SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Chanzo Cha MatatizoChanzo ni ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chanzo Cha MatatizoChanzo ni ccm
Green Guard tumeshafutwa siku nyingi....Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Tanga wa CHADEMA Husein Ally jana Sep 5, 2024 alichukuliwa na Mwenyekiti wa UVCCM pamoja na green gurd ambao walimpeleka ofisi za CCM Masiwani Ground wakampiga. Baada ya hali kuwa mbaya inasemekana waliwaita polisi kumchukua, viongozi wengine wa BAVICHA walipata taarifa na walimkuta Husein Hospitalini Bombo.
Acha ujinga ,polisi watuogope sisi UVCCM ?!![emoji44][emoji44]Hili ni tatizo La polisi kufungamanishwa na CCM lazima kazi iwe ngumu upande wa polisi, hasa kwa matukio yanayo fanywa na CCM na ambayo nimengi na yanalipaka matope jeshi la polisi kwa sababu wanakosa nguvu ya kufanya maamuzi, CCM na viongozi wao wanauhuru wa kufanya jambo lolote baya na wanajua hawana cha kufanywa na vyombo vya ulinzi na usalama
Ujinga huo...Uvccm ndiyo hawa hawa usiku wanageuka kuwa panya road.
Kuhemkwa huko...Imefika wakati CCM nao waanze kufanyiwa hivi vitendo
Bado mnailizana wasiojulikana ni akina nani?Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Tanga wa CHADEMA Husein Ally jana Sep 5, 2024 alichukuliwa na Mwenyekiti wa UVCCM pamoja na green gurd ambao walimpeleka ofisi za CCM Masiwani Ground wakampiga. Baada ya hali kuwa mbaya inasemekana waliwaita polisi kumchukua, viongozi wengine wa BAVICHA walipata taarifa na walimkuta Husein Hospitalini Bombo.
UVCCM hatuna nguvu juu ya vyombo vya dola....Tuna siasa za kipuuzi mno, uvccm now wananpiwer of arrest, wanamamlaka ya kupiga wapinzani na vyombo vya dola vipo kimya.
Unatengeneza "tension" tu...kwanini wasiripoti polisi ?!!Kama BAVICHA hawatakopa falsafa ya jino kwa jino kutoka CUF, basi watarajie kuuawa zaidi.
Mimi nilikuwa hao usemao...tumepigwa marufuku na chama baada ya katazo la msajili wa vyama....sijajua wale majangili RED BRIGADE..bado mnao ?!!Kabisa, wamekuwa wapole mno, kile kikundi chao cha ukinzi kilipigwa marufuku lakini green guard ipo, kwanini?
Tatizo ni Chifu Mbowe mwaka wa 25 huu ni mwenyekiti tu....Chanzo Cha Matatizo
Si ndiyo hao hao uvccm ndiyo watekaji wenyewe, usichoelewa nini hapo?Ujinga huo...
Panya road ni wale wanaotaka milioni 3 kwa akina Chaula...
Mnamuogopa sana huyu Mbowe, bila kumtaja kwenye post na nyuzi zenu hamlipwi posho.Tatizo ni Chifu Mbowe mwaka wa 25 huu ni mwenyekiti tu....
Muulize Boni Yai anayajua yale makundi yao ya akina Somoe ,Marco ,Fadhili Zendua...wako naye toka kipindi kile wakitaka kumdhuru Zitto pale mahakamani....Si ndiyo hao hao uvccm ndiyo watekaji wenyewe, usichoelewa nini hapo?
Tunazieleza sifa zake akiwa mbele ya misukure yake isiyotafakari vyema....Mnamuogopa sana huyu Mbowe, bila kumtaja kwenye post na nyuzi zenu hamlipwi posho.
Tanzania hakuna polisi, kuna UVCCM wenye bunduki.Unatengeneza "tension" tu...kwanini wasiripoti polisi ?!!
.MADAM RANGO KASHASEMA FANYENI CHOCHOTE