Tetesi: Mjumbe aliyetaka Samia na Hussein Mwinyi watoke kwenye kikao ili wawajadili aitwa kujieleza

Daaaa kumbe anajua....kuwa hatoboi akipigiwa kura....? Kazii yeye hataki demokrasia ndani chama chake
 
We mpumbavu huu uzushi na uwongo mtumie mamako siyo watanzania wenye akili wanaojua na walioshuhdia mbashara Mambo yalivyoenda.
 
Kumbe ndio mchezo ulivyokuwa!
Basi wao wanacheza draft wakati mwenzao anacheza chess
Nawe unamzingatia huyo mzushi. Samia alitoka wakati wa kupigiwa Kyra, na alitoka Tena wakati wa kutangazwa matokeo, huyo nyumbu analeta upuuzi gani.
 
Ni swali zuri, na pia utekelezaji mzuri wa kanuni na utaratibu wa uchaguzi, na hio itabaki kama mizimu na doa kubwa la kuitesa CCM ya sasa ya Bibi SSH
 
Katiba ya kidikteta ambayo chadema wameikataa
 
We mpumbavu huu uzushi na uwongo mtumie mamako siyo watanzania wenye akili wanaojua na walioshuhdia mbashara Mambo yalivyoenda.
Unawashwa huko nyuma,njoo nikusugue,mama yako ananajuta kutotumia condom mpaka akakuzaa
 
Yule mjumbe aliyependekeza Samia na Mwinyi wapite bila kufuata katiba ya CCM ndiye alipaswa kuitwa kujieleza. AINAZNAT yetu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…