Tetesi: Mjumbe wa Kamati ya Uenezi ya CCM Mkoa wa Dar, Frey Edward: Kilimanjaro kuna Wabunge 2, Manyara 1, Dar 2 na Mara 1. Watakuja kabla ya Disemba.

Tetesi: Mjumbe wa Kamati ya Uenezi ya CCM Mkoa wa Dar, Frey Edward: Kilimanjaro kuna Wabunge 2, Manyara 1, Dar 2 na Mara 1. Watakuja kabla ya Disemba.

Sasa nunueni na wananchi basi!
Siku hizi wameona hakuna umuhimu kununua wananchi, wananunua Polisi na ma DED basi. Kura wananchi wanachagua mgombea A wao wana tangaza mgombea B.
Mkibisha virungu na mabomu. Polisi wetu kwa posho za siku laki moja moja wanapiga mpaka shangazi zao na wajomba
 
Kumbe mmejaza Malaya? Acha wanunuliwe maana ukienda kona bar ni kama uko Chadema unajichagulia Malaya unayemtaka.
Huwezi kuwa malaya au kuitwa malaya kama au kabla hujafanya umalaya.JARIBU KUWA MTU MWENYE KUJENGA HOJA KWA KUSHIRIKISHA UBONGO usikurupuke kuandika.
 
Baada ya msimu huu wa manunuzi kuisha naamini kabisa hata maisha ya POLEPOLE YATABADILIKA SANA. Walio karibu naye watatupa mrejesho. Atakuwa na akaunti zilizonona, na rasilimali lukuki japo najua yy si mjinga kukurupuka mapema hivyo kuonyesha mavuno yake.
 
So long as we are involving tax collection,(public money) to repeat election for those impulsively leaving their former parties to join the ruling party this is one of the indicator of backwardness and decadence
 
HIVI WAKUU HAWA WABUNGE NA MADIWANI HAMAHAMA WANAVUTWA NA ULIMBO GANI AISEEE???
AU NDO VIWANDA TULIVYOAHIDIWA??THIS IS TOO MUCH ASEE
Ni ulimbo uleule uliowavuta kina Ole Millya, Bulaya toka CCM kwenda chadema.
 
Amesema kimetumika kiasi gani cha pesa?
 
Ukiwatizama wapo happy,

That means inawezekana sio wote wanaohamia wameubga juhudi mkono. Yawezekana wengine kazi maalum. Lakini wangekuwa wameishiwa mbinu wangeanza kutumia misuli lakini inavyoonekana wanayo plan B na si ajabu na plan C.

Lakini pia tafiti ndio jibu sahihi kuweze kusema wameyumba au la. Tukitudi nyuma taasisi ya twaweza ilitoa report na kusema CCM wamepoteza mvuto kwa kiasi kikubwa nataasis hiyo imepigwa marufuku.

Hicho na mengine chaweza kuwa sababu inayoendelea kuwapa confidence.

Ukiangalia kwenye vijiwe, bar kwenye daladala na sehemu za kazi linapozungumziwa siasa utaona wengi wapo upande mmoja.

Kwetu pazuri
Gud analysis though. Still story za vijiweni zisikusumbue. Ushindi huamuliwa na wanaoenda kupiga kura sio wanaojua kuongea siasa. Ni wazi asilimia kubwa ya wananchi mijini kwa sasa wanapenda upinzani kuliko CCM but tofauti hiyo bado ni ndogo kuliko ilivyo tofauti Kati ya CCM na Upinzani huko vijijini. Kama mpaka Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2014, Vijiji vingi vilichukuliwa na CCM bila hata Upinzani kuweka Mgombea, hiyo inamaanisha nini?
Siasa siyo kuongea tu mitandaoni lakini katika siku ya muhimu zaidi, unabakia nyumbani na kuwaachia maadui zako wakimpigia kura usiyemtaka.
 
Pamoja na kuchakachua lkn upinzani ulipata kura milioni sita. Unafikiri hawa ni raia wa nchi gani? Na unahisi maisha yameboreka sana kiasi kwamba sasa wanaitamani ccm. HEBU WEKENI UWANJA SAWA WA KUFANYA SIASA NDIYO UTAPATA MAJIBU KM HUYO MTU ANAKUBALIKA AU LA. ila alijua na anajua hana chake akirihusu harakati za siasa zishamiri km zamani na anajua bila hii tume ya uchaguzi, bila polisi, bila hili bunge kibogoyo ambalo ameliweka mfukoni hana lake hata humohumo ndani ya Ccm watamwondoa.
Wanaoweka uwanja sawa wa siasa siyo watawala bali ni wananchi. Siku wananchi wakiamua kuwa, kufanyike mabadiliko fulani ujue hakuna wa kuyazuia. Lakini ukiona jitihada kubwa za Upinzani kutaka kubadilisha vitu fulani lakini hawaungwi mkono na umma, basi ujue wabaya ni Wapinzani na wala siyo wananchi ambao hawajashawishika. An Organisation normally reflects the Society's behavior.
 
