Akhi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 3,380
- 5,906
Izo nyumba nazijua vizuri tu mna sio zamani nilimpeleka mtu alitaka kununuaIla kwenye nyasi kachemka.. Imeliwa na fungus ile mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Izo nyumba nazijua vizuri tu mna sio zamani nilimpeleka mtu alitaka kununuaIla kwenye nyasi kachemka.. Imeliwa na fungus ile mbaya
Ila Jamaa pia ana biashara zake ndani ya kampuni ya BakhresaKazaliwa kakuta pesa, kafundishwa namna ya kuitumia na kuitafuta tena...
Kazaliwa kakuta pesa, kafundishwa namna ya kuitumia na kuitafuta tena...
Kijuku ni kijinga sanaa kuonyesha jumba wakati ni liability si bora angeonyesha hotel au real estate ya apartiment huyu kasha kua mjinga kama vitoto vya Tanganyika wapemba hawana showoff.
Labda baada ya miaka 30 kama babu yake alikoanza miaka ile ya 50Kua mjuku wa bakharesa kua na masion sio stori kabisa, ange tuonyesha biashara kuliko ya babu yake ndo tutamuamini........
Jumba la 1bn upangishe laki tano kwa mwezi kweli huo ni ujinga, kwa sababu zazibar hamna wakupanga nyumba kodi zaidi ya 500k, labda iwe hotel jambo ambalo ni gumu kilibadili.Ngumba pia inaweza kuwa Asset Endapo akiamua kuipangisha.
Wema na Kajala watakua hawana contacts za huyu dogoUkizaliwa na kukuta hela kwenye familia maisha yanakuwa rahisi sana sio sisi akina butua ili uokoe wenziao
Hayo majumba yaonyeshwe na sie kutoka familia masikini sio huyu mjuku wa bakhresa.Ila ndogo sana hiyo kwa familia yao,angeonyesha kitu tofauti
Bwana wee ..angetulingishia mbususu za pisi kali alizogomga hapo ningesema kweli anakula maisha.Ipo siku atakufa tu na mali ataziacha.
Inazidiwa na ya Mwijaku?Hizi nyumba zipo fumba town hpa Zanzibar ni nyumba ya billion moja tu izo nyumba ni za babu yake ndo mwrnye huo mradi sasa unashangaa nn apo ?
😂Masikini wa kibongo bhana,wanakuambia hiyo Norfolk island pines ni nuksi kuwa nayo nyumbani.
Inshallah, watazionesha ☺️Hayo majumba yaonyeshwe na sie kutoka familia masikini sio huyu mjuku wa bakhresa.
Yeah 👍🏽Kazaliwa kakuta pesa, kafundishwa namna ya kuitumia na kuitafuta tena...
😂😂 au "Ipo Siku yangu" wa G. GozbertDJ nipigie ngoma ya Maby boy-Maisha yangu.
Kweli unapenda sana kutombener yaani mpaka hyo nyumba unaona si chochote..Bwana wee ..angetulingishia mbususu za pisi kali alizogomga hapo ningesema kweli anakula maisha.