Tetesi: Mjumbe wa Kamati ya Uenezi ya CCM Mkoa wa Dar, Frey Edward: Kilimanjaro kuna Wabunge 2, Manyara 1, Dar 2 na Mara 1. Watakuja kabla ya Disemba.

Tetesi: Mjumbe wa Kamati ya Uenezi ya CCM Mkoa wa Dar, Frey Edward: Kilimanjaro kuna Wabunge 2, Manyara 1, Dar 2 na Mara 1. Watakuja kabla ya Disemba.

Bahati mbaya mbumbumbu hao sahizi wanakuwa miongoni mwa viongozi wa CCM. Sijui CCM itakuwaje siku za mbeleni kwa kuwajaza hawa wasio na akili waliotoka upinzani.

Uelewa wangu ni kuwa hadi sasa wengi wa hao wahamiaji ni wale waliohama toka huko wanakohamia sasa.Mwanzo wao ulikuwa ndani ya CCM.

Ndio, ninakubaliana kabisa na kuhoji 'integrity' ya viongozi hawa na wengi wengine waliomo ndani ya vyama hivi vya siasa. Tunaijua na kuikumbuka sana CCM ya Kikwete, hata ile ya Mkapa. Hawa watu ni walewale, hata kama sasa wamewekewa mfuniko wasisikike na kuonekana ndani ya CCM hii iliyopo sasa. Mfuniko ukiondolewa utaiona CCM halisi ya Kikwete na Mkapa. Hakuna kitakachokuwa kimebadilika.
 
Vitu vengine ni vya kustaajabu sana.Wakishaamia huko ndio wataongeza hoja au wataleta tija gani kwa taifa ambayo hawakuwa nayo kabla.Maana watakalia viti vilevile,watalipwa mishahara hile hile.Mbaya zaidi wanatuingiza kwenye gharama za kurudia chaguzi kila uchwao.CCM ni majority au anaowaongeza ni kwa ajili ya nini.No sense!

Hii ni kutapanya hela kwa vitu visivyo na msingi.Kwa nini CCM wasipeleke muswada bungeni wa kubadilisha sheria kuruhusu wabunge na madiwani kuhama vyama bila kufanyika uchaguzi upya.

Lengo hapa ni nini?Kuiua Chadema?Hili iweje?Turudi kwenye chama kimoja.Si tumetoka huko.Kwa nini tuliingia kwenye mfumo wa vyama vingi?Kwa nini Jiwe anaogopa check and balances.Inayompelekea kuamini yeye kama mwenyekiti wa chama atalicontrol bunge kwa kuwatisha wanasiasa maslahi wa chama chake.

Upinzani hupo mioyoni mwa watu.Kamwe aufi.Ata kama tutarudi kwenye utawala wa chama kimoja 2020.

NB:Hawa wanaoamia CCM sasa,ikifika 2020 wakikatwa kwenye kura za maoni.Watasema nini?
 
View attachment 890013

Mjumbe wa Kamati ya Itikadi na Uenezi Mkoa wa Dar es Salaam, Frey Edward Cosseny, amewarusha tena roho juu wafuasi wa Vyama vya Upinzani baada ya kudai kuwa, kuna Wabunge wengine sita wanafuata baada ya Mbunge wa Simanjiro, James Ole Millya (CHADEMA) kujiunga na CCM.
Frey Cosseny amedai kuwa, Wabunge watakaojiunga na CCM kutokea CHADEMA ni wanatokea Mikoa ifuatvyo:
Mkoa wa Kilimanjaro - Wabunge wawili (02),
Mkoa wa Dar es Salaam - Wabunge wawili (02),
Mkoa wa Manyara - Mbunge mmoja (01),
Mkoa wa Mara - Mbunge mmoja (01).

View attachment 890012

Haya Wazee wenzangu wa mapovu camp, naomba tutiririke hapa kubashiri Wabunge hao walio mbioni.
Kwa Mkoa wa Mara nahisi Ester Matiko (Tarime Mjini) hatasalimika na hizi radar za CCM. Utakuwa ni usajili mzuri.
Tutaje wa Mikoa mingine.
Chukueni tu mizoga yenu mnayoifanyia usodoma kwanza kabla ya kuisajili
 
Watanzania gani hao unaowasema ndugu? Wao hawana makuu kabisa na mambo ya kisiasa, ndiyo maana inakuwa rahisi kwao kumpigia tena kura Mbunge/Diwani aliyejivua nyadhifa zake halafu anashinda tena kwenye Chama alichohamia, kwa walioendelea kamwe haushindi.
So, naona hapa CCM wametumia ajili kubwa sana kwani itachukua muda tena Upinzani hasa CHADEMA kuwa-groome at a shortest possible time, Makada wazuri wa kushindana na CCM.
Umemwelewa Katibu Mkuu wenu lakini au unamwaga mashudu tu ili uambulie bk7?
 