Hadi sasa kuhama si shida! Shida ni wewe utamchagua nani,utailinda kura yako,utakata njama za wagombea na kufanya uamuzi sahihi
 
M
Wanaoweka uwanja sawa wa siasa siyo watawala bali ni wananchi. Siku wananchi wakiamua kuwa, kufanyike mabadiliko fulani ujue hakuna wa kuyazuia. Lakini ukiona jitihada kubwa za Upinzani kutaka kubadilisha vitu fulani lakini hawaungwi mkono na umma, basi ujue wabaya ni Wapinzani na wala siyo wananchi ambao hawajashawishika. An Organisation normally reflects the Society's behavior.
MIkutano ya kisiasa ipo kisheria /kikatiba ndicho nilichomaanisha .Wanatumia majeshi kuiharamisha.Kwani katiba iliyoruhusu kuwepo mikutano ya vyama vya siasa si mali ya wananchi? au kwako wewe katiba ni mali yanani.Mikutano ya siasa ni takwa la kikatiba.Kuwa mtu unaefikiri kabla ya kuandika.tumia akili .Nashangaa wewe unaniletea hoja za kipumbavu hapa.
 
Kipindi cha tawala za maraisi zilizopita bidhaa adimu kuipata ilikuwa ni WAPIGA KURA kwa maana hiyo kidogo kura na mpiga kura walikuwa na thamani lkn sasa hivi mgombea mmoja akihama ndio kila kitu hii inamaanisha kura na wapiga kura hawana maana yoyote ktk uchaguzi wa Tanzania kwa sasa yaani ushindi wa mgombea hautegemei tena kupigiwa kura. Ushindi wa sasa uko mikononi mwa NEC na Polisi. Wakati wew unaenda kupanga foleni kupiga kura wenzako na karatasi za matokeo walishajaza pengine siku tatu kabla ya uchaguzi. Kura na kupiga kura havina maana yoyote zaidi ya kupoteza rasilimali muda na fedha bila sababu.
 
Kwa sasa siyo habari tena.

Jambo lililo wazi ni kuwa kumbe ndani ya vyama vya upinzani kumekuwa na wawakilishi wengi wasio na uelewa, waliokosa akili na sifa za uongozi. Sifa kubwa ya kiongozi ni kusimama juu ya yale unayoyaamini.

Bahati mbaya mbumbumbu hao sahizi wanakuwa miongoni mwa viongozi wa CCM. Sijui CCM itakuwaje siku za mbeleni kwa kuwajaza hawa wasio na akili waliotoka upinzani.
Kwahiyo chadema kuna watu wasio na akili?
 
View attachment 890013

Mjumbe wa Kamati ya Itikadi na Uenezi Mkoa wa Dar es Salaam, Frey Edward Cosseny, amewarusha tena roho juu wafuasi wa Vyama vya Upinzani baada ya kudai kuwa, kuna Wabunge wengine sita wanafuata baada ya Mbunge wa Simanjiro, James Ole Millya (CHADEMA) kujiunga na CCM.
Frey Cosseny amedai kuwa, Wabunge watakaojiunga na CCM kutokea CHADEMA ni wanatokea Mikoa ifuatvyo:
Mkoa wa Kilimanjaro - Wabunge wawili (02),
Mkoa wa Dar es Salaam - Wabunge wawili (02),
Mkoa wa Manyara - Mbunge mmoja (01),
Mkoa wa Mara - Mbunge mmoja (01).

View attachment 890012

Haya Wazee wenzangu wa mapovu camp, naomba tutiririke hapa kubashiri Wabunge hao walio mbioni.
Kwa Mkoa wa Mara nahisi Ester Matiko (Tarime Mjini) hatasalimika na hizi radar za CCM. Utakuwa ni usajili mzuri.
Tutaje wa Mikoa mingine.
Tunawasubiri kwa hamu hao waliotajwa.
 
Back
Top Bottom