Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Marekani naona location ndio inaamua bei ya nyumba yakoKibongo bongo ni ''jumba''. Lakini kiuhalisia hiyo ni nyumba ya kawaida sana ukifananisha na thamani ya nyumba walizonazo matajiri na familia zao duniani.
Izo nyumba zishajengwa zamani tu saivi zinauzwaUnaambiwa hela alizojengea hapo ni chenji tu ambazo babu yake huwa anasahau pindi anapomtuma akanunue kitu, hezi chenji kazikusanya ndani ya wiki moja tu
Zinavuja kwasababu zinajengwa na fundi Maiko, hizo hazivuji hamna mkono wa fundi maiko hapoWale wa kusema nyumba za hivi zinavuja sizitaki watainanga
Yani uwe na pesa alafu uchukue mwanamke mchafu kama huyo?Kajala in da house
Kama zinauzwa basi kanunua kwa babu yakeIzo nyumba zishajengwa zamani tu saivi zinauzwa
Google fumba town development utaona
Hii ndo faraja ya masikiniIpo siku atakufa tu na mali ataziacha.
Povu ruksa.
Ipo hapo Mbweni pale, we nenda siku Moja kashangae utaona ipo karibu na nyumba ya Mh ....Hizi nyumba zipo fumba town hpa Zanzibar ni nyumba ya billion moja tu izo nyumba ni za babu yake ndo mwrnye huo mradi sasa unashangaa nn apo ?
Huyo ni Mtoto wa Yusuf SSB, huyo dogo kaCopy kwa Babake, Yusuf mtu wa kujiachia sana!Katika familia ya Bakhresa huyu dogo ndio anapenda sana show off, sijui kwa nini?
Na Maskini humjuaga Maskini mwenziye.Maneno ya maskini haya
Sawa Mama Samia.Ninampongeza kwa kuweza kuwa na hilo jumba. Cha muhimu ni kuwa hilo limetokea kwenye uongozi wa Mama Samia Suluhu.
Ila Yusuf sio mtu wa kushow off kama huyu dogo, huyu Zayed ana maneno ya shombo sanaHuyo ni Mtoto wa Yusuf SSB, huyo dogo kaCopy kwa Babake, Yusuf mtu wa kujiachia sana!
Unapaswa kukubaliana kutokukubaliana na mawazo yao uliowanukuu maana ndiyo tafsiri halisi ya uhuru wa mawazo tofauti.Baadhi ya threads kabla hujacoment inabidi utathimini na Hali Yako ya uchumi, nilichogundua Hali ya mtu ya kiuchumi inaweza tumikisha ubongo wake useme kinyume na vile ubongo ungepaswa kusema kama muhisika angekuwa vizuri kiuchumi,,, mi nikiwa na changamoto za kiuchumi baadhi ya threads Huwa naskip, unaweza jikuta unawalaani matajiri kumbe ndio waliobarikiwa ,na wewe ndio umelaaniwa ,
Pongeza ,ukishindwa pita kimyakimya