Watanzania gani hao unaowasema ndugu? Wao hawana makuu kabisa na mambo ya kisiasa, ndiyo maana inakuwa rahisi kwao kumpigia tena kura Mbunge/Diwani aliyejivua nyadhifa zake halafu anashinda tena kwenye Chama alichohamia, kwa walioendelea kamwe haushindi.
So, naona hapa CCM wametumia ajili kubwa sana kwani itachukua muda tena Upinzani hasa CHADEMA kuwa-groome at a shortest possible time, Makada wazuri wa kushindana na CCM.
Who is the winner?
Wabunge ndo wanaoongeza kipato cha mtu wa chini? Wanaongeza mishahara ya wafanyakazi au wanaleta nini? Tufike mahali tuone kuwa ubunge na uwaziri ni kejeri na usanii tu. Nchi hii mwenye kauli ya mwisho ni mmoja. Alipopinga family planning, kulitokea nini the next week. Nchi hii ni ya makondooo tu. Tunasubiri atangaze watu kuoa wake zaid ya mmoja kama alivyoongea wakati wa msiba wa Masaburi.
 
Waende wote tu, upinzani upo kwenye damu
Mkuu mtabaki na damu lakini watu wapo kwingine!! Hii inanikumbusha wakati ule wa Rais wa Mioyo yetu na baadaye Ulipo Tupo na sasa Upinzani upo Damuni! Haya, wengine yetu macho
 
HIVI WAKUU HAWA WABUNGE NA MADIWANI HAMAHAMA WANAVUTWA NA ULIMBO GANI AISEEE???
AU NDO VIWANDA TULIVYOAHIDIWA??THIS IS TOO MUCH ASEE
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tz inaruhusu mtu kuhama chama au kujiunga na chama chochote anachokitaka
 
Naona Polepole keshawaonya Wabunge ambao bado wanajivuta vuta. Wahame haraka kabla ya mwaka 2018 haujaisha.

IMG_9070.jpg
 
Nimekusoma vizuri, lakini nikukumbushe tu kama umesahau: kuna msemo mashuhuri kuwa serikali inatimiza sera za CCM. Kwa CCM ya sasa hii ni sera yake, kwa hiyo hawaone shida kabisa.
Mimi hofu yangu ipo juu ya vyama hivi vya upinzani. Sijui kama wanayo mipango yoyote ya kuyakabili haya yanayowatokea sasa.
Maana wanavyoonekana sasa ni kama gari lililopata pancha lakini hata tairi la spea hawana, na wapo porini hawajui wafanye nini. Hata simu ya mawasiliano na wananchi wapate msaada hawana!

Ukiwatizama wapo happy,

That means inawezekana sio wote wanaohamia wameubga juhudi mkono. Yawezekana wengine kazi maalum. Lakini wangekuwa wameishiwa mbinu wangeanza kutumia misuli lakini inavyoonekana wanayo plan B na si ajabu na plan C.

Lakini pia tafiti ndio jibu sahihi kuweze kusema wameyumba au la. Tukitudi nyuma taasisi ya twaweza ilitoa report na kusema CCM wamepoteza mvuto kwa kiasi kikubwa nataasis hiyo imepigwa marufuku.

Hicho na mengine chaweza kuwa sababu inayoendelea kuwapa confidence.

Ukiangalia kwenye vijiwe, bar kwenye daladala na sehemu za kazi linapozungumziwa siasa utaona wengi wapo upande mmoja.

Kwetu pazuri
 
View attachment 890013

Mjumbe wa Kamati ya Itikadi na Uenezi Mkoa wa Dar es Salaam, Frey Edward Cosseny, amewarusha tena roho juu wafuasi wa Vyama vya Upinzani baada ya kudai kuwa, kuna Wabunge wengine sita wanafuata baada ya Mbunge wa Simanjiro, James Ole Millya (CHADEMA) kujiunga na CCM.
Frey Cosseny amedai kuwa, Wabunge watakaojiunga na CCM kutokea CHADEMA ni wanatokea Mikoa ifuatvyo:
Mkoa wa Kilimanjaro - Wabunge wawili (02),
Mkoa wa Dar es Salaam - Wabunge wawili (02),
Mkoa wa Manyara - Mbunge mmoja (01),
Mkoa wa Mara - Mbunge mmoja (01).

