chademaistheway
Senior Member
- Aug 18, 2010
- 100
- 86
Wangepatikana akina mama kama huyu 30 tuu ndani ya bunge tungekuwa mbali sana
Mwenye profle yake ailete
Elimu yake na vinginevyo.
Ni binti wa Prof. Sarungi!. Namfananisha na binti mmoja, Stephania niliyesoma naye primary, ni kichwa kweli kweli cha ukweli!.Wangepatikana akina mama kama huyu 30 tuu ndani ya bunge tungekuwa mbali sana
Mwenye profle yake ailete
Elimu yake na vinginevyo.
Ni binti mkubwa wa Prof. Sarungi!. Nilisoma naye Primary, ni kichwa kweli kweli cha ukweli!.
Ana Diploma ya Journalism, na Masters ya Communications, anakampuni yake ya Compass Communications,
She is no nonsense lady!.
Pasco
Sasa kama kapewa majukumu na chama lazima atekeleza tu!! lakini ki ukweli ni Dada Mahiri sana.kuwadi namba moja wa kushobokea ujinga wa Zito Kawbe
Ni binti mkubwa wa Prof. Sarungi!. Nilisoma naye Primary, ni kichwa kweli kweli cha ukweli!.
Ana Diploma ya Journalism, na Masters ya Communications, anakampuni yake ya Compass Communications,
She is no nonsense lady!.
Pasco
Aliwahi kuwa head girl Zanaki secondary school miaka hiyo ya early 90s alikuwa mzuri kichwani.
Ni binti mkubwa wa Prof. Sarungi!. Nilisoma naye Primary, ni kichwa kweli kweli cha ukweli!.
Ana Diploma ya Journalism, na Masters ya Communications, anakampuni yake ya Compass Communications,
She is no nonsense lady!.
Pasco