Serikali ya ccm imeshindwa? Hawa wapenda sifa wanavyopenda kuudhalilisha upinzani hilo limemeshindikana?Mwambieni Kubenea akamlete Ben Saanane kule anakokunywa kahawa vijiweni
Kakobe kawa adui baada ya kumtaja mfalme bado kuhoji uraia wake la tra limegonga mwamba.Hapa Tanzania ni kazi kubwa kuwaelemisha wafuasi wa kakobe na wachaga wa chadema hawa kuwaelemisha mpk mtu Mohammed afufuke
Wapinzani wa mauaji wa wanachama wenzaoSerikali ya ccm imeshindwa? Hawa wapenda sifa wanavyopenda kuudhalilisha upinzani hilo limemeshindikana?
Serikali ya mapanga na bunduki.
Primitive levelKakobe kawa adui baada ya kumtaja mfalme bado kuhoji uraia wake la tra limegonga mwamba.
Wanaambulia kata moja kwa sababu ya mchezo wa kata funua, masanduku ya kura yanabebwa na kutolewa nje na baadae yanarudishwa.Unategemea nini hapa.Hakuna anayevifuta bali vinajifuta vyenyewe. Huwezi kushiriki uchaguzi ukaambulia kata moja kati ya 43 then ukasema chama kinafutwa
bunduki na mapanga njia za kisasa.Primitive level
Mishale ya sumu kutoka Serengeti jeIbunduki na mapnga njia za kisasa.
Serikali yenye sifa imeshindwa kuwakamata ili kumrahisishia kazi jaji mutungi.Wapinzani wa mauaji wa wanachama wenzao
Siro kashindwa kuwapeleka mahakamani?Mishale ya sumu kutoka Serengeti je
Kwanini serikali iwakamate wakati wanauana wenyewe nadhani hata wazungu wanaowapa mbinu wanawashangaaSerikali yenye sifa imeshindwa kuwakamata ili kumrahisishia kazi jaji mutungi.
Kwanini serikali itumie resources wakati mnachinjana wenyewe subiri siku mmchinje mtu asiye wa kwenu.Siro kashindwa kuwapeleka mahakamani?
Ushachukua 7000 yako?Hakuna anayevifuta bali vinajifuta vyenyewe. Huwezi kushiriki uchaguzi ukaambulia kata moja kati ya 43 then ukasema chama kinafutwa
Mutungi barua anaandika ya nini sasa kama wanafanya yao?Kwanini serikali iwakamate wakati wanauana wenyewe nadhani hata wazungu wanaowapa mbinu wanawashangaa
Kuna mwenye serikali wewe? Hizo kodi zinakusanywa kwa wana ccm hiv shule mlienda kusomea nini?Kwanini serikali itumie resources wakati mnachinjana wenyewe subiri siku mmchinje mtu asiye wa kwenu.
Akili zako nazijua hunisumbui kabisaMleta mada eden kimario mchaga umechambua hasa sisi huku kijijini kwa mbowe tumefurahi sana yaani wote akina mushi,mosha,akina mtui,manka,munisi,lema,mrema,ukoo wa mtei yaani wote wamefurahi na mchango wako koko
Mimi nasubiri siku mkimua mmachame make naona juzi mmeenda rombo taratibu naona Ngoma inasogea make tangu harakati za mauaji ndani ya chadema ianze kilio ilikuwa haijaenda kwa wachaga walikuwa wanaua jamii ya watu wengineKuna mwenye serikali wewe? Hizo kodi zinakusanywa kwa wana ccm hiv shule mlienda kusomea nini?