sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 649
Jumuiya na taasisi za kiislamu Tanzania imecharuka na kueleza kuwa Barza la Mitihani la Taifa (Necta) limekuwa likifelisha wanafunzi wa imani ya dini hiyo.
Jumuiya na taasisi hizo zimemtuhumu katibu Mtendaji wa Necta,Joyce Ndalichako na watendaji wengine wa baraza hilo kwa madai kuwa wamekuwa wakihujumu matokeo ya mitihani ya wanafunzi wa kiislamu.
Source:Nipashe 4/6/2012.
Jumuiya na taasisi hizo zimemtuhumu katibu Mtendaji wa Necta,Joyce Ndalichako na watendaji wengine wa baraza hilo kwa madai kuwa wamekuwa wakihujumu matokeo ya mitihani ya wanafunzi wa kiislamu.
Source:Nipashe 4/6/2012.