SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Hizo ni hekaya tu kama kuna kitu kama hicho polisi wasingekaa kimya.Muulize Boni Yai anayajua yale makundi yao ya akina Somoe ,Marco ,Fadhili Zendua...wako naye toka kipindi kile wakitaka kumdhuru Zitto pale mahakamani....
Huko CCM ndiyo kuna mazombie yasiyojitambua, kutwa kucha mnamtaja mtu huyo huyo huo ni utaahira kabisa.Tunazieleza sifa zake akiwa mbele ya misukure yake isiyotafakari vyema....
Sasa hapa anaye onekana mjinga ni naniAcha ujinga ,polisi watuogope sisi UVCCM ?!![emoji44][emoji44]
Toka lini?!!
Green Guard wa zamani nipo hapa...hatukuwahi kuilinda mikutano ya CCM kwa bunduki....Tanzania hakuna polisi, kuna UVCCM wenye bunduki.
Wewe.Sasa hapa anaye onekana mjinga ni nani
Unazungumzia wale majangili Red brigade ?!!Chadema guard walikua wapi na wao wawapige kiasi hicho hicho walichompiga
Pale ufipa mchawi ni "mabox" na buku 3 tu...mlinzi anawaruhusu sana "bavicha wanaokaa Kinondoni" wajimwaye kule uani nyakati za usiku mwingi....Huko CCM ndiyo kuna mazombie yasiyojitambua, kutwa kucha mnamtaja mtu huyo huyo huo ni utaahira kabisa.
[emoji7][emoji7]Siasa ni mpumbavu mkubwa sana kuletwa na mzungu huku Afrika .
Unatanguliza sana HISIA...Hizo ni hekaya tu kama kuna kitu kama hicho polisi wasingekaa kimya.
Hakuna lolote kwa jinsi CCM inavyotamani kuiangamiza Chadema hilo lingekwisha fanyika siku nyingi sana.Unatanguliza sana HISIA...
Hayo yalitokea KIUHALISIA....tunasubiri tu wakati mwafaka TUZIACHIE video na "sound notes"...tumezitunza muda mrefu sanaa [emoji1787][emoji1787]
Hayo ni maneno ya kilevi tunayapuuzaPale ufipa mchawi ni "mabox" na buku 3 tu...mlinzi anawaruhusu sana "bavicha wanaokaa Kinondoni" wajimwaye kule uani nyakati za usiku mwingi....
He! Kumbe kuna jeshi lingine tofauti na haya tunayo yajuaMjumbe wa Kamati Tendaji ya Tanga wa CHADEMA Husein Ally jana Sep 5, 2024 alichukuliwa na Mwenyekiti wa UVCCM pamoja na green gurd ambao walimpeleka ofisi za CCM Masiwani Ground wakampiga. Baada ya hali kuwa mbaya inasemekana waliwaita polisi kumchukua, viongozi wengine wa BAVICHA walipata taarifa na walimkuta Husein Hospitalini Bombo.
Utaliona punde hivi...Hakuna lolote kwa jinsi CCM inavyotamani kuiangamiza Chadema hilo lingekwisha fanyika siku nyingi sana.
[emoji1787][emoji1787]Hayo ni maneno ya kilevi tunayapuuza
Naona mnasikiaa na kuona burdan kuwasulubu wenzenu siyo[emoji1787][emoji1787]