Mjukuu wa Bakhresa, Zayed aonesha jumba lake la Kifahari! Pesa Inaongea

Mjukuu wa Bakhresa, Zayed aonesha jumba lake la Kifahari! Pesa Inaongea

Pesa haitaki kelele!

Sasa kutana na matajiri wa social media na kelele zao.
-Huyu kashika mabunda ya fedha anapiga nayo picha,
-yule kule jaya jaza ndani ya gari,
-mwingine kasambaza kitandani chumbani,

Wenye nazo wako kimyaa, unaona matendo tu.
 
Kajukuu hakapigwi mizinga na marafiki na ndugu ndio maana lazima kawe vizuri, sio kama sisi ukitoboa ukoo wote unakupiga mizinga
 
Huyo ni Mtoto wa Yusuf SSB, huyo dogo kaCopy kwa Babake, Yusuf mtu wa kujiachia sana!
Ila Yusuf sio mtu wa kushow off kama huyu dogo, huyu Zayed ana maneno ya shombo sana

Kuna jamaa alimwaambia kwenye post yake fulani ya X kaka hongera umezikuta hizo baba tumia

Dogo akamjibu The duck may swim in the lake but my dad owns the lake.
 
Baadhi ya threads kabla hujacoment inabidi utathimini na Hali Yako ya uchumi, nilichogundua Hali ya mtu ya kiuchumi inaweza tumikisha ubongo wake useme kinyume na vile ubongo ungepaswa kusema kama muhisika angekuwa vizuri kiuchumi,,, mi nikiwa na changamoto za kiuchumi baadhi ya threads Huwa naskip, unaweza jikuta unawalaani matajiri kumbe ndio waliobarikiwa ,na wewe ndio umelaaniwa ,




Pongeza ,ukishindwa pita kimyakimya
Unapaswa kukubaliana kutokukubaliana na mawazo yao uliowanukuu maana ndiyo tafsiri halisi ya uhuru wa mawazo tofauti.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work
 
Back
Top Bottom