Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kweli mwizi haoni aibu yaani M avyofanya unyama kwenye uchaguzi utadhani nyinyi siyo binadamu wa Tanzania ya NyerereHakuna anayevifuta bali vinajifuta vyenyewe. Huwezi kushiriki uchaguzi ukaambulia kata moja kati ya 43 then ukasema chama kinafutwa