send offs....ikifinyika graduu yoyote ya shule za girls mkoa wa Kilimanjaro huwezi kosa watoto wa old moshi hata siku mojaAcha kujitapa wale walikuwa mademu wa Moshi nzima hata Lyamungo, Umbwe, Tech, na wengine. Wale mademu niliwanyooshea mikono.