Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
nilimpenda jaman nisiwe muongo,,ila saiv namuona kama mafiiiii😁😁Kweli ulimpenda kwa dhati , wanawake tukipenda bhana😋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilimpenda jaman nisiwe muongo,,ila saiv namuona kama mafiiiii😁😁Kweli ulimpenda kwa dhati , wanawake tukipenda bhana😋
Tatizo mapunga mmekuwa wengi sana now days humu Jf.Ukishindwa kuelewa potezea sio lazima uelewe
Punga lazima amjue punga mwenzake 😂 we utakua kiongozi wa mapunga. Salamaleko kiongozi la mapunga a.k.a pungas 😂😂Tatizo mapunga mmekuwa wengi sana now days humu Jf.
Kwenye kikao tuliambiwa kuwa mwanaume mwenye fedha anaweza akaishi na mwanamke asiye na kitu kwa maisha yao yote, lakini mwanamke mwenye pesa kuishi na mwanaume asiye na kitu, wiki ni kubwa sana kuimaliza wakiwa pamoja..!!Kaka zangu mkiwa mnalelewa kuweni wapole. Ukileta ujuaji yatakukuta kama ya huyu kaka kwenye video. Unalelewa halafu bado unacheat?
View attachment 2969868
View attachment 2969871
Now days ✖️ Nowadays ✔️ chukua kozi iyoTatizo mapunga mmekuwa wengi sana now days humu Jf.
Utakua una moyo wa huruma au ulimpenda sana🤣🤣m sikumtupia nilimtoa kwa amani zote na naul nkampa🙌🏾
Ujumbe ni muhimu, kuliko dosari ndogo kama hiyo,Now days ✖️ Nowadays ✔️ chukua kozi iyo
Mwanaume ukinyanyaswa ujue umejitakia
- Zama hizi kuna wavulana wa hivyo kweli.
- Wanawake ni wanyanyasaji, hasa wakipewa nafasi ya kuamua
Huna cha kubishana cos huna hoja unaleta viroja. Kwaheri nenda mwana kwenda kabishane na walugaluga wenzioUjumbe ni muhimu, kuliko dosari ndogo kama hiyo,
Halafu sinaga kawaida ya kubishana na MATAHIRA, kwa heri.
Sasa hii mada iliyojaa utoto hivi nayo inahitaji hoja???? au kujiandikia tu????Huna cha kubishana cos huna hoja unaleta viroja. Kwaheri nenda mwana kwenda kabishane na walugaluga wenzio
huruma na kumpenda piaUtakua una moyo wa huruma au ulimpenda sana
Mkuu na mimi nusra yanikute ila kwakuwa mimi nime lelewa na wazazi waliokamilika yani full package, nilkuwaga na lishangazi sasa likaniambia niamie kwake tuishi pamoja sasa mimi sikuzoe kuishi kwa mtu wala kwa ndugu ya mimi nimezoea kuisho nyumbani kwetu kwa wazazi wangu na kuishi kwangu mimi yani najilipia kodi, sasa nikaenda kuishi kwa lishangazi nikawa sina Amani na kosa kujiamini na nikakosa uhuru baada ya siku tatu tu ikabidi nitafute chimba change nikalipia kodi na kununua vitu vya ndani, sasa lishangazi likaja kupaona ninapo ishi kumbe hakupenda mimi kupanga chumba changu alitaka nikaishi kwake, baada ya wiki moja tu likaniasha. Mpaka sasa linanichikia na lika ni block, kiukweli kuishi sehemu ambayo siyo kwako au siyo nyumbani kwenu unakuwa mnyonge na unakosa uhuru na furaha.Kwa mwanamke unapaswa kuhamia na bokx 3 vesti 2, tishet 2 na trauza 3 basi usiongez apo chochote,
Kama imejaa utoto unafanya nini apa nenda kwa wakubwa wenzio au na wewe mtoto? MfyuuuSasa hii mada iliyojaa utoto hivi nayo inahitaji hoja???? au kujiandikia tu????
Kuna madini gani kwenye huu uzi wako ambayo naweza sema yes nimesoma na nimetoka na kitu????
iyo✖️ hiyo✔️Now days ✖️ Nowadays ✔️ chukua kozi iyo
Uliona mbali mapemaMkuu na mimi nusra yanikute ila kwakuwa mimi nime lelewa na wazazi waliokamilika yani full package, nilkuwaga na lishangazi sasa likaniambia niamie kwake tuishi pamoja sasa mimi sikuzoe kuishi kwa mtu wala kwa ndugu ya mimi nimezoea kuisho nyumbani kwetu kwa wazazi wangu na kuishi kwangu mimi yani najilipia kodi, sasa nikaenda kuishi kwa lishangazi nikawa sina Amani na kosa kujiamini na nikakosa uhuru baada ya siku tatu tu ikabidi nitafute chimba change nikalipia kodi na kununua vitu vya ndani, sasa lishangazi likaja kupaona ninapo ishi kumbe hakupenda mimi kupanga chumba changu alitaka nikaishi kwake, baada ya wiki moja tu likaniasha. Mpaka sasa linanichikia na lika ni block, kiukweli kuishi sehemu ambayo siyo kwako au siyo nyumbani kwenu unakuwa mnyonge na unakosa uhuru na furaha.