barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Makonda anawahenyesha sana, kama ni uwaziri ataupata tu. Kwa sasa ngoja asafishe jiji.
Mbu waking'ata bavicha wanamlaumu makonda, bavicha fc ikifungwa mnamlaumu makonda, chupi zikiwabana mnamlaumu makondo.
Kawabana hatari huyu jamaa!! Na bado, mumzoee tu na hizi sindano anazowapa maana he's here to stay!!
Mbu waking'ata bavicha wanamlaumu makonda, bavicha fc ikifungwa mnamlaumu makonda, chupi zikiwabana mnamlaumu makondo.
Kawabana hatari huyu jamaa!! Na bado, mumzoee tu na hizi sindano anazowapa maana he's here to stay!!