BISHANGA AM
Member
- Jan 7, 2014
- 15
- 7
Habari ndugu zangu,
Natafuta Masoko ya Mkaa na Mbao...Na bei zikoje. Nachana mbao za mti wa Mtondoo na Mkurungu kwa saizi zote kulingana na mahitaji ya mteja.
Nina uwezo wa kusuply gunia 200 hadi 300 kwa mwezi za mkaa...Nina vibali vyote vya wakala wa misitu (TFS) Nasikia pia kuna soko la wachina la mbao za Mkurungu...lakini sijui liko wapi.
Naomba msaada na ushauri
Pia kwa mawasiliano 0682763318
Na
Natafuta Masoko ya Mkaa na Mbao...Na bei zikoje. Nachana mbao za mti wa Mtondoo na Mkurungu kwa saizi zote kulingana na mahitaji ya mteja.
Nina uwezo wa kusuply gunia 200 hadi 300 kwa mwezi za mkaa...Nina vibali vyote vya wakala wa misitu (TFS) Nasikia pia kuna soko la wachina la mbao za Mkurungu...lakini sijui liko wapi.
Naomba msaada na ushauri
Pia kwa mawasiliano 0682763318
Na