Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha Kibajaji ndiye alitoa hoja ya kuwa Mwenyekigoda aende chobingo ili wajumbe wamjadili?Jimbo la Mtera liko wazi
Litamfaa Benson Kigaila wa CHADEMA
Tatizo lake nae ana kihere here sanaKibajaji alitaka kuleta balaa
Huyo muda wowote ni pir kabisa maana hawataki mchezoMdomo uliponza kichwa.
Wazazi pelekeni watoto shile,huyu mjumbe wa mkutano mkuu angejuwa anemakiza ata four ya 31 angeelewa kuwa lile lilikuwa igizo.
Kikao kilikuwa kimepangwa vizuri, kila jambo likiwa limeandaliwa kwa mpangilio maalum, lakini mtoa hoja aliamua kwenda kinyume na mpango uliokuwepo.
Soma, Pia: Rais Samia aligoma alipoambiwa atoke ili wajumbe wapige kura na kumpitisha. Hii ina maanisha CCM wengi hawamtaki?
Nusura aharibu kabisa mwelekeo wa kikao.
Bahati nzuri, Steering Committee ilistukia haraka mchezo na kuchukua hatua za haraka kuzuia hali isiwe mbaya zaidi.
Ilikuwa ni hali ya hatari, hasa kama Mwenyekiti angeamua kuwapa nafasi wapinzani wa hoja hiyo. Ingekuwa balaa, kwani wapo ambao wangejitokeza kuipinga kwa nguvu hoja hiyo.
Kama hali hiyo ingekuwa imeachwa, Mwenyekiti angejikuta kwenye shinikizo kubwa, na huenda angeishia kuwa Rais wa muhula mmoja tu katika historia yetu.
Kibajaji alikuwa anampanga maza eti tunataka kukupa zawadi nzuri kwa hiyo utoke ili tupige kuraKibajaji alitaka kuleta balaa
Alitakiwa asome nyakat za alama mapemaHuo mbona ni utaratibu wa kawaida na ushatumika awali?
Ndyoo ni kibajaj ,analeta danganya toto eti token njee ,Kwa kua maza alikua karbu na tabasam akamshtua kua kua mjanja ww ,, hapa utapigwa kekundu!!!U
Unamaanisha Kibajaji ndiye alitoa hoja ya kuwa Mwenyekigoda aende chobingo ili wajumbe wamjadili?
Labda kasoma alama za nyakati hakuzikubali ametaka kubadilisha mambo pia.Alitakiwa asome nyakat za alama mapema
Nahisi ni kiherehere cha kimkakatiTatizo lake nae ana kihere here sana
Kwa hiyo hapo unamlaumu au una maana gani? Je, hoja yake haikuwa na maana utafikiri? Je, ukiwa msomi unafundishwa na uoga pia?Mdomo uliponza kichwa.
Wazazi, pelekeni watoto shule. Huyu mjumbe wa mkutano mkuu, kama angekuwa amemaliza hata kidato cha nne kwa alama 31, angeelewa kwamba lile lilikuwa tu igizo.
Kikao kilikuwa kimepangwa vizuri, kila jambo likiwa limeandaliwa kwa mpangilio maalum, lakini mtoa hoja aliamua kwenda kinyume na mpango uliokuwepo.
Soma, Pia: Rais Samia aligoma alipoambiwa atoke ili wajumbe wapige kura na kumpitisha. Hii ina maanisha CCM wengi hawamtaki?
Nusura aharibu kabisa mwelekeo wa kikao.
Bahati nzuri, Steering Committee ilistukia haraka mchezo na kuchukua hatua za haraka kuzuia hali isiwe mbaya zaidi.
Ilikuwa ni hali ya hatari, hasa kama Mwenyekiti angeamua kuwapa nafasi wapinzani wa hoja hiyo. Ingekuwa balaa, kwani wapo ambao wangejitokeza kuipinga kwa nguvu hoja hiyo.
Kama hali hiyo ingekuwa imeachwa, Mwenyekiti angejikuta kwenye shinikizo kubwa, na huenda angeishia kuwa Rais wa muhula mmoja tu katika historia yetu.
Kwa hiyo hapo unamlaumu au una maana gani? Je, hoja yake haikuwa na maana utafikiri? Je, ukiwa msomi unafundishwa na uoga pia? Kama na wewe ni msomi basi umehitimu tu lakini hujaelimika!Mdomo uliponza kichwa.
Wazazi, pelekeni watoto shule. Huyu mjumbe wa mkutano mkuu, kama angekuwa amemaliza hata kidato cha nne kwa alama 31, angeelewa kwamba lile lilikuwa tu igizo.
Kikao kilikuwa kimepangwa vizuri, kila jambo likiwa limeandaliwa kwa mpangilio maalum, lakini mtoa hoja aliamua kwenda kinyume na mpango uliokuwepo.
Soma, Pia: Rais Samia aligoma alipoambiwa atoke ili wajumbe wapige kura na kumpitisha. Hii ina maanisha CCM wengi hawamtaki?
Nusura aharibu kabisa mwelekeo wa kikao.
Bahati nzuri, Steering Committee ilistukia haraka mchezo na kuchukua hatua za haraka kuzuia hali isiwe mbaya zaidi.
Ilikuwa ni hali ya hatari, hasa kama Mwenyekiti angeamua kuwapa nafasi wapinzani wa hoja hiyo. Ingekuwa balaa, kwani wapo ambao wangejitokeza kuipinga kwa nguvu hoja hiyo.
Kama hali hiyo ingekuwa imeachwa, Mwenyekiti angejikuta kwenye shinikizo kubwa, na huenda angeishia kuwa Rais wa muhula mmoja tu katika historia yetu.
Kwenye filamu watu hufuara script,Kwa hiyo hapo unamlaumu au una maana gani? Je, hoja yake haikuwa na maana utafikiri? Je, ukiwa msomi unafundishwa na uoga pia?
Kwa hiyo hapo unamlaumu au una maana gani? Je, hoja yake haikuwa na maana utafikiri? Je, ukiwa msomi unafundishwa na uoga pia? Kama na wewe ni msomi basi umehitimu tu lakini hujaelimika!
Pengine kwenye uandaaji wa script yeye hakuwepo!Kwenye filamu watu hufuara script,