View attachment 890012

Haya Wazee wenzangu wa mapovu camp, naomba tutiririke hapa kubashiri Wabunge hao walio mbioni.
Kwa Mkoa wa Mara nahisi Ester Matiko (Tarime Mjini) hatasalimika na hizi radar za CCM. Utakuwa ni usajili mzuri.
Tutaje wa Mikoa mingine.


Amini, amini,amini nawaambia ni rahisi Kabisa Chadema kufa kama NCCR Mageuzi kuliko Kiongozi mwenye Maono yake ya baadae kubaki Chadema ya Mwenyekiti Mbowe.
Mbowe ana hasira na anawaza na ana hofu kuu juu ya Kesi zake. Hana mpango na hanayotekea ndani ya Chama chake. Hayapo tayari kuwa Mbunge na mwanachama wa kawaida ndani ya Chadema.

Wenye akili zao Wengi hawaioni kesho yao kisiasa na pia kiuchumi ndani ya Chadema chini ya uenyekiti wa Mbowe.

Chadema wanatamani wangekua na mtu kama Zito na Lisu kwa sasa lakini hakuna namna Mbowe ameua chama kwa kuziba midomo na kufukuza vichwa ndani ya Chama.
Wengi wameamua kurudi CCM kupumzika mana kule Chama kina vichwa vya kufikiri na kutoa maamuzi.

Mbowe atakikost sana Chama kwa tamaa zake za kumiliki chama cha kisiasa kama NGO.

Niwashauri wabunge wa Viti maalum wasio kubali kuwa watumwa wa Mbowe na wanaojua wazi kuwa wanabaguliwa na Mbowe kikabila ,waachane na Chama hicho na kurejea CCM kwa ajili ya kujipanga kwa baadae kitakapotokea chama kingine au Chadema itakapopata Mwenyekiti mwingine mwenye maarifa ya kutosha na nia sahihi ya kupigania demokrasia ya kweli kwa vitendo.t
 
Wawahi kabla ya dirisha la usajiri kufungwa December 2018
 
Amini, amini,amini nawaambia ni rahisi Kabisa Chadema kufa kama NCCR Mageuzi kuliko Kiongozi mwenye Maono yake ya baadae kubaki Chadema ya Mwenyekiti Mbowe.
Mbowe ana hasira na anawaza na ana hofu kuu juu ya Kesi zake. Hana mpango na hanayotekea ndani ya Chama chake. Hayapo tayari kuwa Mbunge na mwanachama wa kawaida ndani ya Chadema.

Wenye akili zao Wengi hawaioni kesho yao kisiasa na pia kiuchumi ndani ya Chadema chini ya uenyekiti wa Mbowe.

Chadema wanatamani wangekua na mtu kama Zito na Lisu kwa sasa lakini hakuna namna Mbowe ameua chama kwa kuziba midomo na kufukuza vichwa ndani ya Chama.
Wengi wameamua kurudi CCM kupumzika mana kule Chama kina vichwa vya kufikiri na kutoa maamuzi.

Mbowe atakikost sana Chama kwa tamaa zake za kumiliki chama cha kisiasa kama NGO.

Niwashauri wabunge wa Viti maalum wasio kubali kuwa watumwa wa Mbowe na wanaojua wazi kuwa wanabaguliwa na Mbowe kikabila ,waachane na Chama hicho na kurejea CCM kwa ajili ya kujipanga kwa baadae kitakapotokea chama kingine au Chadema itakapopata Mwenyekiti mwingine mwenye maarifa ya kutosha na nia sahihi ya kupigania demokrasia ya kweli kwa vitendo.t
Viti maalumu havina biashara, havilipi mtavipeleka wapi,kwani wanapigiwa kura wale?
 
Pamoja na kuchakachua lkn upinzani ulipata kura milioni sita. Unafikiri hawa ni raia wa nchi gani? Na unahisi maisha yameboreka sana kiasi kwamba sasa wanaitamani ccm. HEBU WEKENI UWANJA SAWA WA KUFANYA SIASA NDIYO UTAPATA MAJIBU KM HUYO MTU ANAKUBALIKA AU LA. ila alijua na anajua hana chake akirihusu harakati za siasa zishamiri km zamani na anajua bila hii tume ya uchaguzi, bila polisi, bila hili bunge kibogoyo ambalo ameliweka mfukoni hana lake hata humohumo ndani ya Ccm watamwondoa.
 
Back
Top Bottom