thetruthtobetold
JF-Expert Member
- Jan 17, 2018
- 509
- 560
WAFUTE TU, KWANI NI LAZIMA VIWEPO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nauliza swali.Je ni chama gani kweli nchini kwetu Tanzania nasikia watu wanasema kinamiliki mapanga na mashoka; na kila uchaguzi kinayatumia?
Ushauri;
Usinijibu mimi,ila kama kuna mtu ana majibu atusaidie kwa kuyapeleka kwa Mhe.Msajili wa vyama vya siasa ili akifute haraka sana!!!!
Kibwetele nadhani ni baba yako kama sikosei!Kwahiyo unataka wawaachie muandamane hata saa 1 usiku? Ndo maana mnaitwa wafuasi wa kibwetere
Can you please mention five elements of free ad fair election? (Just mention). Mtu mzima akili ndogo hovyoHakuna anayevifuta bali vinajifuta vyenyewe. Huwezi kushiriki uchaguzi ukaambulia kata moja kati ya 43 then ukasema chama kinafutwa
Ni kweli. hawa WATAJIFUTA TU hakuna namna. Hatutaki makelele ya vichaa katika nchi. Kazi yao kueneza uzandiki. Ni heri tusiwe na vyama vya siasa kama Saudi, Bahrain, Kuwait, Oman, etcHakuna anayevifuta bali vinajifuta vyenyewe. Huwezi kushiriki uchaguzi ukaambulia kata moja kati ya 43 then ukasema chama kinafutwa
Tatizo watu wakiwa CCM ufahamu unatoweka wanakuwa MAZOBA ni kama MALAYA wa kisiasa...ficha umbulula wako basi, hivi hizi chaguzi za marudio unaweza kusema nazo ni chaguzi ? yalitokea yote hukuona ? watu wanapigwa, wasimamizi wanazuiliwa pamoja na hila nyingi bado mnajitia kuwa mlishinda kata 42 ? je kilichotokea hapa juzi kinondoni na siha hukuona ? mabazazi mkamuua mpendwa wetu akwilina(r.i.p), alafu unajinasibu kwamba mnashinda kihalali ?
ipo siku kibao kitawageukia punda nyie, damu ya mtu haimwagiki bure, haki haidhulumiwi. hata kama sio leo, au mwaka huu, vyeo vina mwisho.
kuna mbegu mbaya sana inamea kwenye kizazi cha sasa, siku ikilipuka hapatakuwa salama, rev ni kitu kitacho-take time, years over years, ila ipo siku.
Hata mh. Rais ameshasema mpaka 2010 anataka vyama vyote vya upinzani viwe vimefutika. Lakini pia rumeona jinsi chaguzi ndogo zilivyofanyika, kwahiyo ni kweli. Tatizo ambalo CCM hawaliangalii ni kuwa hakuna rais anaechaguliwa duniani kuvifuta vyama vya upinzani. Tulimchagua atumie kodi yetu kutuletea maendeleo sio kuviua vyama vya upinzani. Lakini swali la muhimi zaidi akiviua what then? Inatia hofu kwa taifa..Hakuna anayevifuta bali vinajifuta vyenyewe. Huwezi kushiriki uchaguzi ukaambulia kata moja kati ya 43 then ukasema chama kinafutwa
Maandiko ya aliyefilisika hoja kama Chakubanga P.Hapa Tanzania ni kazi kubwa kuwaelemisha wafuasi wa kakobe na wachaga wa chadema hawa kuwaelemisha mpk mtu Mohammed afufuke
Wewe na Polepole kichaka chenu kimoja.Mishale ya sumu kutoka Serengeti je
Duh hivi wewe huwa una akili kweli?Hakuna anayevifuta bali vinajifuta vyenyewe. Huwezi kushiriki uchaguzi ukaambulia kata moja kati ya 43 then ukasema chama kinafutwa
Kwahiyo unamaanisha wafuasi wao pamoja na huyu jamaa wamezaliwa kwa njia ya matakoni??Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe,mtaji wa CCM ni watu waliozaliwa kwa njia zisozahalalishwa na Bwana Mungu ,kama wewe.
Naomba mungu vifutwe vyote.Ila kumbuka UPIn zani ukifa tunaanza na nyie.nyama ya MTU tamu bwanaHakuna anayevifuta bali vinajifuta vyenyewe. Huwezi kushiriki uchaguzi ukaambulia kata moja kati ya 43 then ukasema chama kinafutwa
Hivi mgeni anauye ingia hapa nchini akiuliza mitaa wanapoishi wapinzani au apite barabara gani ili awaone wapinzani utamweleweshaje.mbona mna kiwewe hivyo?? upinzani unajiua wenyewe msimtafute mchawi, mnakimbiwa na viongozi wenu madiwani na wabunge then mnadai wananunuliwa..
ccm inashinda uchaguzi au inaiba uchaguzi?Hakuna anayevifuta bali vinajifuta vyenyewe. Huwezi kushiriki uchaguzi ukaambulia kata moja kati ya 43 then ukasema chama kinafutwa
26/04/2018 nguvu ya umma haijawahi kushindwa..Mleta mada eden kimario umechambua hasa sisi huku kijijini kwa mbowe tumefurahi sana yaani wote akina mushi,mosha,akina mtui,manka,munisi,lema,mrema,ukoo wa mtei yaani wote wamefurahi na mchango wako koko
26/04/2018 keep the Date..eden kimario Mwambieni Kubenea akamlete Ben Saanane kule anakokunywa kahawa vijiweni
26/04/2018Ni kweli. hawa WATAJIFUTA TU hakuna namna. Hatutaki makelele ya vichaa katika nchi. Kazi yao kueneza uzandiki. Ni heri tusiwe na vyama vya siasa kama Saudi, Bahrain, Kuwait, Oman, etc