Mkaa na Mbao

Mkaa na Mbao

BISHANGA AM

Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
15
Reaction score
7
Habari ndugu zangu,

Natafuta Masoko ya Mkaa na Mbao...Na bei zikoje. Nachana mbao za mti wa Mtondoo na Mkurungu kwa saizi zote kulingana na mahitaji ya mteja.

Nina uwezo wa kusuply gunia 200 hadi 300 kwa mwezi za mkaa...Nina vibali vyote vya wakala wa misitu (TFS) Nasikia pia kuna soko la wachina la mbao za Mkurungu...lakini sijui liko wapi.

Naomba msaada na ushauri
Pia kwa mawasiliano 0682763318
Na

IMG_20240923_162205.jpg
IMG_20240924_102916.jpg
IMG_20240830_153734.jpg
IMG_20240902_151111.jpg
IMG_20240902_143439.jpg
 
Sifa za izo mbao zikoje?
Ni mbao nzuri sana zinafaa kwa frem na Ferniture...Nachana 2×10 kwa urefu wa futi 12.....lakini pia nachana kulingana na mteja anavyohitaji..
Nachana Mbao za mti wa MTONDOO na MKURUNGU
 
Back
Top Bottom