Tetesi: Mkakati wa kuvifuta CHADEMA, CUF waiva

 
Hakuna anayevifuta bali vinajifuta vyenyewe. Huwezi kushiriki uchaguzi ukaambulia kata moja kati ya 43 then ukasema chama kinafutwa
Can you please mention five elements of free ad fair election? (Just mention). Mtu mzima akili ndogo hovyo
 
Hakuna anayevifuta bali vinajifuta vyenyewe. Huwezi kushiriki uchaguzi ukaambulia kata moja kati ya 43 then ukasema chama kinafutwa
Ni kweli. hawa WATAJIFUTA TU hakuna namna. Hatutaki makelele ya vichaa katika nchi. Kazi yao kueneza uzandiki. Ni heri tusiwe na vyama vya siasa kama Saudi, Bahrain, Kuwait, Oman, etc
 
Tatizo watu wakiwa CCM ufahamu unatoweka wanakuwa MAZOBA ni kama MALAYA wa kisiasa...
Akili zao na ufahamu wao wote wanafanana...wanadai wanakubalika na wananchi wakati wanatumia mabavu kulazimisha ushindi kwa kutoa UHAI wa wapiga kura...JE, HUKO NDO KUKUBALIKA?
 
Hakuna anayevifuta bali vinajifuta vyenyewe. Huwezi kushiriki uchaguzi ukaambulia kata moja kati ya 43 then ukasema chama kinafutwa
Hata mh. Rais ameshasema mpaka 2010 anataka vyama vyote vya upinzani viwe vimefutika. Lakini pia rumeona jinsi chaguzi ndogo zilivyofanyika, kwahiyo ni kweli. Tatizo ambalo CCM hawaliangalii ni kuwa hakuna rais anaechaguliwa duniani kuvifuta vyama vya upinzani. Tulimchagua atumie kodi yetu kutuletea maendeleo sio kuviua vyama vya upinzani. Lakini swali la muhimi zaidi akiviua what then? Inatia hofu kwa taifa..
 
Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe,mtaji wa CCM ni watu waliozaliwa kwa njia zisozahalalishwa na Bwana Mungu ,kama wewe.
Kwahiyo unamaanisha wafuasi wao pamoja na huyu jamaa wamezaliwa kwa njia ya matakoni??
 
Hakuna anayevifuta bali vinajifuta vyenyewe. Huwezi kushiriki uchaguzi ukaambulia kata moja kati ya 43 then ukasema chama kinafutwa
Naomba mungu vifutwe vyote.Ila kumbuka UPIn zani ukifa tunaanza na nyie.nyama ya MTU tamu bwana
Asikuambie .tu
 
mbona mna kiwewe hivyo?? upinzani unajiua wenyewe msimtafute mchawi, mnakimbiwa na viongozi wenu madiwani na wabunge then mnadai wananunuliwa..
Hivi mgeni anauye ingia hapa nchini akiuliza mitaa wanapoishi wapinzani au apite barabara gani ili awaone wapinzani utamweleweshaje.
Upinzani ni nini ?
Wapinzani wanaishi wapi?
Wapinzani wanaanzaje kuwa wapinzani

Hapi unapoishi kuna wapinzani?
Kwenye ukoo wenu wapo?
Kwenye familia yako kuna wapinzani?

Ukiona mtu anadhani kwamba wapinzani ni chadema na cuf
Mtandike viboko mwambie arudi shule kuongeza elimu ya uelewa.
 
Hakuna anayevifuta bali vinajifuta vyenyewe. Huwezi kushiriki uchaguzi ukaambulia kata moja kati ya 43 then ukasema chama kinafutwa
ccm inashinda uchaguzi au inaiba uchaguzi?

Tukutane tarehe 26.04.2018 nguvu ya umma haijawahi kushindwa
 
Mleta mada eden kimario umechambua hasa sisi huku kijijini kwa mbowe tumefurahi sana yaani wote akina mushi,mosha,akina mtui,manka,munisi,lema,mrema,ukoo wa mtei yaani wote wamefurahi na mchango wako koko
26/04/2018 nguvu ya umma haijawahi kushindwa..
 
Ni kweli. hawa WATAJIFUTA TU hakuna namna. Hatutaki makelele ya vichaa katika nchi. Kazi yao kueneza uzandiki. Ni heri tusiwe na vyama vya siasa kama Saudi, Bahrain, Kuwait, Oman, etc
26/04/2018

save the Date..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…