Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Hakuna anayevifuta bali vinajifuta vyenyewe. Huwezi kushiriki uchaguzi ukaambulia kata moja kati ya 43 then ukasema chama kinafutwa
Lizaboni, avoid that mtaiingiza hii nchi katika civil war! Avoid that move! Wenye busara ndio maana hawakumkamata Raila pamoja na kujiapisha. Wanajua hata jeshini kuna wafuasi wengi sana wa Baba (wao wanamuitaBaba); wenye busara wakati wa kumwapisha waliwaondoa polisi wakawaacha wamwapishe na hapakuwa na shida yoyote. Raila is not a president! so what, why a furry! Kwa Kutumia busara they avoided all sorts of killings that would have happened!Hakuna anayevifuta bali vinajifuta vyenyewe. Huwezi kushiriki uchaguzi ukaambulia kata moja kati ya 43 then ukasema chama kinafutwa
Penye udhia penyeza................................mbona mna kiwewe hivyo?? upinzani unajiua wenyewe msimtafute mchawi, mnakimbiwa na viongozi wenu madiwani na wabunge then mnadai wananunuliwa..
mambo ya kakobe, uchaga na mtume yameingiaje hapa ? usichanganye dini/kabila na siasa. kila mtu ana imani yake.Hapa Tanzania ni kazi kubwa kuwaelemisha wafuasi wa kakobe na wachaga wa chadema hawa kuwaelemisha mpk mtu Mohammed afufuke
Kwahiyo unataka wawaachie muandamane hata saa 1 usiku? Ndo maana mnaitwa wafuasi wa kibwetereLizaboni, avoid that mtaiingiza hii nchi katika civil war! Avoid that move! Wenye busara ndio maana hawakumkamata Raila pamoja na kujiapisha. Wanajua hata jeshini kuna wafuasi wengi sana wa Baba (wao wanamuitaBaba); wenye busara wakati wa kumwapisha waliwaondoa polisi wakawaacha wamwapishe na hapakuwa na shida yoyote. Raila is not a president! so what, why a furry! Kwa Kutumia busara they avoided all sorts of killings that would have happened!
Sema wafuasi wa kibweteremambo ya kakobe, uchaga na mtume yameingiaje hapa ? usichanganye dini/kabila na siasa. kila mtu ana imani yake.
We haupo Tanzania? Vifaa vyote ulivyotaja mbona anavyo Nassari alitoka navyo masomoni Uk na Lema pia anavyo !Ni vema vyama vya upinzani vikafunga kamera za usalama kwenye makao yao makuu na nyingine za siri ndani ikiwa ni pamoja na vinasa sauti ambavyo vitakuwa vimefichwa ili kuweka kumbu kumbu ya njama zozote. Vile vile ni vema kwenye mikutano na maandamano yao wawe na vifaa vya kurekodi matukio yote kwa namna ambayo wale wahujumu hawataweza kujua kama kila kitu kinarekodiwa. Dunia sasa hivi imeendelea vifaa ni vingi vya kisasa msitegee uchunguzi wa polisi ili wajichunguze wao wenyewe. Hata wakati ule wa uchaguzi walipowavamia mlipaswa kuwa na line ambayo inapokea kila kitu kutoka kwenye kituo chenu cha kupokea matokeo na kusave ni lazima mtafute kila mbinu ya kuweka maovu yote hadharani kwa uwazi
Viwanda inajenga lakini? Tumeimba sana nyimbo: Serikali ya mataruma itakuwa ya viwanda...soon tunaanza kuelekeza nguvu kwenye uchaguzi, na viwanda tumeshajengewa vya kutosha bila shaka..watashindana lakini hawatashinda.....
serikali imeelekeza nguvu zote kuuwa upinzani kwa gharama yoyote ile...
#26/04.......
hahahaha, wadhalimu wakubwa nyieHakuna anayevifuta bali vinajifuta vyenyewe. Huwezi kushiriki uchaguzi ukaambulia kata moja kati ya 43 then ukasema chama kinafutwa
sio watuwatashindana lakini hawatashinda.....
serikali imeelekeza nguvu zote kuuwa upinzani kwa gharama yoyote ile...
#26/04.......
Katika watu ambao hawana kitu kichwani na ambao si rahisi kupima kiwango cha dharau nilichowapa ni wewe , hivi mauaji haya yanayotendwa kwa ushirikiano wa polisi na ccm ili kupora ushindi huyaoni au unaleta ujinga hadharani ?Hakuna anayevifuta bali vinajifuta vyenyewe. Huwezi kushiriki uchaguzi ukaambulia kata moja kati ya 43 then ukasema chama kinafutwa
Kujiita mrangi tu tayari huo ni ukabila...hata kama inawezekana wewe si mrangiAcha Ukabila wewe
Ova
We mbwa koko umeshaosha shoka mlilomuua nalo Diwani?Hakuna anayevifuta bali vinajifuta vyenyewe. Huwezi kushiriki uchaguzi ukaambulia kata moja kati ya 43 then ukasema chama kinafutwa
Ww mtu umerudi tena kwenye payrol ya lumumba?,kweli mtaan kumebanaHakuna anayevifuta bali vinajifuta vyenyewe. Huwezi kushiriki uchaguzi ukaambulia kata moja kati ya 43 then ukasema chama kinafutwa